Augustine Moshi
JF-Expert Member
- Apr 22, 2006
- 2,554
- 1,382
Vizuri sana. Wenye busara wanaona jinsi JF inavyochangia elimu pana na demokrasia Tanzania.
Ni muhimu kuwe na sehemu ya JF ambayo iko nje ya inakoweza kufika dola. Yaani tawi la nje. Huo ndiyo ukweli.
Hongera zetu kwa ugeni huu. Hiki chombo kimetukuta (wengine tuko tangu 2006 na tulirithiwa kutoka BCSTIMES) na ni sala yetu kidumu kiasi kwamba tukiache kipo tutakapomaliza safari yetu.
Cha kuelewa kutokana na kutembelewa na ugeni mzito kama huu ni kwamba tunatambuliwa na kudhaminiwa kimataifa
Ni muhimu kuwe na sehemu ya JF ambayo iko nje ya inakoweza kufika dola. Yaani tawi la nje. Huo ndiyo ukweli.
Hongera zetu kwa ugeni huu. Hiki chombo kimetukuta (wengine tuko tangu 2006 na tulirithiwa kutoka BCSTIMES) na ni sala yetu kidumu kiasi kwamba tukiache kipo tutakapomaliza safari yetu.
Cha kuelewa kutokana na kutembelewa na ugeni mzito kama huu ni kwamba tunatambuliwa na kudhaminiwa kimataifa