Ndugu watanzania , Vijana wetu wawili waliomiongoni na vijana wengine waliopelekwa nchini Israel kwa ajili ya mafunzo ya kilimo wametekwa na kundi la kigaidi ambalo linaungwa mkono na palestina vijana hao kwa majina ni Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix Mtenga
Taarifa hizi zimechapishwa katika ukurasa maalumu wa serikali ya Israel katika mtandao X (twitter)
nanukuu "Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix Mtenga from #Tanzania were in Israel as a part of an Agricultural Internship Program.
They were kidnapped by Hamas terrorists and are being held hostage in Gaza.
Please join us in praying for their safe and immediate return. "
View: https://twitter.com/Israel/status/1718620871714103699?t=3jsTj2ru-Sv4FZ6t-SvH-Q&s=19
Kutokana na Taarifa hii
Tunaitaka Serikali itoe tamko ikiwa ni pamoja na Balozi wa palestina aliepo hapa Tanzania awapigie simu hao magaidi Hamas waachie vijana wetu.
Post hii (imenukuliwa kutoka twitter)
Taarifa hizi zimechapishwa katika ukurasa maalumu wa serikali ya Israel katika mtandao X (twitter)
nanukuu "Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix Mtenga from #Tanzania were in Israel as a part of an Agricultural Internship Program.
They were kidnapped by Hamas terrorists and are being held hostage in Gaza.
Please join us in praying for their safe and immediate return. "
View: https://twitter.com/Israel/status/1718620871714103699?t=3jsTj2ru-Sv4FZ6t-SvH-Q&s=19
Kutokana na Taarifa hii
Tunaitaka Serikali itoe tamko ikiwa ni pamoja na Balozi wa palestina aliepo hapa Tanzania awapigie simu hao magaidi Hamas waachie vijana wetu.
Post hii (imenukuliwa kutoka twitter)