ngoja tuone wavaa kobaz wa tanzania kama wataandamana ili watanzania hawa ambao kwao ni makafir waachiwe au wana uchungu na wapalestina peke yake.
ni rahisi sana, Serikali imwite tu balozi wa palestina imwambie awapigie simu hamas waachie watoto wetu basi. balozi wa palestina yupo hapahapa na alishaomba watanzania tuilaani israel.Tusikie tamko serekali itakalotoa
Wanauchungu na ndugu zao katika Imani hao makafir watakwambia wafe tu tena wachinjwe wakiwa wameelekezwa kibra,ngoja tuone wavaa kobaz wa tanzania kama wataandamana ili watanzania hawa ambao kwao ni makafir waachiwe au wana uchungu na wapalestina peke yake.
Wakirudi watakua macelebrity tayari, Tanzania isikie tu kwa jirani, ina vituko
Dah vijana wadogo sana walienda kusoma na wangekuja kuwa experts wazuri na kuinua uchumi wa nchi yetu pitia kilimo. Mungu wasaidie vijana wetu warudi salama.Joshua Loitu Mollel and Clemence Felix
wapalestina wa buza na wakomonisti wa mbweni waambieni vijana wenu wa itikadi kali wawaachilie hawa vijana au mnaendelea kusupport hata huu ujinga.
View attachment 2796985
na hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.Wanauchungu na ndugu zao katika Imani hao makafir watakwambia wafe tu tena wachinjwe wakiwa wameelekezwa kibra,
Ndio hivyona hapohapo mitandao ya Israel inasema vijana wawili wa kitanzania, Joshua Loutu MOllel & Clemence Felix Mtenga wamekamatwa na hamas, walienda kwenye intenship ya kilimo na hatujasikia lolote toka serikalini kama wananegotiate au wanawasaidiaje au wameachwa hukohuko wafe.
ni rahisi sana, Serikali imwite tu balozi wa palestina imwambie awapigie simu hamas waachie watoto wetu basi. balozi wa palestina yupo hapahapa na alishaomba watanzania tuilaani israel.
Umeua na kuchukua mateka halafu bado umewashikilia. Halafu unataka dunia ikuonee huruma kwasababu umeonewa. Sijui nani ni mbaya 😁😁😁😁😁ni rahisi sana, Serikali imwite tu balozi wa palestina imwambie awapigie simu hamas waachie watoto wetu basi. balozi wa palestina yupo hapahapa na alishaomba watanzania tuilaani israel.
zaidi ya yote umeshikilia hadi watanzania ambao hata hawajakupora ardhi, wabongo masikini kabisa walioenda kujifunza kilimo na walipelekwa na serikali. hao ndio wapalestina, mioyo yao halisi ndio hiyo.hawana rafiki. kweli uende israel ukute mtu ana sura nyeusiii ya kimasai pale tena katoto kanaonekana hata hakajaenda hata jeshini na hakuna mamluki israel, ukakakamata na kukateka? kaafrika kabisa, kana shida gani na wapalestina?Umeua na kuchukua mateka halafu bado umewashikilia. Halafu unataka dunia ikuonee huruma kwasababu umeonewa. Sijui nani ni mbaya 😁😁😁😁😁