Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,508
- 19,320
Taarifa toka mitandao ya Israel zinaeleza kwamba, vijana wawili wa Kitanzania waliokuwa wamepelekwa na Serikali Israel kufanya Intenship ya Kilimo, wametekwa na Hamas na hadi sasa wapo mikononi mwao kama mateka, na wao sio Wayahudi,
1. Joshua Loutu Mollel (Masai au Mmeru),
2. Clemence Felix Mtenga (Mchaga)
nakumbuka kama mwaka jana, vijana kama 200 walipelekwa Israel kwa ajili ya kujifunza kilimo. tafadhali, tunaomba Serikali itoe tamko waachiwe. Tayari serikali imeshatia kura UN kulaani mashambulizi Gaza na kutaka yasitishwe, ila kwa hili Balozi wa Palestina yupo hapahapa Tanzania, tunaamini yeye anaweza kuwaomba hamas wawaachie tu hao vijana, hawana hatia yeyote, ni watoto wetu wachamba fulani tu wa hapo Arusha na Kilimanjaro, wala hawajaenda kule kupigana wala kufanya uovu wowote, wanatafuta tu maisha. tuungane kusambaza wito huu tafadhali.
Vilevile Balozi wa Palestina alivyotoa wito Dar es Salaam watu walaani mashambulizi ya Israel, hivyo hivyo na yeye atusaidie kuwaambia Hamas wawaachie Watanzania wenzetu.
1. Joshua Loutu Mollel (Masai au Mmeru),
2. Clemence Felix Mtenga (Mchaga)
nakumbuka kama mwaka jana, vijana kama 200 walipelekwa Israel kwa ajili ya kujifunza kilimo. tafadhali, tunaomba Serikali itoe tamko waachiwe. Tayari serikali imeshatia kura UN kulaani mashambulizi Gaza na kutaka yasitishwe, ila kwa hili Balozi wa Palestina yupo hapahapa Tanzania, tunaamini yeye anaweza kuwaomba hamas wawaachie tu hao vijana, hawana hatia yeyote, ni watoto wetu wachamba fulani tu wa hapo Arusha na Kilimanjaro, wala hawajaenda kule kupigana wala kufanya uovu wowote, wanatafuta tu maisha. tuungane kusambaza wito huu tafadhali.
Vilevile Balozi wa Palestina alivyotoa wito Dar es Salaam watu walaani mashambulizi ya Israel, hivyo hivyo na yeye atusaidie kuwaambia Hamas wawaachie Watanzania wenzetu.