S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 88
Si kweli kwamba balali anayesemekana ni hayati amefariki.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vinasema Balali aliletwa hapa nchini kwa siri kubwa na kushushiwa Z'bar kwa ndege maalum, kisha boti maalum hadi kivukoni, then tinted car followed.
Some sources zinasema amefanyiwa plastic surgery na sasa ni mhindi kwa sura.
Wadanganyika walivyo wepesi kusahau, wameshasahau tu mambo ya ufisadi uliofanywa na Balali na wenzake, baadhi yao wataipigia kura CCM iliyowakumbatia hao majambazi!
Si kweli kwamba balali anayesemekana ni hayati amefariki.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vinasema Balali aliletwa hapa nchini kwa siri kubwa na kushushiwa Z'bar kwa ndege maalum, kisha boti maalum hadi kivukoni, then tinted car followed.
Some sources zinasema amefanyiwa plastic surgery na sasa ni mhindi kwa sura.
Si kweli kwamba balali anayesemekana ni hayati amefariki.
Vyanzo vya habari vya kuaminika vinasema Balali aliletwa hapa nchini kwa siri kubwa na kushushiwa Z'bar kwa ndege maalum, kisha boti maalum hadi kivukoni, then tinted car followed.
Some sources zinasema amefanyiwa plastic surgery na sasa ni mhindi kwa sura.
Mbona WASHABIKI na WAPIGA DEBE (wakiongozwa na Malaria Sugu) walisheheni sana humu ndano, kuipigia debe CCM?
Halafu ndio hao hao wanaolalamika leo TUNATAKA KATIBA MPY!
Acheni unafiski!
kwani alikuwa m tz yule? Alikuwa na uraia wa marekani hata alipokuja kuwa gavana si alitokea marekani,fununu zinatoka kwa watanzania waishio marekani kuwa anaonekana lakini kwa nadra,kama kuna mwana jf aliye na mawasiliano na wa tz waishio marekani tafadhali wape hiyo kazi ya kufuatilia jambo hili hili linawezekana likawa kweli