chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
nitashangaa sana kama serikali itabadili msimamo wake kuhusu sensa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna tatizo gani kuweka dini kwenye sensa, mbona nchi nyingi duniani wameweka sehemu ya dini, kama Uingereza, Misri, Israel, na hakuna tatizo lolote.
Nafikri tuwewaadilifu kidogo tunapojadili haya masuala,hao waislam wasingekuja na hiyo hoja ya kutaka dini iwe ni moja ya vigezo vya kuhesabiwa na pia hata wao kama wengi walivyochangia ni kwamba wafanye utaratibu wa kujihesabu wenyewe!Ndio maana mimi niliamua kuwa MPAGANI..........
Basi hakuna tatizo Bakwata kujitoa, Serikali wafanye sensa yao.
Wengi mnapindisha pindisha! Lakini lengo kuu la kujua idadi yao ni kutaka kuibadili nchi iwe ya kiislamu, wakishajua idadi yao wataanzisha lingine la kutaka ipigwe kura ya kutaka nchi iwe ya kiislamu au la na hapo ndiyo katiba mpya inafuata. Mark my words!!
Baada ya kujua idadi ya wana imani fulan!, nini kitafata?
nafikri tuwewaadilifu kidogo tunapojadili haya masuala,hao waislam wasingekuja na hiyo hoja ya kutaka dini iwe ni moja ya vigezo vya kuhesabiwa na pia hata wao kama wengi walivyochangia ni kwamba wafanye utaratibu wa kujihesabu wenyewe!sababu nizionazo mie ni baada ya wakristu kutoa takwimu zinazoonyesha percentage ya watanzania kwa dini zao hivyo kuondoa hilo ambalo wao waislaam wanaamini ni cooked data na ili pia wao kujihesabu wenywewe hawaoni maantiki kwa sababu wasifanye kama walichofanya maaskofu na kuoondoa huo mkanganyiko ambao unaweza kutumiwa vibaya na baadhi ya wasiowatakia mema,jukumu hilo lifanywe na serikali tena wakati huu ambao taifa linaelekea kwenye zoezi hilo,tungeunga mkono hoja hii ilikuzipa nguvu data zilizotolewa na maaskofu kuwa wakristo ni wengi zaidi katika nchi hii hivyo pia wanastahiki kupata ruzuku kubwa kama inavyofanywa sasa hivi katika kutekeleza huduma za kijamii.
Kwani Ritz BAKWATA ilikuwa inahusika kwenye sensa? mimi nadhani inajihusisha wala si kazi yao may be wafanye sensa ya waumini wao lakini hii ni sensa ya wananchi wa tanzania na kila mwananchi mwenye akili timamu atashiriki watakao kuwa na matatizo ya akili ndio wanaoweza tu kugoma.Basi hakuna tatizo Bakwata kujitoa, Serikali wafanye sensa yao.
Sensa ya mwaka 1957 ya kikoloni kipengele cha kuonesha dini kilikuwepo na ndio kinachoonesha takwimu waislamu wangapi na wakristo wangapi, na ukiangalia mwaka huo 1957 waislamu walikuwa ni 65%.
Baada ya hapo sensa zote zilizofuata kipengele cha dini kilifutwa; ajabu leo hii watu wanasema wakristo wapo wengi kuliko waislamu kwa takwimu zipi ikiwa kipengele cha kuorodhesha watu dini zao hakipo.
Pili ni kwanini wanaogopa kuhesabu watu kwa kutumia kigezo cha dini? Wengi watasema wanaogopa udini, hii hoja ni dhaifu maana nchi nyingi duniani sensa zinahebabiwa kwa mtindo wakujua idadi ya watu na dini zao ni asilimia ngapi katika nchi hizo.
Wengi mnapindisha pindisha! Lakini lengo kuu la kujua idadi yao ni kutaka kuibadili nchi iwe ya kiislamu, wakishajua idadi yao wataanzisha lingine la kutaka ipigwe kura ya kutaka nchi iwe ya kiislamu au la na hapo ndiyo katiba mpya inafuata. Mark my words!!
Ndio maana mimi niliamua kuwa MPAGANI..........
Kama ulichokiandika ndicho unachomaanisha inaelekea haukusoma na kama umesoma inaelekea ulikuwa unakariri na hauna ufahamu wa mambo. Jitahidi uwe mwelewa wa umuhimu wa kipengele cha dini katika sensa.
nafikri tuwewaadilifu kidogo tunapojadili haya masuala,hao waislam wasingekuja na hiyo hoja ya kutaka dini iwe ni moja ya vigezo vya kuhesabiwa na pia hata wao kama wengi walivyochangia ni kwamba wafanye utaratibu wa kujihesabu wenyewe!sababu nizionazo mie ni baada ya wakristu kutoa takwimu zinazoonyesha percentage ya watanzania kwa dini zao hivyo kuondoa hilo ambalo wao waislaam wanaamini ni cooked data na ili pia wao kujihesabu wenywewe hawaoni maantiki kwa sababu wasifanye kama walichofanya maaskofu na kuoondoa huo mkanganyiko ambao unaweza kutumiwa vibaya na baadhi ya wasiowatakia mema,jukumu hilo lifanywe na serikali tena wakati huu ambao taifa linaelekea kwenye zoezi hilo,tungeunga mkono hoja hii ilikuzipa nguvu data zilizotolewa na maaskofu kuwa wakristo ni wengi zaidi katika nchi hii hivyo pia wanastahiki kupata ruzuku kubwa kama inavyofanywa sasa hivi katika kutekeleza huduma za kijamii.
Kwani kuna tatizo gani kuweka dini kwenye sensa, mbona nchi nyingi duniani wameweka sehemu ya dini, kama Uingereza, Misri, Israel, na hakuna tatizo lolote.