Rais Samia Azindua Mkakati Sensa 2022

Rais Samia Azindua Mkakati Sensa 2022

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
762
Reaction score
681
14 Septemba 2021 — Rais Samia kuzindua mkakati wa Sensa

Tarehe 14 Septemba 2021, Rais Samia alizindua Mkakati wa Uelimishaji na Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.

Alieleza umuhimu wa Sensa katika kupata taarifa za idadi ya watu, makazi, elimu, ajira na mahitaji ya huduma za kijamii, pamoja na kusaidia Serikali katika ugawaji wa rasilimali.
IMG-20260914-WA0003(1).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom