Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Hapa ndiyo ilipo changamoto ya Mtanzania,watu wanazungumzia meli iliyoshushwa na Kampuni ya Bakhressa,wewe unazungumzia idadi ya Waislamu kwenye Kampuni yake,tujifunze kudeal na issues watanzania wenzangu na siyo watu,haitatusaidia zaidi ya kutubomoa!
Acha kugeuza watanzania kama wajinga!
Kuna haja ya kuhoji, siyo kila kitu thread mpya. Hapa hapa tuna hoji.
Kama una jibu tujibu kwann? siyo kuleta Porojo hapa!!
 
Majitu yan yashanza kuleta siasa za kijinga,,,,,,,,,,,,eti ooh ingekuaje ka ingenunuliwa na serikali,,,, cjui wanafikiria kwa kutumia visigino mda wote wanawaza vumbi tu
 
Mkuu
Hebu fafanua uharo wako wewe kenge,karne ya 21 unaongelea ushirikina?,hebu jichunguze pale katikati mapumbuuzz yako yanapokaa,utaona chupi imetoboka na pumbuuzz zako zimevuja mpaka mkunduniiizzz au vipi? ,na ukikaaa tu unayakalia mapumbuuzz yako yanapasuka kama mayai viza.
Mkuu povu la foma gold la nini?! Au na Wewe ni mshirikina
 
Uwekezaji wake una tija kwa waislam na sio kwa taifa,binafsi sina cha kumpongeza labda shehe abdallah,juma na khamis wao kwao hii ni fursa sishangai wakimpgia chapuo hapa
Unachosema ni Sahihi David kwasababu hata kodi analipa kwenye Mamlaka ya Mapato ya Waislamu(Muslim Revenue Authority)
 
aisee ila binaadamu mungu anetuumba tofauti mtanzania mwenzako kanunua meli ya kisasa ambayo mimi na wewe tutapanda na ndugu zetu watapata ajira, ila wewe huku kwa roho mbaya yako umenuna sasa itakusaidia nini kama si kujitafutia vidonda vya tumbo bila ya sababu
Incharge Uchawi siyo mpaka ukutwe na mahirizi,mambo yako tu yatakuonyesha wewe ni mtu wa namna gani!
 
Wewe ni mpumbavu, sikutegemea kwa jinsi nilivyokujibu kistaarab ungenijibu utumbo namna hii.

Anyways hii kama Jamii vichaa wapo pia,
Period.
Nifah siyo kila anayeweza kubonyeza keyboard ya computer ana akili wengine wana vyeti vyao vya Mirembe humu,wamepata nafuu kwa muda tu,kwahiyo tuvumiliane!
 
msitubabaishe na kidudde chenu hichoo cha AZAM.. nyie hamtufikii sisi na kidude chetu hiki cha kwenda kuleeee...
UNAONA MV DAR yetu hiyoooo.. inapiga KAZI TU
HAPA KAZIKAZI TUUU.....🙄🙄😕

00330259:45b307d4b753630bf0b55fb133605394:arc614x376:w285:us1.png

unnamed%2B(42).jpg
meli1.jpg
Hii ndio ile ya bil 8?! Kweli hapa Kazi tu
 
Uwekezaji wake una tija kwa waislam na sio kwa taifa,binafsi sina cha kumpongeza labda shehe abdallah,juma na khamis wao kwao hii ni fursa sishangai wakimpgia chapuo hapa
Ni kweli lkn atalipa kodi itaenda kukununulia dawa hospital
 
Ziwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.
Huwezi kuta anatamani ila mapapa wanamlia ngumu
 
Uwekezaji wake una tija kwa waislam na sio kwa taifa,binafsi sina cha kumpongeza labda shehe abdallah,juma na khamis wao kwao hii ni fursa sishangai wakimpgia chapuo hapa
Kuna wakristu walikwenda kuomba ajira wakanyimwa kwa kigezo cha dini zao? Vipi kuipanda hiyo meli kigezo ni dini ya abiria au? Hapa mi sipati mantiki ya hii hoja.

Wakristo, nanyi mkianza kuwaiga waislamu kwa sifa ya kulialia na kujihisi kunyanyasika, itakula kwenu. Hamtafanya lolote lenye tija, mtabaki kudhani kuwa mnatengwa huku mkiacha vigezo sahihi kama uaminifu na uchapakazi na taaluma.

Binafsi siamini hata huo uislamu wenyewe Bakhresa anao. Watanzania tunagawanyika kwa vigezo butu vya majina ya kukodishiwa. Tanzania hii niijuayo, idadi ya waislamu na wakristo sidhani hata elfu kumi wanafika.
 
Huwezi kuta anatamani ila mapapa wanamlia ngumu
Nasisi wananchi hatuna la kufanya ktk hilo? Natamani kuwe na kizazi huru nje ya siasa, vijana wawe wanayazungumza haya. Japo tu yasikike tu.

Nchi hii ni yetu, na watoto wetu. Tukiiacha ibomolewe tutakaoathirika ni sisi na vizazi vyetu. Kuna kataswaira nakaona kwa mbali, ni kama hii nchi tunawakabidhi wanasiasa tu.
 
Back
Top Bottom