Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
.....tumuulize aliyeinunua chakavu kwa bei ya mpya, na tukishamuuliza , jibu lolote atakalotupa tusilipuke, tumuombeeHivi Mv Dar es salaam ipo?
.....tumuulize aliyeinunua chakavu kwa bei ya mpya, na tukishamuuliza , jibu lolote atakalotupa tusilipuke, tumuombeeHivi Mv Dar es salaam ipo?
Na punda utamjua tuNg'ombe utamjua tuu
![]()
![]()
![]()
NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Tumuulize [HASHTAG]#Mataputapu[/HASHTAG] a.k.a Anthony Lusekelo BOB LUSEHivi Mv Dar es salaam ipo?
Aah mkuu huo uchochezi, unamsema mtu kisirisiri kwenye kile kivuko chakavu cha dar bwaga moyoIngekuwa limenunuliwa na serikali, wangeleta used, bovu, bei wanafanya x2
We bata maji kweli sasa uchumi wa bakhresa utaulinganisha na wa kwako au wa serikali, kwanza serikali yenyewe haina hela kama za bakhresa saiviChagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Hiki ni kizazi kipya, victoria ni fursa huru sana. Mitaji tu, inawazingua.
Acha uongo wewe aliletewa zengwe alikuwa ni Azim Dewji na hizo boti zilifika Mwanza sema zilikuwa mbovu mbovu sana Bakhresa kama angekuwa na nia angeweza pia kupitisha kenya hadi Mwanza
Nani apande?Hivi Mv Dar es salaam ipo?
Basi hapo unajiona umeandika bonge la point.Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Umri wangu unaniruhusu kukumbuka kuwa alishajaribu huko awali kukazuka mzozo mkubwa kuhusu namna ya kukisafirisha chombo kwa barabara hadi ziwani.Ziwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.
Meli ya Bakhresa sio ya babaako.Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Nimekupenda Bure kwa jibu murua,hongera zako Dada Nifah.Wewe unayo hata ngalawa?
Penye kustahili sifa pongeza,huwezi kaa kimya utaonekana wa maana zaidi.
Marahaba kwa niaba yake.Shikamoooo Bakhresa.
Uchochezi... Unaishi mbagara kazini tandika unaulizia mv dsm.. tumwonee huruma mtumbuajjHivi Mv Dar es salaam ipo?