Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Mkuu hiyo siyo panton wala siyo boti, ni meli, meli ni zaid ya pantoni na boti
Sidhani kama hiyo ni meli kaka, hiyo ni Pantoon au Ferry, Pontoon-Ferry
Mkuu hiyo siyo panton wala siyo boti, ni meli, meli ni zaid ya pantoni na boti
Kuna mijitu imezaliwa kuponda tu na sio kupongeza.Wewe unayo hata ngalawa?
Penye kustahili sifa pongeza,huwezi kaa kimya utaonekana wa maana zaidi.
Ipo wanafugia popo na samaki ukiwa kigambon pale darajan unaionaHivi Mv Dar es salaam ipo?
Kyle figisu nyingi sana.. Yule wa express kabaki na vimeli vyake kama mapamboZiwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.
Inabidi tumwombe mungu atupe paji la upendo!!Mawazo ya kijinga kabisa haya!
Hivi unafikiri Bakhresa anategemea biashara za ndani tu.Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,
Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Hapo ulipo hata baiskeli ya miti huna.bakhresa si wa mchezo mchezoAlete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Azam anastahili pongezi... HIVI MNAJUWA WALE MA-ENGINNER WA DMI NANI AMEWAPA MELI YA KIJIFUNZIA ??Bila shaka utakuwa muajiliwa hapo wewe mama,nakiona tu povu linavyo kutoka,ngalawa sina ila Nina zaidi ya hiyo ngalawa tena utanifaa sana ukija nikuajiri
Wivu ni kitu kibaya sana.Utajiri Wa Yale madude una masharti yake ukikosea unadanja au unakuwa masikini ghafla... Ni hatari sana yaani mali zako zote unajikuta umeziwekeza kwenye kamari ukaliwa zote hapo unachanganyikiwa unakuwa kichaa au kifo or unajikuta umefanya kosa kubwa ukafungwa su ukataifishwa n.k ni utajiri wa mateso bila chuki...
Uwekezaji wake una tija kwa waislam na sio kwa taifa,binafsi sina cha kumpongeza labda shehe abdallah,juma na khamis wao kwao hii ni fursa sishangai wakimpgia chapuo hapa
Nawewe weka uwekezaji wako ili uwafaidishe unaowataka,watu wenye mawazo mgondo kama yako ni vigumu sana kuendelea.Uwekezaji wake una tija kwa waislam na sio kwa taifa,binafsi sina cha kumpongeza labda shehe abdallah,juma na khamis wao kwao hii ni fursa sishangai wakimpgia chapuo hapa
Alete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Mkubwa jua hafanyi biashara ya kisiasa, eti akuridhizishe wewe, mfanyabiashara hufanya biashara inayomlipa ukizingatia kule baharini hana mpinzani kwa sasa. Unajua chuki, roho na roho mbaya hujenga umaskini, wewe unataka umwelewe Bakheresa yeye anakuelewa.Alete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Povu sasaNawewe weka uwekezaji wako ili uwafaidishe unaowataka,watu wenye mawazo mgondo kama yako ni vigumu sana kuendelea.
Wewe unayo hata ngalawa?
Penye kustahili sifa pongeza,huwezi kaa kimya utaonekana wa maana zaidi.


