Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Acha point za kitoto hapa. Mkiambiwa ukweli mnaita ubaguzi.
Mm napo fanya Kazi ni RC institution, ila wameajiri na Waislam, ebu ww tutajie Mfanyakazi mkiristo Amana Bank au Shule yoyote ya Muislam?

Kati ya watu 10 wenye degree. Muislam ni mmoja (1), kati 100 six leavers 100 waislam ni 20, iweje kwenye ajira kampuni X iwe vice versa?

Mf. Wachaga wamesoma sn hata ufanye nn kila Benki utawakuta wengi tu. Haitatokea kwa Tz hii Benki kukawa na Wazaramo wengi kuliko wachaga. Reason wamesoma!!

Mm huwa sina lugha za kiswahili, za kupindisha ukweli. Napiga mlemle tu.
Ukipenda ujinyonge. Ukweli unabaki palepale.
Unaweza kuwataja waislamu waliopo MKOMBOZI Bank?
 
Unaweza kuwataja waislamu waliopo MKOMBOZI Bank?
Nenda university au Sec yoyote ya Wakiristo kuanzia wanafunzi hadi wafanyakazi ni mchanganyiko dini zote.
Haya nenda Muslim Sec schools hata mlinzi tu ni muslim.

My point is Why?? Naomba jibu hapa kwa Bhkressa!!
 
Uwekezaji wake una tija kwa waislam na sio kwa taifa,binafsi sina cha kumpongeza labda shehe abdallah,juma na khamis wao kwao hii ni fursa sishangai wakimpgia chapuo hapa
Waislam pia ni sehemu ya hilo taifa ndugu.Kiwango chako cha kufikiri ni cha chini sana.
 
Nenda university au Sec yoyote ya Wakiristo kuanzia wanafunzi hadi wafanyakazi ni mchanganyiko dini zote.
Haya nenda Muslim Sec schools hata mlinzi tu ni muslim.

My point is Why?? Naomba jibu hapa kwa Bhkressa!!
Anzisha kampuni yako uajiri Wakristo.
 
Anzisha kampuni yako uajiri Wakristo.
Ninyi Magufuli kateua tu, mmepiga mayowe balaa. Ila nyie kuhoji tu ni kama tusi kwenu!!
Mm nawapenda Watanzania wote ndio maana namtaka Said Bakhressa awe pia kama mm; awepende Watanzania wote bila kujari dini, kabila wala rangi.

Hapa napigania usawa kwa wote.
Siyo chakwenu ni cha kwenu tuu; afu chetu kiwe cha wote! Mkome.
 
Hapana bhana mbona wakristo wapo!? Tena naweza wataja kwa majina asee,
Ndio wapo ila wachache. Mf TV wafanyakazi wengi wameletwa kutokana na CV zao tu (umahiri). Tena Tv wafanyakazi huwa si zaidi ya 20, hapo wakigawana wote tena ni wachache sn.
Shida ipo viwandani kwenye 4000.
Yaani ukweli lazima tu useme tu.
 
Na ile mv singida, iliozindulia na mh bado aijaanZa kazi?
Alafu kwa, nini hua anaipotezea kuitaja?
Siku akienda, kule kwenye mv msingida, atatumbua wengi
 
Bakheresa angeligombea urais wa JMT 2015. Tunggelimpa kura. Tusingeliishi na Mjanga Haya ya ss
 
Ziwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.
Unafikiri ajawai kuwafikiria?
 
Back
Top Bottom