Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Siwezi jua atakuwa ana endelea kuwafikiria tumpe muda.
Wengine walisema labda wanampa kauzibe tu. Hapo nilipata shida kidogo. Poa, ila lile limeli lingeenda Victoria bana, labda magari lakini abiria tu sidhani kama zenji Dar ni wahitaji sana.
 
Mkuu acha kuita ita majina. Swali la msingi Lake Express 1 & 2 zilipigwa zengwe au sio?
Zengwe au ukweli kuwa ataharibu barabara unajua uzito wake hadi useme ni zengwe? Kwani serikali inapokataza ukeketaji kwa wanawake ni Zengwe?
 
Km ya jamaa etu ile ambayo hatutaki kuhamini kua ni chakavu plus changa la machoo Oooh no ile ni Pantone bna
 
Hongera zake, anafanya mambo kwa busara na malengo, angekuwa mwingine kule kuahidiwa ardhi tu angekurupuka aende kulima halafu asijue mwisho wake.
 
Nani kakwambia ana maadui bora ungesema washindani hata hivyo wanaolingana naye hapa bongo hawafanyi biashara ya meli
 
Ingekuwa limenunuliwa na serikali, wangeleta used, bovu, bei wanafanya x2
labda serikali ya mkwere..ila ya msukuma..analipa cash..tena haongei na mbwa..anaongea na mwenye mbwa..
wanakuja wenye kampuni kuchukua mpunga direct apa..
 
Back
Top Bottom