Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Labda ndio wtu wake wa karibu! Charity begins at home!!!

Take it positive!!!

Hata wafadhili wakileta misaada sharti kubwa ni kuwa kandarasi wapewe makampunu ya nchini kwao!!
This is human nature!!
 
aisee ila binaadamu mungu anetuumba tofauti mtanzania mwenzako kanunua meli ya kisasa ambayo mimi na wewe tutapanda na ndugu zetu watapata ajira, ila wewe huku kwa roho mbaya yako umenuna sasa itakusaidia nini kama si kujitafutia vidonda vya tumbo bila ya sababu
 
Nmeamin hali mbaya inabidi usemee nafsi yako sio kwa watu wengine
 
hongera zake...karne ya sasa watu wanapenda vitu vizuri vipya na siyo chakavu...
 
sisi huku ktk mitandao tunadundana vichwa kwa hoja wakat mwenye mali katulia anawaza next biashara
 
Hongera. Who owns AZAM?
tanzanian born billionaire,saidi salim bakhresa.
i heard that he was planning to build a big factory in kajiado kenya,but the authority refused to give him land.
he has other investments in mombasa.
 
Kaanzisha na kjwanda cha biere

wewe hata kiwanda cha kukamua juice ya mabibo ya mikorosho yanayo dondoka hovyo huko kijijini kwenu, umeshindwa kuanzisha.
halafu unataka bakhresa ajenge kiwanda cha bia.watz bhana.
 
Hahahaaaa pole sana mkuu,seems like jiwe la jana lilikupata kisawasawa.
Sometimes tunawekana sawa tu,don't take it personal/serious.
Peace
Kwa mtoto wakike hata kidogo,ingekuwa unakojoa imesimama sawa,au ingekuwa kila mwezi huvuji ungenibamba ila kama unavuja ,sahau hilo kabisa.
 
Back
Top Bottom