Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

40bccdffb4ff527495dafb6182679727.jpg
5d0d566161679d9037022cc486ed1c40.jpg
2a36d64582f1a117c8591d219bb42648.jpg


NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Hata ije ndege ya bure Yanga hawakubali tena kwenda Znz.
 
Hivi hiyo ni boat au "Pantoni"? Hivi kisheria "Pantoni" inaruhusiwa kufanya safari ndefu kama hizo za Dar- Zanzbar?
Mkuu hiyo siyo panton wala siyo boti, ni meli, meli ni zaid ya pantoni na boti
 
Hawa ndio watu tunapaswa kuwaheshimu kwa kuwa wanatengeneza fursa ya ajili na siyo serikali, sitaheshimu serikali ambayo inashindwa kutengeneza fursa ya ajira, ambayo imeshindwa kulisha wananchi wake,ambayo imeshindwa kutibu wananchi wake,ambayo kunyanyasa wananchi inaona sawa na kubwa kuliko yote Rudisheni pesa tulizowachangia walalahoi wenzetu wa kagera za kukarabati miundo mbinu ya serikali tunawachangia kupitia kodi,tozo,fine na maushuru kibao tu.
 
Hivi kwann huyu SAID BAKHRESA karibu asilimia 99.999% ya wafanyakazi wake wengi ninWaislam tu??
Ni mdini huyu mzee sijapata kuona,ukiona watu wanamshobokea et oooh ameleta ajira basi ujue ndugu zake waislam hao
 
Hongera SSB GROUP
Sema ajira basi zitolewee sio unasikia linafanya kazi na wala tangazo la kazi watu hawaonii
Maanaa ndo wawekezaji wengi wa bongoo mtuu uko geto na bahasha yako unasubiri kutuma maombii unamuona shee Juma analudi toka kazini kaacha kucheza bao
 
Huyu Mzee anahitaji kitu kama tuzo ikiwa ni heshima na kumbukumbu kwa michango anayofanya kwa Taifa letu.
 
40bccdffb4ff527495dafb6182679727.jpg
5d0d566161679d9037022cc486ed1c40.jpg
2a36d64582f1a117c8591d219bb42648.jpg


NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Aibu kwao walioleta pantoni ya Dar Bagamoyo iliyoshindwa kufanya kazi. Tunaomba watumbuliwe kama walivyotumbuliwa wengine.
 
40bccdffb4ff527495dafb6182679727.jpg
5d0d566161679d9037022cc486ed1c40.jpg
2a36d64582f1a117c8591d219bb42648.jpg


NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.

msitubabaishe na kidudde chenu hichoo cha AZAM.. nyie hamtufikii sisi na kidude chetu hiki cha kwenda kuleeee...
UNAONA MV DAR yetu hiyoooo.. inapiga KAZI TU
HAPA KAZIKAZI TUUU.....🙄🙄😕

00330259:45b307d4b753630bf0b55fb133605394:arc614x376:w285:us1.png

unnamed%2B(42).jpg
meli1.jpg
 
Back
Top Bottom