Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Ziwa Victoria pia kuna fursa, awafikirie nao pia. Lingetua ziwani mikoa ya kanda ya ziwa ingejiweka mahali pazuri kibiashara, haswa na nchi jirani.
Hata mi nafikiri, ingeenda ziwa victoria ipige route za mwanza - bukoba
 
Sasa huyo Bakhresa hasitaje bei aliyonunulia hiyo meli/boti yake maana bado tuna machungu na ile hela tuliyopigwa kwa ununuzi wa ile takataka inayoonza pale navy kigamboni.
 
Chagadema kila kukicha wanahubiri uchumi umeporomoka,

Bakhresa amewaaibisha nyumbu wote
Kwa hiyo sasa Bakhresa kawa kimbilio lenu? Vipi zile tuhuma mlizompaka za kukwepa kodi na kuficha sukari?
 
Safi sana mzee bakharesa,naona katibu mwenezi palepole ataanza kujinadi na kusema sera zao zimesaidia
 
Jamaa anakimbiza sana

Vinywajii. Ila hana vya kuleweshaa

Mpira

Majini

Bado angani
 
Hivi vile viwanda vya bia uarabuni wamiliki ni kina nani?
 
Back
Top Bottom