Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Dahh Hongera another big step ahead
 
Enzi za upinzani wa kijinga. Sio kipindi hiki mkuu. Tz imedhamiria (labda wananchi tu) kubadilika mkuu. Tunaweza.
Mjinga tz haitapiga hata nusu hatua ikiwa chini ya ccm huku wananunua Bamber dear
Huku hakuna ajira.
Uchumi haueleweki
Tunadangwanywa tunebana matumizi wakati mavitu km mwenge WA uhuru unaokula billions upo


Huku pesa za matetemeki zimepinda
Za mikopo zimepinda
Za kwetu mifukoni zimepinda pia ccm ni janga LA taifa
 
Hivi kwann huyu SAID BAKHRESA karibu asilimia 99.999% ya wafanyakazi wake wengi ninWaislam tu??


Mi nadhani hii Enzyme imesha go bad!!

We kila unalowaza ni la kubaguzi na udiniudini!!

Kuajiri kuna factor nyingi mojawapo ni watu unaowafahamu vema na kuwaamini.

Ukiwa na mtaji wako binafsi unaweza ukamwajiri mkeona ndugu zako hata na wanao bila wasiwasi!!

Waliofilisika wataanza kulalamika eti wewe ni mkabila namdini!!! Kisa ueajiri ndugu!!!

Nonsense!!!

Hata hivyo Bakressa and Co. imeshakuwa internationa coy! Inaenda na expartise ya mtu na sio kujuana hasa kwa post zinazohitaji utaalam.

Kule Uganda nimekuta wengi ni waganda (usiniuluze ni wakristo au waislam)
Reanda vivyo hivyo!!!

Amkeni Kuendekeza udini na ukabila ni balaa kuliko mnavyodhani.
 
Mjinga tz haitapiga hata nusu hatua ikiwa chini ya ccm huku wananunua Bamber dear
Huku hakuna ajira.
Uchumi haueleweki
Tunadangwanywa tunebana matumizi wakati mavitu km mwenge WA uhuru unaokula billions upo


Huku pesa za matetemeki zimepinda
Za mikopo zimepinda
Za kwetu mifukoni zimepinda pia ccm ni janga LA taifa
Inawezekana ikawa ni kweli. Ila kwako ccm ni nini mkuu? Je ni rangi tu ya nembo ya chama au watu? Je kesho ikibandikwa bruu tu ktabadilika??
 
Alishapigwa zengwe na mwenye barabara miaka ya zamani akasusa kabisa baada ya kuzipitishia Kenya
Acha uongo wewe aliletewa zengwe alikuwa ni Azim Dewji na hizo boti zilifika Mwanza sema zilikuwa mbovu mbovu sana Bakhresa kama angekuwa na nia angeweza pia kupitisha kenya hadi Mwanza
 
Inawezekana ikawa ni kweli. Ila kwako ccm ni nini mkuu? Je ni rangi tu ya nembo ya chama au watu? Je kesho ikibandikwa bruu tu ktabadilika??
Ccm ndo tatizo kuu nchi hii
Wapiga dili wao

mafisadi wao
na uchafu wote upo ccm

hata malaika asimame akiawa raisi chini ya ccm ni uchafu tu.

ccm ni Ile Ile
 
Mi nadhani hii Enzyme imesha go bad!!

We kila unalowaza ni la kubaguzi na udiniudini!!

Kuajiri kuna factor nyingi mojawapo ni watu unaowafahamu vema na kuwaamini.

Ukiwa na mtaji wako binafsi unaweza ukamwajiri mkeona ndugu zako hata na wanao bila wasiwasi!!

Waliofilisika wataanza kulalamika eti wewe ni mkabila namdini!!! Kisa ueajiri ndugu!!!

Nonsense!!!

Hata hivyo Bakressa and Co. imeshakuwa internationa coy! Inaenda na expartise ya mtu na sio kujuana hasa kwa post zinazohitaji utaalam.

Kule Uganda nimekuta wengi ni waganda (usiniuluze ni wakristo au waislam)
Reanda vivyo hivyo!!!

Amkeni Kuendekeza udini na ukabila ni balaa kuliko mnavyodhani.
Acha point za kitoto hapa. Mkiambiwa ukweli mnaita ubaguzi.
Mm napo fanya Kazi ni RC institution, ila wameajiri na Waislam, ebu ww tutajie Mfanyakazi mkiristo Amana Bank au Shule yoyote ya Muislam?

Kati ya watu 10 wenye degree. Muislam ni mmoja (1), kati 100 six leavers 100 waislam ni 20, iweje kwenye ajira kampuni X iwe vice versa?

Mf. Wachaga wamesoma sn hata ufanye nn kila Benki utawakuta wengi tu. Haitatokea kwa Tz hii Benki kukawa na Wazaramo wengi kuliko wachaga. Reason wamesoma!!

Mm huwa sina lugha za kiswahili, za kupindisha ukweli. Napiga mlemle tu.
Ukipenda ujinyonge. Ukweli unabaki palepale.
 
Ww una angalia Tv ya watu 15 badala uongelee viwanda vya watu 4000
Sasa ninyi si ndio kila siku mnajitapa humu kwamba mna akili sana,wasomi sana ,wapenda shule sana,kwa nini hamtumii akili zenu kuanzisha miradi kama huyo bwana mkubwa halafu mkajazana nanyi wenyewe kwa wenyewe,
Maana inanishangaza wasomi wenye akili kubwa kama ninyi kulilia kuajiriwa na.mbaguzi wa dini .
 
Acha point za kitoto hapa. Mkiambiwa ukweli mnaita ubaguzi.
Mm napo fanya Kazi ni RC institution, ila wameajiri na Waislam, ebu ww tutajie Mfanyakazi mkiristo Amana Bank au Shule yoyote ya Muislam?

Kati ya watu 10 wenye degree. Muislam ni mmoja (1), kati 100 six leavers 100 waislam ni 20, iweje kwenye ajira kampuni X iwe vice versa?

Mf. Wachaga wamesoma sn hata ufanye nn kila Benki utawakuta wengi tu. Haitatokea kwa Tz hii Benki kukawa na Wazaramo wengi kuliko wachaga. Reason wamesoma!!

Mm huwa sina lugha za kiswahili, za kupindisha ukweli. Napiga mlemle tu.
Ukipenda ujinyonge. Ukweli unabaki palepale.
Sasa mfanyakazi benki unalilia kuajiriwa ukasukume pampu,
Tumesoma,tumesoma,tumesoma ,tumesoma weeeee...!!!
Hebu tutolee kelele hapa,sasa si ukakae na wasomi wenzako huko benki na tra,wataka na huko kwa bakhresa ufanye nn...
Hopeless kabisa ,mkiambiwa mnakariri na kuhitimu badala ya kutafuta maarifa na kuelimika ,mnfyuuuuuuuuh....!!!
 
Ccm ndo tatizo kuu nchi hii
Wapiga dili wao

mafisadi wao
na uchafu wote upo ccm

hata malaika asimame akiawa raisi chini ya ccm ni uchafu tu.

ccm ni Ile Ile
Kwanza najua huijui ccm! umeanza kuijua tangu mwaka 88 labda.

Ni chama kibaya tangu hapo na binafsi namaanisha hilo. Ila ubaya wake hakuna kingine chenye uzuri hata kufikia robo yake.

Mi si mccm, sikipendi hata robo. Ila ni afadhali kidogo coz kinauasili wa utanu na utanu kwa mbali.

Ccm sio nguo,rangi wala watu bali ni itikadi. Zake sizipendi na hazieleweki. Ila ni bora kuliko wasonazo.

Naipenda Tanzania, mi ni mtanzania. Na nakijua kilicho atleast bora kwa Tanzania.
 
Kwanza najua huijui ccm! umeanza kuijua tangu mwaka 88 labda.

Ni chama kibaya tangu hapo na binafsi namaanisha hilo. Ila ubaya wake hakuna kingine chenye uzuri hata kufikia robo yake.

Mi si mccm, sikipendi hata robo. Ila ni afadhali kidogo coz kinauasili wa utanu na utanu kwa mbali.

Ccm sio nguo,rangi wala watu bali ni itikadi. Zake sizipendi na hazieleweki. Ila ni bora kuliko wasonazo.

Naipenda Tanzania, mi ni mtanzania. Na nakijua kilicho atleast bora kwa Tanzania.






NONESENSE
 
Utajiri Wa Yale madude una masharti yake ukikosea unadanja au unakuwa masikini ghafla... Ni hatari sana yaani mali zako zote unajikuta umeziwekeza kwenye kamari ukaliwa zote hapo unachanganyikiwa unakuwa kichaa au kifo or unajikuta umefanya kosa kubwa ukafungwa su ukataifishwa n.k ni utajiri wa mateso bila chuki...
Hebu fafanua uharo wako wewe kenge,karne ya 21 unaongelea ushirikina?,hebu jichunguze pale katikati mapumbuuzz yako yanapokaa,utaona chupi imetoboka na pumbuuzz zako zimevuja mpaka mkunduniiizzz au vipi? ,na ukikaaa tu unayakalia mapumbuuzz yako yanapasuka kama mayai viza.
 






NONESENSE
Ila nashirikiana nawe ktk majonzi yalotukuta leo, simba wametufunga tena nyumbani kwa mwenye kadi yetu namba moja.

Najua unajua Yanga ni nini kwa taifa hili zaidi ya kuwa timu ya mpira.

Nadhani hili sasa litakuwa non sensical nonsense.
 
Hivi eeeh......
Nataka nifike kwa Amina mpaka hina wa Kibanda maiti.....nitaarudi kesho....
Mrembo wa kweli,tena nakufagilia kihasa hasa,inakuwaje unakuwa tofauti na uzuri wako?,au hujiamini na labda kuna walakin?
 






NONESENSE
Niko hapi nadhani zaidi ya vile uwezavyo kudhani, ndo maisha niliyojiamulia. Mjinga mimi, mwehu Mimi, jaribu nawe kuishi hivi.

Uhuru si ungetuweka huru au? ¡!!??? Nko huru sana.
 
Bila shaka utakuwa muda jina muajiliwa hapo wewe mama,nakiona tu povu linavyo kutoka,ngalawa sina ila Nina zaidi ya hiyo ngalawa tena utanifaa sana ukija nikuajiri

= muajiriwa
 
Back
Top Bottom