Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Kwa mtoto wakike hata kidogo,ingekuwa unakojoa imesimama sawa,au ingekuwa kila mwezi huvuji ungenibamba ila kama unavuja ,sahau hilo kabisa.
Wewe ni mpumbavu, sikutegemea kwa jinsi nilivyokujibu kistaarab ungenijibu utumbo namna hii.

Anyways hii kama Jamii vichaa wapo pia,
Period.
 
Halafu tunaambiwa na forbe eti Mo dewje anamzidi Azam kwa mkwanja
Ndo hapo hata mimi nashangaa, sijui mo ana vitu gani vya ajabu kumshinda huyu jamaa. Na mwaka juzi hapa alikopa zaidi ya billion 300
 
Hata Observation inatosha.
Nikienda hapo ni dk 2 tu nakuja na PAYROLL ya majina.
Wewe Kiumbe wa aje aisee!! Hivi aliyekwambia kua dini ya mtu inapimwa kwa kuangalia jina lake ni nani?!

Nimekushauri huko kwenye comment zangu za juu kua anzisha na wewe miradi yako ili uajiri uwapendao,

Naona ukabila/ubaguzi unakutafuna kwa kasi sana,ukimaliza udini utahamia kwenye ukabila, utahoji tena, mbona Bakhresa anaajiri Wachaga tuu? Wasukuma,Waha,Wazaramo n.k

Ukitoka hapo utaanza kuhoji tena,mbona Bakhresa anaajiri wapenzi wa team ya Azam tuu? Au Yanga tuu? Simba,Arsenal n.k

Acha fikra za kibaguzi mkuu utajiona hata na maisha yako yataanza kubadilika na utaanza kuona mafanikio,

One love.
 
Wewe Kiumbe wa aje aisee!! Hivi aliyekwambia kua dini ya mtu inapimwa kwa kuangalia jina lake ni nani?!

Nimekushauri huko kwenye comment zangu za juu kua anzisha na wewe miradi yako ili uajiri uwapendao,

Naona ukabila/ubaguzi unakutafuna kwa kasi sana,ukimaliza udini utahamia kwenye ukabila, utahoji tena, mbona Bakhresa anaajiri Wachaga tuu? Wasukuma,Waha,Wazaramo n.k

Ukitoka hapo utaanza kuhoji tena,mbona Bakhresa anaajiri wapenzi wa team ya Azam tuu? Au Yanga tuu? Simba,Arsenal n.k

Acha fikra za kibaguzi mkuu utajiona hata na maisha yako yataanza kubadilika na utaanza kuona mafanikio,

One love.
Ongea Point ww!!
Siyo kuandika meeengi ndani utumbo tu. Kwani Dini kazini watu hawajazi?

Jibu swali: kwanini?
Unapiga porojo tu hata hujibu swali!!!
 
Hebu fafanua uharo wako wewe kenge,karne ya 21 unaongelea ushirikina?,hebu jichunguze pale katikati mapumbuuzz yako yanapokaa,utaona chupi imetoboka na pumbuuzz zako zimevuja mpaka mkunduniiizzz au vipi? ,na ukikaaa tu unayakalia mapumbuuzz yako yanapasuka kama mayai viza.
We vepe unaongea kama tahahira! Au na wewe ni mmoja Wa wake zake Wa jinsia yake pale Livingstone!
 
We bata maji kweli sasa uchumi wa bakhresa utaulinganisha na wa kwako au wa serikali, kwanza serikali yenyewe haina hela kama za bakhresa saivi
Hamna mtu anaweza kuwa na pesa kuliko serikali
 
Hivi kwann huyu SAID BAKHRESA karibu asilimia 99.999% ya wafanyakazi wake wengi ninWaislam tu??
Hapa ndiyo ilipo changamoto ya Mtanzania,watu wanazungumzia meli iliyoshushwa na Kampuni ya Bakhressa,wewe unazungumzia idadi ya Waislamu kwenye Kampuni yake,tujifunze kudeal na issues watanzania wenzangu na siyo watu,haitatusaidia zaidi ya kutubomoa!
 
"Tupo kwenye mchakato wa kununua meli kubwa ya ziwa Victoria" Magu

Mchakato ulianza tangu enzi ya Mkapa
 
40bccdffb4ff527495dafb6182679727.jpg
5d0d566161679d9037022cc486ed1c40.jpg
2a36d64582f1a117c8591d219bb42648.jpg


NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Kwani watu wakifanya biashara za kufanana wanakuwa maadui? Mnajipendekeza sana mbona hateui mawaziri au wakuu Wa wilaya huyo.. Zaidi atawashikeni masabur! Tu
 
Back
Top Bottom