Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

40bccdffb4ff527495dafb6182679727.jpg
5d0d566161679d9037022cc486ed1c40.jpg
2a36d64582f1a117c8591d219bb42648.jpg


NB : maadui na wapinzani wa kibiashara wa mzee bakhresa and family,habari ndio hiyo.pongezi kwake tafadhali.
Huyu mzee mbinafsi sana atuwekee ya kivukoni bagamoyo basi ile mv dar wanajua wenye mji walichotufanyia aache kauchoyo bwana vitu vizuri kula na nduguyo
 
Tungekua na hakina Bakheresa 10 tu basi Tramp atusubiri
..Mungu amuongezee Upeo zaidi Aweke na kiwanda cha Magar hapa Bongo
 
Hapa natizama game ya simba vs yanga

Na watangazaji 4 wakristo nawaona

Muislamu mmoja
Hahaha,
pascal Kabombe,James samwel,baraka edson mpenja na Walter Harrison.

hao ndio watangazaji wanaonguruma SAA hii ktk mechi babkubwa ya Simba vs yanga ambayo inaenda live azam one na azam HD.

wanaosema makampuni ya bakhresa yanaajiri wafanyakazi kwa kigezo cha udini,watafute sababu nyingine.
 
Mwana mbona unaandika maneno unakosea kosea hivo... Utadhani una ukoma kwenye vidole rafiki????
ACHA UBOYA WEWE... Pumbavv kabisa

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
Ndo hawa wasomi wetu.

Sijui limelewa hili linyang'au
 
Huyu mzee mbinafsi sana atuwekee ya kivukoni bagamoyo basi ile mv dar wanajua wenye mji walichotufanyia aache kauchoyo bwana vitu vizuri kula na nduguyo
punguza kulalamika mkuu,anza kwanza kuilalamikia serikari yako.
 
Back
Top Bottom