Bakhresa Group washusha Meli mpya

Bakhresa Group washusha Meli mpya

Anastahili pongezi maana anarahisisha usafiri tukumbuke tuna ndugu jamaa marafiki Zanzibar...na fursa za biashara/ajira zinaongezeka pia pongezi kwake
Acha kujipendekeza kwa nchi za watu!
 
bakhresa ana mtafuta wa juu kwa africa taratibu
 
Hivi hiyo ni boat au "Pantoni"? Hivi kisheria "Pantoni" inaruhusiwa kufanya safari ndefu kama hizo za Dar- Zanzbar?
 
Uwezo was kuweka pipa anao, huyo jamaa miradi take hakurupuki. Anafanya utafiti na upembuzi wa kina kabla ya kuanzisha mradi.


Mwana mbona unaandika maneno unakosea kosea hivo... Utadhani una ukoma kwenye vidole rafiki????
ACHA UBOYA WEWE... Pumbavv kabisa

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG]
 
Alete na pipa ntamuelewa asikazanie mimeli tu
Ukitaka kujua biashara ya usafiri wa anga ina changamoto za namna gani mulize JK

Biashara ya anga tuwaachie Waarabu
 
kwanini mh magufuli asiongee nae huyu mzee? atamsaidia sana kuinua uchumi wetu.
 
Back
Top Bottom