Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,246
- 27,504
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa mkuu wahindi na uislam wapi na wapi? bora hata ungesema kajaza channel za kiarabu kidogo ungetushawishi. tuache chuki zisizo na mpango tuchape kazi.Yani hawa watu nmetokea kutowapenda hata kidogo ni wabaguzi mno,hawa azam wa.puuzi sana hata king'amuzi chao wamejaza channels za kihindi as if consumer wa bidhaa zao ni waislam wote nmekiuza juz hcho kisimbus chao nmenunua dstv na home kwangu marufuku bidhaa za huyu n.g.urue
Endelea kutafiti mkuumbona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Unajua maana ya Bakhresa group of companies au umekuja kuchangia tu? Azam media ni miongoni mwao.kwenye maelezo yake umeona ametaja azam media?
Ujinga ni mzigo kweli, ukaona wahindi wote ni waislam kwa akili zako na hicho ndio kigezo chako cha Azam kuwa wabaguzi.Yani hawa watu nmetokea kutowapenda hata kidogo ni wabaguzi mno,hawa azam wa.puuzi sana hata king'amuzi chao wamejaza channels za kihindi as if consumer wa bidhaa zao ni waislam wote nmekiuza juz hcho kisimbus chao nmenunua dstv na home kwangu marufuku bidhaa za huyu n.g.urue
Si ususie vyote kabisa ili umkomoe kabisaKwanzia kesho nasusia bidhaa zake. Kasoro king'amuzi tu. Sipendi ujinga mimi
ni chaguo lako ulimwengu wa sasa ni free market.Nimepunguza kununua bidhaa zake muda mrefu Sana nitanunua endapo nitakosa bidhaa ninayoitaji katika hilo eneo
Si ususie vyote kabisa ili umkomoe kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hujadanganya upo sahihi kabisa yani hawa wote hadi Mohamed mo, yan hata ukiomba field wanataka uwe Muslim na kama wa kiume uwe na hata mzuzu ndio wanakuamin, bint uwe umepiga baibui full hapo utapata. Ila uende smart tuuu na u Jackson wako, barua yako inafutiwa meza au kufungiwa vitafunwa
Ni kweli nimeshachagua kwangu SSB NOni chaguo lako ulimwengu wa sasa ni free market.
Mkuu siwezi kukutukana hata moyoni, naomba unisamehe maana inawezekana moyoni umehisi nimekutukana
Kuhusu wingi wa like ni kwamba like haziamui uzito wa hoja, kama ambavyo watu hufanana akili ndivyo hivyo pia huweza kufana ujinga. Nakupenda na kukuheshimu sana ndugu yangu.
Tena sasahivi nafuu wamepunguzwa spidi na magu maana hiyo ni empire na kazi nzuri zote zilikua zao ukipata kazi nzuri wanakuuliza hivi umepataje hiyo kazi kama vile hustahiliKama rcdb kuna kimaro,mushi,kiria, n.k
Usipokunywa utakula, halafu kupitia hela ysko uliyokuwa unanunulia hivyo vitu kajenga na hotel ksbisa na watu wataenda kwa fujo bila kujali hizi kelele za vijana wanaotaka kwenda kupiga picha na videmu vyao kusikia hapo sio danguro mje mkiwa na vyeti vya ndoa na kama ni pombe nendeni mtaani baa kibao.Nimepunguza kununua bidhaa zake muda mrefu Sana nitanunua endapo nitakosa bidhaa ninayoitaji katika hilo eneo
mtoa mada wewe ndio.mdiniBakhresa group au Azam kama wengi wanavyoifahamu kampuni hii, ina udini sana!
Sehemu zao zote walikowekeza ili upate kazi kipaumbele ni lazima uwe unaabudu Islamic; kwanini?!
Anzia kwa madereva wa maroli na gari ndogo ili upate kazi lazima uitwe Juma, Hamia, Hamis, Abdul, Aisha na majina fanani na hayo!
Viwanda vyote vya juice, biscuits na chocolate lazima uwe na sifa hiyo.
Hii si sawa kabisa!Hivi hawa akina John, Eliakim, Annastazia na wengine wengi wakiamua kususia bidhaa zako itakuwaje?
Hata Rwanda sasa wameanza kulalamikia jambo hilo. Mfagizi tu wa OFISI eti lazima awe Islamic! Na hata sasa nasikia una boti inayotoa huduma kiislamu pekee!
Tambua bidhaa zako hazinunuliwi na waislamu pekee na acheni ubaguzi!