Mwambie awauzie wa imani yake au kabila lake,kwenye kusaka wateja wote wao ila ajira upendeleoHii tabia ya ulalamishi Wakristo mmeanza lini? Focus kwenye mambo makubwa. Achana na mambo madogo madogo. Kampuni yake ana uhuru wa kuajiri mtu yeyote ambaye yeye anamwona ana vigezo. Ili mtadia havunji sheria.
Hii tabia ya ulalamishi na nyie wakristo mmeanza lini? Mimi naamini kila mtu ana haki ya kuajiri watu anaotaka kwa vigezo vyake.... Vijana mjikite kwenye mambo ya msingi ya kujenga nchi. Hiyo ni Kampuni binafsi ana uhuru kuajiri watu anaowataka kwa kufuata vigezo vyake. Binafsi nachukia sana tabia ya ulalamishi.
Hao ni manguli ambao hata hawaji kuomba kazi, unawatafuta mwenyeweCharles Hillary, Ivona Kamuntu na wengineo.
Naungu mkono hojaBinafsi ni mteja mkubwa sana wa bidhaa za Azam, kuanzia maziwa, juice, maji, boat, TV, Timu ya mpira ni shabiki; ila kwa ubaguzi huu natoa masaa 24 waje watoe ufafanuzi juu ya tuhuma hizi, vinginevyo nasusia bidhaa zote hizo, wacha wanunue akina mudi peke yao. Na nitapiga marufuku kabisa bidhaa za azam nyumbani kwangu, tena wakiendelea nitaanzisha boycott kila mahali ninapoweza, ubaguzi haukubaliki, tususie tu
Mwambie aandike bidhaa anazozalisha ni kwa waislam pekee,uone kama kuna mkristo ataigusa,na ukizingatia mambo yenu mengi ni ya ki majini,hakuna mkristo atakaribia.Lakini kwanini mnalazimisha kufanya kazi bakhresa, nendeni Coca-Cola, IPP, Star Media au hata Kisena group.
Umesema kweli, kweli kabisa...wakati wanasoma wao walikua madrasaa, ila sasahivi mwamko mkubwa, top 10 za mwisho kitaifa mikoa ndio ile ile ya madrasa
Toka lini mwajiriwa akawa na mpunga kuliko aliejiajiri,Ni sawa wameachwa nyuma lakini kwanini asilimia kubwa wenye mpunga ni Waislamu?
Sheria za ajira zinapinga ubaguxi wowote wa dini,chama,kabila, jinsia, ulemavu nk.Hakuna kitu kinaitwa binafsi ukishahusha wengi.
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama haya malalamiko ni ya kweli hatari sana lakini ukiachilia Mbali Bakhresa Sekta binafsi kuna shida ya ukabila na Udini. Uwezi ukakuta kampuni ya mchaga wamejaa wazaramo hata siku moja. Msumeno ukate Huku na Huku
Kua mpole ndugu na uwe unauliza kabla ya ku generalize mambo. Tuelimishane na sio kubishana.Mwambie aandike bidhaa anazozalisha ni kwa waislam pekee,uone kama kuna mkristo ataigusa,na ukizingatia mambo yenu mengi ni ya ki majini,hakuna mkristo atakaribia.
Jiulize kwa nini asijikite na viwanda vyake Pemba au Unguja na anavileta kwetu,sisi mnaotuita makafiri,ambao ni Tanz,Malawi,Burundi na Rwanda.
Hizo nchi nilizotaja bakhresa na udini wake,analipwa pesa ambayo imepita mikononi ya wala Nguruwe na anaipokea,ambayo mnaita najisi na kuiweka mfukon.
Halafu unaongea ufyoro,pyuuuuuuu!.
Ni kweli usemalo, na hata mimi kwakuwa nimegundua hili na kwakuwa silazimishwi kutumia bidhaa zake, kuanzia leo nitakuwa nakagua kila bidhaa kuhakikisha si ya azam, ikiwa ni ishara ya kupinga udini makaziniHii tabia ya ulalamishi Wakristo mmeanza lini? Focus kwenye mambo makubwa. Achana na mambo madogo madogo. Kampuni yake ana uhuru wa kuajiri mtu yeyote ambaye yeye anamwona ana vigezo. Ili mtadia havunji sheria.
Hii tabia ya ulalamishi na nyie wakristo mmeanza lini? Mimi naamini kila mtu ana haki ya kuajiri watu anaotaka kwa vigezo vyake.... Vijana mjikite kwenye mambo ya msingi ya kujenga nchi. Hiyo ni Kampuni binafsi ana uhuru kuajiri watu anaowataka kwa kufuata vigezo vyake. Binafsi nachukia sana tabia ya ulalamishi.
Kwenye media lazima achanganye ili kufunika kombembona kuna wakina raymond na patric pale azam media? nadhani labda kuna jambo lingine lakini kwa udini hapana aisee namtetea.
Mfano NSSF, si ndio eeh.., swala hapa ni dini kuwa kigezo, ukiona hivyo serikalini basi tambua hao wameshinda kwa vigezo vya ueledi na si diniKaribu asilimia 96 ya wafanyakazi wa serikali ni wakristo,je tusemeje hapo ?
Waneachwa nyuma wapiMfumo kristo uliwaacha nyuma sana waislamu, sasa Bakhresa ni muumini mzuri wa hiyo dini wacha awasaidie ndugu zake na dini yake inamuelekeza kufanya hivyo.
Huyu Firdaus inamuhusu na vile vibira.
Chars hakuomba kaz walimfuata waoCharles Hillary, Ivona Kamuntu na wengineo.
Sasa kama vichwa vyote vimejaa upande wa wala kitimoto ulitaka awaache na achague vilaza kisa tu anawaonea huruma?Ungeanza na Baraza la mawaziri kwanza ukaiambia serikali else unalako jambo. Au Roho ile ya zao la Mtwara.