Bajaj za umeme kwa mikopo na cash

Bajaj za umeme kwa mikopo na cash

MR KWACHA

Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
84
Reaction score
73
BAJAJI ZA UMEME KWA MIKOPO NA CASH weka oda Yako sasa
Habari
Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada.

Nikiwa kama wakala wa mauzo Toka kampuni ya JAHA ELECTRIC VEHICLE INTERNATIONAL COMPANY LTD. Nspenda kuwatangazia kuwa kuna promotion ya bajaji au pikipiki za miguu mitatu zinazotumia umeme yaani zinachajiwa nyumbani Kwa unit za shilling elfu Tano na kuwa na uwezo wa kutembea Hadi umbali wa kilomita 200-300km mpaka betri linaisha
Passenger 201
Hii ni Bajaj ndogo ya rangi ya njano
Sifa zake
* Inachajiwa Kwa masaa manane Kwa umeme wa shilling elfu Tano nyumban kwako
*Inakuwa na uwezo wa kutembea umbali wa kilomita 150
* Ina uwezo wa kubeba abiria watano na dereva wa sita
*Unapewa betri lenye warranty ya miaka miwili
  • Unafanya service nyepesi sana maana inatumia sana mfumo wa umeme
  • Inamfumo wa ziada wa mafuta pindi unapotumia mfumo wa umeme na kuishiwa chaji mfumo wa mafuta unatumika kama backup
  • Ina uwezo wa kukimbia kilomita 70kwa saa
BEI
CASH ni 8,100,000/-
Hesabu za mkopo
MKOPO wa miezi 6
Kianzio ni 4,500,000/-
Marejesho Kwa siku ni 36,000/-
MKOPO wa miezi 12
Kianzio ni 3,500,000/-
Marejesho Kwa siku ni 26,000/-
MKOPO wa miezi 24
Kianzio ni 1,300,000/-
Marejesho Kwa siku ni 26,000/-

Passenger 301
Hii ni Bajaj kubwa yenye rangi ya Blue
Sifa zake
  • Ina uwezo wa kubeba abiria saba na dereva wa nane
  • Inachajiwa Kwa masaa manane Kwa umeme wa elfu Tano nyumban kwakom
  • Ina uwezo wa kutembea umbali wa kilomita 150 pindi chaji inapokuwa full
*Ina uwezo wa kukimbia kilomita 70kwa saa
  • Betri lina warranty ya miaka miwili
  • Imeundwa ukiwa na uwezo wa kuhimili na kustahimilibl mazingira ya Barbara za Tanzania na afrika Kwa ujumla
  • Ni hybrid l, ni optional unaweza itumia Kwa mfumo wa umeme na mfumo wa mafuta.

BEI
Cash 10,500,000/-
Hesabu za mkopo
MKOPO wa miezi 6
Kianzio ni 5,500,000/-
Rejesho Kwa siku ni 60,000/-

MKOPO wa miezi 12
Kianzio ni 4,500,000/-
Rejesho Kwa siku ni 31,000/-

MKOPO wa miezi 24
Kianzio ni 1,500,000/-
Rejesho la siku ni 29,751/-


Cargo dumper GUTA
sifa zake
* Imeundwa maalumu Kwa ajili ya kubeba mizigo mizito
*Ina uwezo wa kubeba mizigo yenye uzito Hadi tani mbili 2000kgs
*Inachajiwa Kwa masaa manane Kwa umeme wa shilling elfu tisa
*Ina uwezo wa kutembea umbali wa 300 betri ikiwa full
  • Ina kasi ya kilomita 40 Kwa saa
  • Ni hybrid Ina optional au emergency ya mfumo wa mafuta
BEI
CASH ni 8,200,000/-
Kwa MKOPO
Miezi 6
Kianzio ni 4,500,000/-
Rejesho la siku ni 36,000/

Miezi 12
Kianzio ni 3,500,000/-
Rejesho la siku ni 26,000/-

Miezi 24
Kianzio ni 1,300,000/-
Rejesho la siku 26,000/-

Kwa mawasiliano zaidi 0686153806
Tunapatikana tabata sukita

3.jpg
e5.jpg
e7.jpg
e1.jpg
 
Haya zingine hizo japo
 

Attachments

  • IMG_20251217_083105_648.jpg
    IMG_20251217_083105_648.jpg
    372.3 KB · Views: 12
  • IMG_20251217_083114_538.jpg
    IMG_20251217_083114_538.jpg
    565.4 KB · Views: 13
  • IMG_20251217_083020_487.jpg
    IMG_20251217_083020_487.jpg
    456.5 KB · Views: 9
  • IMG_20251217_083017_270.jpg
    IMG_20251217_083017_270.jpg
    490.5 KB · Views: 10
  • IMG_20251217_083131_555.jpg
    IMG_20251217_083131_555.jpg
    509.8 KB · Views: 12
  • IMG_20251217_083122_441.jpg
    IMG_20251217_083122_441.jpg
    523.4 KB · Views: 9
  • IMG_20251217_083210_886.jpg
    IMG_20251217_083210_886.jpg
    452.8 KB · Views: 17
Nawaza hzo guta za mizigo,kwamba tani mbili afu source betri la kuchaji,Mmh!?

Kama za mafuta tu zinateseka kwa uzito huo,je ya kuchaji inawezaje
 
Sasa wewe bisha lon ndio ukweli
ya kwangu ni kampuni X nadundia gunia za mpunga 25 kutoka mashambani huko inaparamia vigongo na huo mzigo kama kichaa vile, je hiyo itaweza kuhimili kweli au yenyewe iko special kwa barabara za lami!?.
 
ya kwangu ni kampuni X nadundia gunia za mpunga 25 kutoka mashambani huko inaparamia vigongo na huo mzigo kama kichaa vile, je hiyo itaweza kuhimili kweli au yenyewe iko special kwa barabara za lami!?.
Hilo GUTA la tani mbili ni special Kwa mjini but kuna kubwa yake Hadi shambani inaingia
 
Back
Top Bottom