BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

Duh, very poor argument from you bro, unajiconsole kwa kuweka sikio na kichwa, na unajua kabisa haviendani na hii mada. Ni mrengo wa chama tu ndio unakutoa ufaham namna hii. Basi sawa.
OK Sawa asante, tufunge huu mjadala kati yeti ili mengine yaweze kusonga
 
OK Sawa asante, tufunge huu mjadala kati yeti ili mengine yaweze kusonga
Sawa sawa mtani, let's go back to spiritual realm, huko ndiko talanta yako ilipo.
Ukipata muda, tufunze impact ya weed in the spiritual world plz.
 
Sijathibitisha chochote ila kama unayoyasema unayaamini kuwa ni ukweli basi ni mpango wa muda mrefu sana na haujaanza leo, Kifo cha Habyarimana TZ yetu inahusika kwa namna moja au nyingine kwa maana Habya alitunguliwa akitokea Dar yeye pmj na Raisi wa Urundi na intelligence walimuonya kwanza kutokwenda TZ kwani walidukuwa Infos za assassination, na huwo ndiyo uliokuwa mwanzo genocide iliyomuingiza Kagame na kupata powers kuna players wengi kuanzia CIA, French intelligence na wengineo, usisahau Museveni ni partner wa Kagame na aliyemuingiza Museveni madarakani ni Nyerere, Museveni alikuwa TZ kabla ya kufanya Mapinduzi UG, hivyo kama ni kweli usemavyo basi ni mpango wa muda mrefu wa tangu Nyerere kwani Nyerere ana asili ya Unyarwanda!
umejenga hoja kisomi aisee!!
 
Sawa sawa mtani, let's go back to spiritual realm, huko ndiko talanta yako ilipo.
Ukipata muda, tufunze impact ya weed in the spiritual world plz.
OK OK Sawa ila kuna mada yake tayari takutag
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kwahiyo Askari wetu ni maganda ya ndizi? Kama hawawezi kumlinda mkulu watawezaje kulinda mipaka ya nchi?
 
Kuongea lugha moja hakufanyi watu kuwa kabila moja, mamilioni ya watu wanaongea kiingeleza lakini sio kabila wala taifa moja, watanzania wote tunaongea kiswahili lakini sio kabila moja.

Kinyarwanda na Kirundi na kiha(kigoma) ni lugha moja, kwa hiyo ni kabila moja. Acha ubwe..
Lugha ya Waha haipatikani popote nje ya Tanzania.
 
Hilo ni swala lingine, isitoshe siyo kosa lao, kama nyie mnawaweka JUU kwa nini wao wajishushe? Ni mara ngapi mnapigania hapa JF kwenda kuoa Unyarwanda? Mbona wao hawapiganii kuja kuo kwetu?
Ukiwa timamu huwezi kwenda kuoa huko maana utakuwa na hatari ya kuwa na watotot 100% Wanyarwandawatanzania
 
Wakati wanafika eneo hilo(wakiwa wageni), wenyejiwalikuwa wakiulizana "WAZANAKI?' wakimaanisha WATARUDI LINI(walikotoka)?
Hivyo si kweli kuwa walijitungia.
Duu OK kwa mtazamo mwingine WAKUJA
 
Usalama wa taifa mbona ulikwisha siku nyingi kuna mtu anaitwa Ntukamazina ni kabila gani na anacheo gani?
 
Acheni propaganda za kipuuzi. Hii ni nakili ya propaganda chafu za genocidaire. Porojo hizi based on hatred for the good people of Tutsi origin. Ni kampeni chafu inayoratibiwa na interahamwe na ex-far na genge la genocidaire lenye nia ya kuwagawa watu kwa chuki za kupandikizwa. Hivi mnaamini Kagame awe na nguvu ya kutaka kutawala watanzania milioni 50 na waswahili wabaki wanamuangalia tu? Acheni propagation ya uchafu huu.
 
Acheni propaganda za kipuuzi. Hii ni nakili ya propaganda chafu za genocidaire. Porojo hizi based on hatred for the good people of Tutsi origin. Ni kampeni chafu inayoratibiwa na interahamwe na ex-far na genge la genocidaire lenye nia ya kuwagawa watu kwa chuki za kupandikizwa. Hivi mnaamini Kagame awe na nguvu ya kutaka kutawala watanzania milioni 50 na waswahili wabaki wanamuangalia tu? Acheni propagation ya uchafu huu.
Unataka akutawale mara ngapi ndio ujue?
 
Nyinyi wote mnasumbuliwa na dhambi ya ubaguzi

Acheni propaganda za kipuuzi. Hii ni nakili ya propaganda chafu za genocidaire. Porojo hizi based on hatred for the good people of Tutsi origin. Ni kampeni chafu inayoratibiwa na interahamwe na ex-far na genge la genocidaire lenye nia ya kuwagawa watu kwa chuki za kupandikizwa. Hivi mnaamini Kagame awe na nguvu ya kutaka kutawala watanzania milioni 50 na waswahili wabaki wanamuangalia tu? Acheni propagation ya uchafu huu.
 
Unataka akutawale mara ngapi ndio ujue?
Genocidaire bado mnaumia sana kuondolewa madarakani kwa utawala wenu wa kidhalimu na kiuaji Rwanda. Roho zinawauma kuona baba Kagame kainyoosha nchi na kuleta mapinduzi kubwa kwa economy. Mnatafuta sympathy Tanzanie ili mupate wafuasi. Not going to happen.
 
Back
Top Bottom