nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 2,087
- 2,844
Kuongea lugha moja hakufanyi watu kuwa kabila moja, mamilioni ya watu wanaongea kiingeleza lakini sio kabila wala taifa moja, watanzania wote tunaongea kiswahili lakini sio kabila moja.Sifa kuu ya kabila ni kuwa na Lugha yake.. Naomba unitajie Lugha ya hilo kabila lako la "Hutu"
Ukifanikiwa kunitajia Hutu Language Niwekee namba yako ya simu nikutumie laki 9
Kinyarwanda na Kirundi na kiha(kigoma) ni lugha moja, kwa hiyo ni kabila moja. Acha ubwe..
