BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

BAHIMA Empire na uchaguzi butu 2020

Genocidaire bado mnaumia sana kuondolewa madarakani kwa utawala wenu wa kidhalimu na kiuaji Rwanda. Roho zinawauma kuona baba Kagame kainyoosha nchi na kuleta mapinduzi kubwa kwa economy. Mnatafuta sympathy Tanzanie ili mupate wafuasi. Not going to happen.
Sorry Mulindi wewe ni Mnyarwanda?
 
Ahsante kiongozi kwakunitag nitakuletea mrejesho baada ya masaa5 ntakuwa nimemaliza uchunguzi
 
Rwanda kuna watusi na wahutu asilimia kubwa ya ethnicity ya huko rwanda ni wahutu...labda kama nao wanaongea kinyarwanda, vivyo hivyo burundi asilimia kubwa ni wahutu ila wanyarwanda nao pia wapo ila burundi wanaongea kirundi sasa sijawahifatilia kama kirundi na kinyarwanda kinafanana au hakifanani
mkuu vinafanana sana, yani ukisikiliza kiha, havina tofauti na hilo kabila, mpaka na lafudhi
 
Wabunge wa upinzani hawawezi kuongezeka democracy imekufa 2020 upinzani utakufa
kivipi mkuu, kwani wanaopiga kura ni watawala peke yake, hizi chokochoko wananchi tunaziona, sasa utawalazimisha wananchi wapende utawala, upinzani kufa ni kufuta kabisa upinzani hapo sawa
 
Bungeni wapo kabisa. Na yupo mmoja kwa tiketi ya chama chetu ccm jimbo moja umasaini. Fikiria mnyarwanda umasaini hadi akapata ubunge. Ni kwasababu ni wa chama chetu tu basi......
Mkoa gani? Manyara au Arusha?
 
MNAANZA ubaguzi sasa, kama mnaanza hivyo basi li Tanganyika ligawanywe tena kila watu wenye asili yao wakaoe kwao. Kigoma na Ngara ziende Burundi, karangwe iende Rwanda, Kiziba au Mtukula iende Uganda, Wachaga wote waende Kenya pamoja na Musoma na Arusha, wale wa kwaona na Dk Slaa waende IRAKI, alafu, Ruvuma Mtwara waende Msumbiji, Sonea waende tu malawi, na Mbeya waunge tu Zambia, hapo watabaki wagogo, wazigua wakienda somalia, na zanzibar wakenda shelisheli. Mleta mada ufafanusi wako sio mzuri wacha watutawale tu kama hatuna akili ya kujitawala. Mpango wao haukuanza leo ni wa kihistoria yaani mwaka 1890, Bahima Empire ni jamii ya wafugaji na wakulima, wanaopatikana Uganda, Rwanda, Tanzania, Congo, Burundi, hawa walikuwa watawala walibadilika kufuatana na sehemu. Bukoba waliitwa Wahinda, asili yao hawali samaki, wanawake hawali mbuzi, ni walefu sana, wanajisikia sana, wanadhalau kinoma, familia nyingi zimewaoa hili kutoa mbegu kwa sababu wana akili sana na wasili mno. ndio maana wajanja Wahaya waliwaoa sana, ukienda Muleba Mjini, Mshamba, Kamachumu, Katoro , mbunda na karagwe wapo wengi, wanaitwa walalalo. Ukitaka kuwaondoa utaua vipaji vya watu wa kagera, hawa watu wajanja sana, wamejitwalia Biharamulo, Sengerema, na Chato, ukienda sengerema na chato wanajiita wasukuma, ukienda biaramulo wajajiita wasubi. naishia hapo wana historia kubwa.
 
Back
Top Bottom