Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

Awamu hii, Kama Kuna projects wanazotekeleza ambazo ni nonesense, ni ujenzi wa daraja la Koko beach - Ocean road. Huwa najiuliza faida ya daraja Hilo, sielewi kabisa.

I associate myself with you. Mpaka leo sijaelewa mantiki ya hili daraja. Labda ni ule msemo .....mwenye nacho huongezewa.
 
Awamu hii, Kama Kuna projects wanazotekeleza ambazo ni nonesense, ni ujenzi wa daraja la Koko beach - Ocean road. Huwa najiuliza faida ya daraja Hilo, sielewi kabisa.

..bado kuna IKULU mpya inajenga Dodoma.

..kwa shida zetu waTz hivi tunahitaji Ikulu mpya sasa hivi?
 
Umegugo ka ramani hako unakuja mbio humu, tunaojua usumbufu wa pale kigongo ni sisi we kaa zako huko iringa,

Jpm kwa mradi huu 28 una kura yangu
 
Awamu hii, Kama Kuna projects wanazotekeleza ambazo ni nonesense, ni ujenzi wa daraja la Koko beach - Ocean road. Huwa najiuliza faida ya daraja Hilo, sielewi kabisa.
Huko kwny ujenzi ndiko wanapigia mapesa ya kutosha.

So No way out ujenzi lazima waendelee kuupa kipaumbele ili nao waendelee kuneemeka.
 
Uhuru wa mawazo ni mzuri lakini kwa watu wa upande wa mwanza hii ni faida na inaokoa muda sana...kuvuka pale ferry ukikuta dude limetembea unasubiri muda mrefu Sana na like Kuna watu wengi mno na magari...wanalata shida Sana tu sema ndio hivo tunaona shida ya mwenzio soup yako...yaani kwa umuhimu ni bora zaidi kuliko daraja la kigamboni

Jamaa ameshauri kwenye b700 wangenunua vivuko vipya viwili alafu pesa inayobaki ifanye kazi nyingine na mtu mwingine akashauri pesa inayobaki ingejenga hosp kubwa kama muhimbili hapo alafu ikabaki pesa ndefu tu.
kusema ukweli jiwe huwa hana akili
 
G Sam,

Chadema ni vema kuwa makini na maeneo ambako Lissu amepita, tayari Kanda ya ziwa mmeshajenga uhasama na uwezekano wa kupata kura tayari ni ndoto, huku Lake zone tunajihisi tunabaguliwa eti tu kwa sababu tumeletewa mradi wa daraja la kigongo Busisi.

Hamjalalamika kujengwa kwa Ubungo interchange, Mufugale flyover, salendar bridge. Kweli chadema hamna shukrani, mgombea wenu tumemkaribisha Mwanza kwa bashasha, hata kura hatujawapa mmeanza nyodo na matusi. TUKUTANE 28 OCTOBER tutaelewana
 
ILA UMESUBIRI MANTIKI YA KUONA MAMIA YA WATANZANIA WANAOISHI MWANZA NA GEITA WAMEZAMA NA KUTEGETEA NA VIVUKO VYA BUSISI NA KAMANGA NA KIGONGO.

HIVI CHADEMA KITU GANI KIMEWAVURUGA??
HOFYOOOO kabisa haya majamaa, yana kaubaguzi bana, nduhu gete mudupandika ikura ukunu
 
Hili la busisi linaunganisha mkoa gani na mkoa gani?? Usije ukawa unaongea wakati jiografia ya Eneo husika hujui!!
Wewe nawe kilaza ,kwani magufuli uwa anavuka kwenda mkoa gani,hilo eneo lote liko mwanza lakini linaunganisha na ni njia rahisi ya kufika mkoa wa geita,kagera,kigoma na nchi jilani.
 
Yaani vifo vingi vimetokea Kigongo Busisi kutokana na ubovu wa vivuko, serikali imekuja na suluhisho leo, lijamaa limeshiba matoborwa linakuja kubeza. Mwanza hoyeee, tutawanyooosha mwaka huu. Shurani ya punda kumbe ni mateke. Billioni 700 utalinganisha na uhai wa binadamu, ndiyo maana mnakuja na sera ya kibaguzi ya majimbo.
 
Is that all you have kuhusu faida/hasara ya ujenzi wa daraja ya hilo?? Una akili fupi kwamba unafanya association ya ujenzi wa daraja hilo na uchungaji wa mbuzi na ng'ombe wa Magufuli? Kimsingi umebubikwa na party politics kiasi cha kubeza umuhimu wa daraja husika. Sisi wengine tusio na mihemuko ya kisiasa tukisema una utindio wa akili utasema tunakutukana.

Now, intake usitake sisi wa kwenda ya ziwa tunasema finally tumepata mkombozi wa matatizo y etu kuhusiana na usafiri wa kanda ya ziwa. Lopoka as much as you want lakini ujue unakwenda shule za kutosha, including za uchumi na siasa. We are not cowards kama wewe. Tunajua tunacho kisema.
 
Chadema ni vema kuwa makini na maeneo ambako Lissu amepita, tayari Kanda ya ziwa mmeshajenga uhasama na uwezekano wa kupata kura tayari ni ndoto, huku Lake zone tunajihisi tunabaguliwa eti tu kwa sababu tumeletewa mradi wa daraja la kigongo Busisi. Hamjalalamika kujengwa kwa Ubungo interchange, Mufugale flyover, salendar bridge. Kweli chadema hamna shukrani, mgombea wenu tumemkaribisha Mwanza kwa bashasha, hata kura hatujawapa mmeanza nyodo na matusi. TUKUTANE 28 OCTOBER tutaelewana

..ndiyo maana TL anapendekeza mabadiliko ya katiba, sheria, na utawala.

..mabadiliko hayo yatapunguza madaraka ya raisi na kuyashusha mikoani, wilayani, na kwenye majimbo.

..hivyo basi zile habari za raisi au waziri mkuu au waziri wa fedha toka eneo A, kubagua wananchi wa eneo B, itakuwa imefikia kikomo.
 
  • Masikitiko
Reactions: Dua
Hapa ndipo daraja la Tshs bilioni 700, fedha ambazo hata hazikujadiliwa na bunge zinatumika. Eneo ni Kigongo-Busisi. Kwakweli Bunge la Ndugai litajibu haya mbele za Mungu!...
Billioni 700 ni makusanyo ya kodi kwa mwezi moja tu, Tanzania ni tajiri nchi hii inaweza kutumia kadiri inavyoweza kutokana na jinsi inavyopata mapato yake. So long as that bridge benefits the people of the united Republic of Tanzania, I wouldn't care less. Pesa za mboga tu hizo.
 
Hapa ndipo daraja la Tshs bilioni 700, fedha ambazo hata hazikujadiliwa na bunge zinatumika. Eneo ni Kigongo-Busisi. Kwakweli Bunge la Ndugai litajibu haya mbele za Mungu!
Hwezi elewa faida la hilo daraja. Kutoka Mwanza-geita -bukoba -uganga-burundi-kigoma- Congo-Rwanda, ni biashara kiasi gani itanufaika nayo. (Embu/ebu) hii lugha ya kasikazini
 
Back
Top Bottom