Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,238
Ccm haina uwezo wa kujenga ofisi. Hizo ni pesa na miradi ya umma ambayo ipo kwa kivuli cha CCM. Zote hizo zinatakiwa kureheshwa serikalini.Mbowe anakula hela za ruzuku za Chadema.
CCM inajenga mpaka ofisi za chama za kata na mitaa.View attachment 1570730View attachment 1570732
Hakuna mahali ambako chadema hawana ofisi.
Alafu we mbwa mbona huzungumzii mapacha wako km CUF, NCCR udp wao wanashare ofisi zenu?