Mi mi
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 5,752
- 10,523
Toka tarehe 29 mpaka leo bado nawaza mwananchi anawezaje kulengwa shaba mbele ya askari wa jeshi la wananchi naye askari akabaki anashangaa tu kama sanamu.
Moja mwananchi anapigwa virungu mbele ya askari jeshi, jeshi bado linashangaa inafuata anauawa bado tu mwanajeshi anashangaa wala hatua zozote za maana achukui hii inawezekana vipi wakuu ?
Mimi kwangu bado hainiingii akilini wakuu mbaya zaidi wanajeshi baadhi wanageuka kuwa kama watoa huduma ya kwanza wanawapakia kwenye magari yao majeruhi wa risasi hili ni jeshi la namna gani yote haya yanafanyika mbele yao.
Binafsi sijawahi kuwa na imani kubwa sana na jeshi la wananchi kwa kipindi kirefu ila kwa yaliyo tokea Oct.29 mbele yao ndio yananishangaza sana
Pia msimamo wangu sio jeshi kuchukua nchi mpaka sasa ni huo ila yale polisi walifanya mbele yao hakuna jeshi la wananchi hapa Tanzania kuna kitu kikubwa sana hakipo sawa ndani ya katika mfumo wao mzima toka juu kwenda chini.
Moja mwananchi anapigwa virungu mbele ya askari jeshi, jeshi bado linashangaa inafuata anauawa bado tu mwanajeshi anashangaa wala hatua zozote za maana achukui hii inawezekana vipi wakuu ?
Mimi kwangu bado hainiingii akilini wakuu mbaya zaidi wanajeshi baadhi wanageuka kuwa kama watoa huduma ya kwanza wanawapakia kwenye magari yao majeruhi wa risasi hili ni jeshi la namna gani yote haya yanafanyika mbele yao.
Binafsi sijawahi kuwa na imani kubwa sana na jeshi la wananchi kwa kipindi kirefu ila kwa yaliyo tokea Oct.29 mbele yao ndio yananishangaza sana
Pia msimamo wangu sio jeshi kuchukua nchi mpaka sasa ni huo ila yale polisi walifanya mbele yao hakuna jeshi la wananchi hapa Tanzania kuna kitu kikubwa sana hakipo sawa ndani ya katika mfumo wao mzima toka juu kwenda chini.