Babe unaweza kuniletea popcorn

Sasa kama mwanaume atashindwa vitu vidogo hivyo, ni kipi anachoweza tena?
Bora kulalamika bidada anataka kubadilishiwa gari kila mara au mizinga ileeeeeee mikubwaaaaa.

Kiuchumi girls hasara sana, mnavalue zaid luxurious things other than necessary ones!!!
Kuweni na kiasi, kheeee!!!""
 
Hehehe, unajua wanawake tuna akili sana! Weeh jitu linakupa return ticket mbili, ama moja basi ya $ 1800. Afu ushindwe kumletea uturi ama saa ya $200? Khaa! Tena na gari unaachiwa uendeshe manake ya ofisi na ina full kiwese. Na unaambiwa nenda matombo ukasalimie mama yako mie niko busy na report na kitenge unapewa.


mjini mahesabu atii!
 
Hahaha acha kabisaa! Yaani xmas unampa kuku kadhaa akachomee washkaji zake huko! Bureee, chukua tu boss haina shida (najua ataenda kununua tairi 4 mpyaaaa za gari yangu na kufanya service bila risiti).
Na unafuga kuku wa mayai na nyama. Si utachekesha with shosti.
 
MMU imeharibika, hata popukoni nazo shida?
 
Ken yu imajini? Hivi popcorn kale kafuko kamoja kanachukua hata mhindi mzima mmoja?

Mi mwanaume akiwa hachuniki hata popcorn wa kazi gain?
Woooi!
Achukue alfu yake aiviringishe tu!
 

Tupac anasema "money bring bitch..bitch bring love" maneno yana ladha ngumu ila ndio anamaanisha value for money kama inapatikana aaaaanh acha pesa ichomeke!!!!!
 
Ken yu imajini? Hivi popcorn kale kafuko kamoja kanachukua hata mhindi mzima mmoja?

Utaskia si bora nikununilie muhindi wa kuchoma?
Khaaaaa!zawadi gani haina hata kidhungu chake!
Zawadi za kimahaba ni kuku wa marrrybrown (nikiisema hii kene simu ndo utaona how romantic it iz)
Ice cream hii nasema nikiwa narembuajeeeee
Ah hakyanani vijana siku hizi hawajui mahabat!
 
Nataka nikualike out for a movie, Noah au Divergent, my treat!

(Nalipia popcorn, juisi natoka nayo home, ni togwa)
Halafu unanitonya mi natokea kama bahati mbaya then unajidai unapokea simu ukija huko mbio unaaga as if kuna "situation" inakuhitaji ila utarudi ASAP my dada ok???!!!!!

Unakuwa ndo ushaniweka kakio!!!
 
Hehehe tutavaa sungoggles ili tusionane ama? Mi huwa i smuggle my coffee in my handbag so usizimie ukiona natoa kitermosi changu na kuanza kujichana
Nataka nikualike out for a movie, Noah au Divergent, my treat!

(Nalipia popcorn, juisi natoka nayo home, ni togwa)
 
Sasa akishaviringisha hiyo alfu yake anachokorolea maskio ama? Afu umenikumbusha, hivi sikudai mtoko mmoja?
Mi mwanaume akiwa hachuniki hata popcorn wa kazi gain?
Woooi!
Achukue alfu yake aiviringishe tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…