Babe unaweza kuniletea popcorn

Babe unaweza kuniletea popcorn

Boss (manake at this age nikikuita babe utajua unaibiwa live), zile mileage zako zimefika ngapi wangu manake nna hamu nazo hadi naskia kihindihindi. Hebu nifanyie mpango wa ticket mbili za dubai shaaa niende na dogo tukafurahie wokovu wetu wenye dhambi. Yaani hapo ukicheka imeshakula kwako! Mie nipige mzinga wa chipsi na nna shamba la viazi?

Na unafuga kuku wa mayai na nyama. Si utachekesha with shosti.
 
Ha aha ahaaaa uzuri wa type hii huwa hawana umimi yaani akifumania nyavu naye kukupiga mi perfume sijui mashuka ya home sio issue na akipata training hata Arusha tu hakawaii kukuambia"much as wananilipia chumba just drive will host you huku" mzee tartiibu unaenda hapo Nashera unapumzisha mtima"!!!!!!

Yaani mnajiongeza flani hivi na wengi sio kununa type!!!!!
Unawezaa safiri ukamuachia gari akakurudishia limeoshwa na full tank!!!!!

Huku side B sasa????!!!!!!!Akiwa nacho hujui akiwa hana anakununia yani kama konda hesabu haijatimia!!!!!

Hahahahaaaaa
 
Sasa mbona hivyo vitu vidogo tena vya kitoto sasa nikikwambia hun niongezee 3 million tu nikachukue mzigo mpya china c utakimbia wewe? Yaani mtu uombe popcorn, I cream za nn hizo? Au babe nitumie vocha basi shit! Utoto huo mdada omba kitu cha maana swetie kuna kiwanja kinauzwa 5 mil nina 3.5 mil piga hela ndefu we unaomba hela ya lace wig??
 
Sasa mbona hivyo vitu vidogo tena vya kitoto sasa nikikwambia hun niongezee 3 million tu nikachukue mzigo mpya china c utakimbia wewe? Yaani mtu uombe popcorn, I cream za nn hizo? Au babe nitumie vocha basi shit! Utoto huo mdada omba kitu cha maana swetie kuna kiwanja kinauzwa 5 mil nina 3.5 mil piga hela ndefu we unaomba hela ya lace wig??

Tueleze shosti lol... yaani Rapunzel hebu nipe techniques za kumpiga mizinga babe yangu mupya Mu-sir
 
Last edited by a moderator:
inakera but anaposema bby nina nye.ge hapo natabasamu balaa
 
Tueleze shosti lol... yaani Rapunzel hebu nipe techniques za kumpiga mizinga babe yangu mupya Mu-sir

Jamani my babe mbona huna haja ya kwenda kozi yoyote..embu fikiria hukusema chochote ulishapata AUDI je kisema itakuwaje?? Just mention it then wait for deliverly honey TATIANA
 
Last edited by a moderator:
Jamani my babe mbona huna haja ya kwenda kozi yoyote..embu fikiria hukusema chochote ulishapata AUDI je kisema itakuwaje?? Just mention it then wait for deliverly honey TATIANA

Oooh you are such a sweetheart darling. Rest assured that I will not attend that training.
Thx darling
 
Last edited by a moderator:
Haba na haba hujaza kibaba, akija kushtuka hapo ndani ya mwezi mmoja gharama aliyotumia angekuwa na rava-4

Kwahiyo ukiwa na mpenzi wako utamchukulia kama work mate au? Hata kama ubahiri siyo huo bana.
Mpelekee mrembo popcorn acheck movie amalizie long weekend hii.
 
Sasa mbona hivyo vitu vidogo tena vya kitoto sasa nikikwambia hun niongezee 3 million tu nikachukue mzigo mpya china c utakimbia wewe? Yaani mtu uombe popcorn, I cream za nn hizo? Au babe nitumie vocha basi shit! Utoto huo mdada omba kitu cha maana swetie kuna kiwanja kinauzwa 5 mil nina 3.5 mil piga hela ndefu we unaomba hela ya lace wig??

Acha mambo yako bana hayo watu hawafundishi akili kumkichwa, watakrwmu humu washindwe kupata hata wa kuwaambia habari yako!!!!!

Kisa cha kuwakosesha wadogo zetu vi cutie????!!!!
 
Oooh you are such a sweetheart darling. Rest assured that I will not attend that training.
Thx darling

Dont do it baby and you make our lives even easy for just telling me whatever you want because you know what I want and I just tell you whenever I need it and you give it to me.
 
Back
Top Bottom