Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,714
- 36,174
Kuna mzee mmoja huko Lindi anatibu vichaa wa grade zote yaani mpaka walioshindikana.
Nenda utapona.
Namba takupa
Nenda utapona.
Namba takupa
Tafuta mume uolewe mana unapenda kitongaHabaini ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye ulimu wa miaka 42, kama mnakumbuka nilileta mkasa ulio nitokea mwezi ulio pita kuhusu mzee wangu baada ya kuuza nyumba yake kwa shilingi milion 165 amegoma kabisa kunipa mgao mimi mtoto wake, baada ya kugoma nikafata utaratibu wa kisheria kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria, nilianzia kwenye ofisi ya mtaa (walininyima haki yangu baadae nilikuja kugundua ofisi ya mtaa wanashirikiana na baba kutaka kunizurumu haki yangu kama mtoto),
nikapanda mpaka ngazi ya kata (uko nako sikupata haki yangu kama mtoto), nikapanda moja kwa moja mahakamani (uko nako sijapata haki yangu) na maamuzi ya mahakama yalitoka siku ya jana 04.02.2022, baada ya uamuzi kutolewa mahakamani cha kushangaza wakati narudi nyumbani (mimi nilipanda usafili wa daladala kivyangu) nilipofika nyumbani nashangaa kukuta nguo zangu zimetolewa nje kwenye begi langu na kikaratasi kimewekwa chini kimeanikwa kama kinavyo someka hapo
Wakuu uyu baba angu kila ngazi nahisi anaonga ili ashinde kesi kwa kuwa yeye ana pesa, nataka kufanya juu chini nikakate rufaa ili niendelee kupigania haki yangu ya kupata mgao wa pesa kama mtoto wa pekee na ni mtoto wake mkubwa wa tatu na pia nimesoma mpaka chuo kikuu (nilieleza nina elimu kubwa tu ya BCom ya marketing kutoka chuo kikuu cha dar es salaam shule ya UDBS).
Nilishapata mpaka mchumba ambaye nilitegemea nikipata huu ngao niweze kumuoa ila mpaka mpenzi wangu anaanza kutokunielewa maana mzee pesa hataki kutoa, na kuna mtu alikuwa anauza gari aina ya nissan dualis nilishamuambia asiuze iyo gari anivumulie kuna pesa naifatilia ntalinunua tu ilo gari, ila cha kushangaza uyu baba angu mipango yangu yote ananivurugia, naombeni msaada wa wanasheria wazuri nataka nimpeleke kwenye mahakama ya rufaa uyu mzee maana mimi ni mtoto wake kabisa na ni mtoto wake wa tatu kuzaliwa na pia nimesoma sana nina elimu kubwa sana naitajika nipewe kipaumbele.
Mnisaidie ndugu zangu.
View attachment 2108602
View attachment 2108602
Huu unaoufanya ni ULEMAVU WA AKILIHabaini ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye ulimu wa miaka 42, kama mnakumbuka nilileta mkasa ulio nitokea mwezi ulio pita kuhusu mzee wangu baada ya kuuza nyumba yake kwa shilingi milion 165 amegoma kabisa kunipa mgao mimi mtoto wake, baada ya kugoma nikafata utaratibu wa kisheria kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria, nilianzia kwenye ofisi ya mtaa (walininyima haki yangu baadae nilikuja kugundua ofisi ya mtaa wanashirikiana na baba kutaka kunizurumu haki yangu kama mtoto),
nikapanda mpaka ngazi ya kata (uko nako sikupata haki yangu kama mtoto), nikapanda moja kwa moja mahakamani (uko nako sijapata haki yangu) na maamuzi ya mahakama yalitoka siku ya jana 04.02.2022, baada ya uamuzi kutolewa mahakamani cha kushangaza wakati narudi nyumbani (mimi nilipanda usafili wa daladala kivyangu) nilipofika nyumbani nashangaa kukuta nguo zangu zimetolewa nje kwenye begi langu na kikaratasi kimewekwa chini kimeanikwa kama kinavyo someka hapo
Wakuu uyu baba angu kila ngazi nahisi anaonga ili ashinde kesi kwa kuwa yeye ana pesa, nataka kufanya juu chini nikakate rufaa ili niendelee kupigania haki yangu ya kupata mgao wa pesa kama mtoto wa pekee na ni mtoto wake mkubwa wa tatu na pia nimesoma mpaka chuo kikuu (nilieleza nina elimu kubwa tu ya BCom ya marketing kutoka chuo kikuu cha dar es salaam shule ya UDBS).
Nilishapata mpaka mchumba ambaye nilitegemea nikipata huu ngao niweze kumuoa ila mpaka mpenzi wangu anaanza kutokunielewa maana mzee pesa hataki kutoa, na kuna mtu alikuwa anauza gari aina ya nissan dualis nilishamuambia asiuze iyo gari anivumulie kuna pesa naifatilia ntalinunua tu ilo gari, ila cha kushangaza uyu baba angu mipango yangu yote ananivurugia, naombeni msaada wa wanasheria wazuri nataka nimpeleke kwenye mahakama ya rufaa uyu mzee maana mimi ni mtoto wake kabisa na ni mtoto wake wa tatu kuzaliwa na pia nimesoma sana nina elimu kubwa sana naitajika nipewe kipaumbele.
Mnisaidie ndugu zangu.
View attachment 2108602
View attachment 2108602
Best hii ni kubwa kuliko. 🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Miaka 42 unajiita Kijana?Habaini ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye ulimu wa miaka 42, kama mnakumbuka nilileta mkasa ulio nitokea mwezi ulio pita kuhusu mzee wangu baada ya kuuza nyumba yake kwa shilingi milion 165 amegoma kabisa kunipa mgao mimi mtoto wake, baada ya kugoma nikafata utaratibu wa kisheria kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria, nilianzia kwenye ofisi ya mtaa (walininyima haki yangu baadae nilikuja kugundua ofisi ya mtaa wanashirikiana na baba kutaka kunizurumu haki yangu kama mtoto),
nikapanda mpaka ngazi ya kata (uko nako sikupata haki yangu kama mtoto), nikapanda moja kwa moja mahakamani (uko nako sijapata haki yangu) na maamuzi ya mahakama yalitoka siku ya jana 04.02.2022, baada ya uamuzi kutolewa mahakamani cha kushangaza wakati narudi nyumbani (mimi nilipanda usafili wa daladala kivyangu) nilipofika nyumbani nashangaa kukuta nguo zangu zimetolewa nje kwenye begi langu na kikaratasi kimewekwa chini kimeanikwa kama kinavyo someka hapo
Wakuu uyu baba angu kila ngazi nahisi anaonga ili ashinde kesi kwa kuwa yeye ana pesa, nataka kufanya juu chini nikakate rufaa ili niendelee kupigania haki yangu ya kupata mgao wa pesa kama mtoto wa pekee na ni mtoto wake mkubwa wa tatu na pia nimesoma mpaka chuo kikuu (nilieleza nina elimu kubwa tu ya BCom ya marketing kutoka chuo kikuu cha dar es salaam shule ya UDBS).
Nilishapata mpaka mchumba ambaye nilitegemea nikipata huu ngao niweze kumuoa ila mpaka mpenzi wangu anaanza kutokunielewa maana mzee pesa hataki kutoa, na kuna mtu alikuwa anauza gari aina ya nissan dualis nilishamuambia asiuze iyo gari anivumulie kuna pesa naifatilia ntalinunua tu ilo gari, ila cha kushangaza uyu baba angu mipango yangu yote ananivurugia, naombeni msaada wa wanasheria wazuri nataka nimpeleke kwenye mahakama ya rufaa uyu mzee maana mimi ni mtoto wake kabisa na ni mtoto wake wa tatu kuzaliwa na pia nimesoma sana nina elimu kubwa sana naitajika nipewe kipaumbele.
Mnisaidie ndugu zangu.
View attachment 2108602
View attachment 2108602
Huyu naye ni Great Thinker?Habaini ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye ulimu wa miaka 42, kama mnakumbuka nilileta mkasa ulio nitokea mwezi ulio pita kuhusu mzee wangu baada ya kuuza nyumba yake kwa shilingi milion 165 amegoma kabisa kunipa mgao mimi mtoto wake, baada ya kugoma nikafata utaratibu wa kisheria kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria, nilianzia kwenye ofisi ya mtaa (walininyima haki yangu baadae nilikuja kugundua ofisi ya mtaa wanashirikiana na baba kutaka kunizurumu haki yangu kama mtoto),
nikapanda mpaka ngazi ya kata (uko nako sikupata haki yangu kama mtoto), nikapanda moja kwa moja mahakamani (uko nako sijapata haki yangu) na maamuzi ya mahakama yalitoka siku ya jana 04.02.2022, baada ya uamuzi kutolewa mahakamani cha kushangaza wakati narudi nyumbani (mimi nilipanda usafili wa daladala kivyangu) nilipofika nyumbani nashangaa kukuta nguo zangu zimetolewa nje kwenye begi langu na kikaratasi kimewekwa chini kimeanikwa kama kinavyo someka hapo
Wakuu uyu baba angu kila ngazi nahisi anaonga ili ashinde kesi kwa kuwa yeye ana pesa, nataka kufanya juu chini nikakate rufaa ili niendelee kupigania haki yangu ya kupata mgao wa pesa kama mtoto wa pekee na ni mtoto wake mkubwa wa tatu na pia nimesoma mpaka chuo kikuu (nilieleza nina elimu kubwa tu ya BCom ya marketing kutoka chuo kikuu cha dar es salaam shule ya UDBS).
Nilishapata mpaka mchumba ambaye nilitegemea nikipata huu ngao niweze kumuoa ila mpaka mpenzi wangu anaanza kutokunielewa maana mzee pesa hataki kutoa, na kuna mtu alikuwa anauza gari aina ya nissan dualis nilishamuambia asiuze iyo gari anivumulie kuna pesa naifatilia ntalinunua tu ilo gari, ila cha kushangaza uyu baba angu mipango yangu yote ananivurugia, naombeni msaada wa wanasheria wazuri nataka nimpeleke kwenye mahakama ya rufaa uyu mzee maana mimi ni mtoto wake kabisa na ni mtoto wake wa tatu kuzaliwa na pia nimesoma sana nina elimu kubwa sana naitajika nipewe kipaumbele.
Mnisaidie ndugu zangu.
View attachment 2108602
View attachment 2108602
Habaini ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye ulimu wa miaka 42, kama mnakumbuka nilileta mkasa ulio nitokea mwezi ulio pita kuhusu mzee wangu baada ya kuuza nyumba yake kwa shilingi milion 165 amegoma kabisa kunipa mgao mimi mtoto wake, baada ya kugoma nikafata utaratibu wa kisheria kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria, nilianzia kwenye ofisi ya mtaa (walininyima haki yangu baadae nilikuja kugundua ofisi ya mtaa wanashirikiana na baba kutaka kunizurumu haki yangu kama mtoto),
nikapanda mpaka ngazi ya kata (uko nako sikupata haki yangu kama mtoto), nikapanda moja kwa moja mahakamani (uko nako sijapata haki yangu) na maamuzi ya mahakama yalitoka siku ya jana 04.02.2022, baada ya uamuzi kutolewa mahakamani cha kushangaza wakati narudi nyumbani (mimi nilipanda usafili wa daladala kivyangu) nilipofika nyumbani nashangaa kukuta nguo zangu zimetolewa nje kwenye begi langu na kikaratasi kimewekwa chini kimeanikwa kama kinavyo someka hapo
Wakuu uyu baba angu kila ngazi nahisi anaonga ili ashinde kesi kwa kuwa yeye ana pesa, nataka kufanya juu chini nikakate rufaa ili niendelee kupigania haki yangu ya kupata mgao wa pesa kama mtoto wa pekee na ni mtoto wake mkubwa wa tatu na pia nimesoma mpaka chuo kikuu (nilieleza nina elimu kubwa tu ya BCom ya marketing kutoka chuo kikuu cha dar es salaam shule ya UDBS).
Nilishapata mpaka mchumba ambaye nilitegemea nikipata huu ngao niweze kumuoa ila mpaka mpenzi wangu anaanza kutokunielewa maana mzee pesa hataki kutoa, na kuna mtu alikuwa anauza gari aina ya nissan dualis nilishamuambia asiuze iyo gari anivumulie kuna pesa naifatilia ntalinunua tu ilo gari, ila cha kushangaza uyu baba angu mipango yangu yote ananivurugia, naombeni msaada wa wanasheria wazuri nataka nimpeleke kwenye mahakama ya rufaa uyu mzee maana mimi ni mtoto wake kabisa na ni mtoto wake wa tatu kuzaliwa na pia nimesoma sana nina elimu kubwa sana naitajika nipewe kipaumbele.
Mnisaidie ndugu zangu.
View attachment 2108602
View attachment 2108602
Japo pia naamini simulizi hii ni ya kutunga kutokana na sababu lukuki ila hi ya wewe kukosoa "nguo tisa" naweza kusema je unapotoa nguo au vitu vya mtu si wapaswa kuvitaja kwa idadi hata katika maandishii ?!Kitakachosababisha watu wajue stori ni ya kutunga ni karatasi kujumuisha neno 'Nguo tisa' kuna vitu ni rahisi kuvitamka ila siyo kuandika.
Hata hivyo najifunza animation nikiweza japo kidogo hii stori yako nitaifanyia jambo
Habaini ndugu zangu, Mimi ni kijana mwenye ulimu wa miaka 42, kama mnakumbuka nilileta mkasa ulio nitokea mwezi ulio pita kuhusu mzee wangu baada ya kuuza nyumba yake kwa shilingi milion 165 amegoma kabisa kunipa mgao mimi mtoto wake, baada ya kugoma nikafata utaratibu wa kisheria kumfikisha kwenye vyombo vya kisheria, nilianzia kwenye ofisi ya mtaa (walininyima haki yangu baadae nilikuja kugundua ofisi ya mtaa wanashirikiana na baba kutaka kunizurumu haki yangu kama mtoto),
nikapanda mpaka ngazi ya kata (uko nako sikupata haki yangu kama mtoto), nikapanda moja kwa moja mahakamani (uko nako sijapata haki yangu) na maamuzi ya mahakama yalitoka siku ya jana 04.02.2022, baada ya uamuzi kutolewa mahakamani cha kushangaza wakati narudi nyumbani (mimi nilipanda usafili wa daladala kivyangu) nilipofika nyumbani nashangaa kukuta nguo zangu zimetolewa nje kwenye begi langu na kikaratasi kimewekwa chini kimeanikwa kama kinavyo someka hapo
Wakuu uyu baba angu kila ngazi nahisi anaonga ili ashinde kesi kwa kuwa yeye ana pesa, nataka kufanya juu chini nikakate rufaa ili niendelee kupigania haki yangu ya kupata mgao wa pesa kama mtoto wa pekee na ni mtoto wake mkubwa wa tatu na pia nimesoma mpaka chuo kikuu (nilieleza nina elimu kubwa tu ya BCom ya marketing kutoka chuo kikuu cha dar es salaam shule ya UDBS).
Nilishapata mpaka mchumba ambaye nilitegemea nikipata huu ngao niweze kumuoa ila mpaka mpenzi wangu anaanza kutokunielewa maana mzee pesa hataki kutoa, na kuna mtu alikuwa anauza gari aina ya nissan dualis nilishamuambia asiuze iyo gari anivumulie kuna pesa naifatilia ntalinunua tu ilo gari, ila cha kushangaza uyu baba angu mipango yangu yote ananivurugia, naombeni msaada wa wanasheria wazuri nataka nimpeleke kwenye mahakama ya rufaa uyu mzee maana mimi ni mtoto wake kabisa na ni mtoto wake wa tatu kuzaliwa na pia nimesoma sana nina elimu kubwa sana naitajika nipewe kipaumbele.
Mnisaidie ndugu zangu.View attachment 2108602
View attachment 2108602