Baba yangu mzazi amepangisha chumba changu

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,930
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake.

Mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba rasmi baada ya kuona baba yangu ameanza manyanyaso mpaka kufikia hatua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana. Baada ya kuona hiyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa huko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikiri kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani. Cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote.

Nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata hata hiyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa?

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wa nyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilichogundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika huku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia hatua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo huku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya uyu baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake. mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba lasmi baada ya kuona baba angu ameanza manyanyaso mpaka kufikia atua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana, baada ya kuona iyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa uko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikili kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani, cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote, nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata ata iyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa.

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wanyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilicho gundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika uku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia atua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo uku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
nina umri wa miaka 48, ndo ni kaachia hapo kusoma........
mlio soma yote kamaliza je kuna la maana?
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya uyu baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake. mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba lasmi baada ya kuona baba angu ameanza manyanyaso mpaka kufikia atua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana, baada ya kuona iyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa uko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikili kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani, cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote, nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata ata iyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa.

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wanyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilicho gundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika uku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia atua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo uku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Hizi story ingekuwa vema mnasimuliana mahomu kwenu huko.
 
Summary: kijana wa miaka 48 ashtaki kwa mjumbe baada ya kufurushwa nyumbani.
-Kijana huyu ni single father ambaye mtoto wake analelewa na mama wa mwanamke aliyezaa naye.
Huyu atafute alie mroga huenda mama wake wa kambo au shangazi zake, usibishe uchawi upo aende aombe msamaha.
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya uyu baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake. mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba lasmi baada ya kuona baba angu ameanza manyanyaso mpaka kufikia atua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana, baada ya kuona iyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa uko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikili kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani, cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote, nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata ata iyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa.

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wanyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilicho gundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika uku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia atua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo uku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Najua huna lolote ila unatafuta attentions za watu humu kwa sababu sikuiz Jamii Forum imeingiliwa na imekuwa cha wote.

Okey Fanya hivi ili tuwasaidie watu wenye Hali kama hii sereous

Tafuta wakubwa wa Baba yako waelezee Hali ilivyo

Unaonekana ni mjeuri mnoo,muombe Baba yako msamaha

Baada ya hapo.....

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu ndugu zangu, naandika nikiwa na hasira kali sana juu ya uyu baba yangu mzazi, mimi ni kijana wa umri wa miaka 48, sijaoa bado ila nina mtoto mmoja, ambaye yupo kwa bibi yake upande wa mama yake. mwaka huu mwezi wa tano niliondoka nyumba lasmi baada ya kuona baba angu ameanza manyanyaso mpaka kufikia atua ya kuwa nanyimwa chakula, kwa kumuamuru mfanyakazi wa ndani asiwe anapika chochote kile asubuhi na mchana, baada ya kuona iyo hali inazidi kuwa mbaya kwangu nikaondoka kabisa nyumba mwaka huu mwezi wa tano.

Nikaenda kupanga chumba maeno ya Mabibo Relini, nimekaa uko kwa muda wa miezi 5 nikiwa nabangaiza hapa na pale, ndugu zangu nikili kabisa kuwa maisha yamekuwa magumu sana kwangu, nimeamua week hii kurudi nyumbani, cha kushangaza nafika nyumbani na kukuta chumba changu nilichokuwa nakaa amepangishwa mtu, nilipata hasira sana na kumuambia mzee mimi kama sio mtoto wake aseme.

Ndugu zangu iliniuma sana mzee kusema kuwa ndio sio mtoto wangu na naomba uondoke hapa kwangu haraka sana, anadai sijui amepoteza pesa zake nyingi kunisomesha mpaka level ya degree ila sina msaada wowote, nikamuambia kuwa kunisomesha sio tatizo kama ningekuwa sina juhudi za kusoma kwa bidii ningepata ata iyo degree au kwa kuwa yeye kutoa pesa ndio imekuwa ni sehemu ya kuninyanyasa.

Niliamua kwenda moja kwa moja kwa mjumbe wanyumba kumi wa hapo mtaani kwetu ila nilicho gundua mjumbe na mzee wangu lao ni moja maana nae anadai sina haki yoyote kwa sasa.

Ndugu zangu naadika uku machozi yananitoka naombeni ushauri wangu nataka kusogea ngazi za juu zaidi, ili kupata haki zangu za msingi, maana mzee wangu imefikia atua amewaambia mpaka askari wa mtaani kwa jina la sungusungu kuwa nikija kwake awape taarifa waje wanitoe kwa nguvu.

Muda huu nimekuja kwa rafiki yangu hapa kujiegesha kidogo uku natafakari hatua za mbele zaidia za kuchukua. Karibu kwa ushauri wenu ndugu zangu.
Umri ni namba tu mzee kakosea haya maisha tu mi mwenyewe nipo home vyumba vya wapangaji kibao nikajinyakulia changu kimoja nakaa nilipoona mzee kaanza miyeyusho maswala ya misosi nikajinunulia vyombo vya kupikia nikaoa naenjoy mwaka wa tatu huu niende wapi nikaangaike manyumba yote haya,

Muombe msamaha mzee au utafute mzee mwenzake muelewa umuelezee aongee nae akuombee msamaha haya maisha tu na yeye awe muelewa sasa maana mazee mengine miyeyusho naamini mambo yatakaa sawa.
 
Back
Top Bottom