Ameanza kuchezea sharubu.Hili linatosha kumuondoa Sa100 madarakani. Watanzania acheni uzombi. Mtafungwa wote.
Bebeni hata marungu muingie ikulu.
kwa kweli swala hili serikali imekosea pakubwa sana nitamkumbuka kwa nyimbo nzuriMchungaji Pastor Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Taarifa kutoka kwa Maria Sarungi
===
View attachment 2766356
Nijuavyo akina Suguye ibada zilisitishwa lakini hawakushtakiwa.Sheria inayoruhusu kuanzisha nyumba za ibada inasemaje ikibainika nyumba ya ibada haina usajili?
Tah tah tah... Nyundo 3 kwa kufungua kanisa bila kibali hii kasi iendelee Tupunguze Wahuni.Baada ya siku kadhaa mbele, utasikia Hakimu aliyetoa hiyo hukumu amekula uteuzi!! Maana hapa ndipo tulipofikia kama Taifa.
Unaweza kuabudu 'roho' ukiwa nyumbani kwako.Kwa nini nyumba ya ibada iwe na usajili serikalini katika nchi inayotoa uhuru wa kuabudu kikatiba kwa kila mtu?
CCM CHAMA CHA MACHAWAMchungaji Pastor Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Taarifa kutoka kwa Maria Sarungi
===
View attachment 2766356
Siku zite iko hivi, Ukiwa MstaarabuMtu anakaa miaka mitatu bila kibali, Hawa wakaguzi wa vibali walikua wapi miaka yote Hio mitatu, hawakufanya ukaguzi? Wao wamechukuliwa hatua Gani sasa??
Tukiitwa manyani tunaanza kulalamika
Shenzi
Miaka yote hiyo anafanya huduma take hawakuona kabla kama hana kibali?kuna jambo lingine labda.naamini atatumikia kifungo kwa furaha ktk imani.Mchungaji Pastor Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Taarifa kutoka kwa Maria Sarungi
===
View attachment 2766356
Suala zima la serikali kutoa kibali kuruhusu ibada linavunja haki za binadamu za watu kwenye kujiamulia wenyewe na uhuru wa kuabudu. Linavunja katiba ya Tanzania kwenye Freedom of Conscience.Mtu anakaa miaka mitatu bila kibali, Hawa wakaguzi wa vibali walikua wapi miaka yote Hio mitatu, hawakufanya ukaguzi? Wao wamechukuliwa hatua Gani sasa??
Tukiitwa manyani tunaanza kulalamika
Shenzi
Serikali haingilii uhuru wa kuabudu....Kwa nini nyumba ya ibada iwe na usajili serikalini katika nchi inayotoa uhuru wa kuabudu kikatiba kwa kila mtu?
Serikali hata kodi haikusanyi kutoka nyumba za ibada, sasa zinasajiliwa kwa nini?
Nikisema hii habari ya kusajili nyumba za ibada serikalini ni namna ya serikali kudhibiti ibada na kuingilia uhuru wa kikatiba wa kuabudu nitakuwa nakosea?
kwa kweli swala hili serikali imekosea pakubwa sana nitamkumbuka kwa nyimbo nzuriView attachment 2766376
UHAINI....Hili linatosha kumuondoa Sa100 madarakani. Watanzania acheni uzombi. Mtafungwa wote.
Bebeni hata marungu muingie ikulu.
Kuna wavunjaji wengi sana wa sheria nchini. Ila wamekuwa wakiachwa wafanue wapendavyo, kwa sababu tu hawayagusi maslahi yenu/hawawakosoi.Tah tah tah... Nyundo 3 kwa kufungua kanisa bila kibali hii kasi iendelee Tupunguze Wahuni.