Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Tukio la mahari linaudhi sana kwetu sisi vijana tunajipanga eti demu kaniambia mahari yake milioni moja na nusu cash, demu mwenyewe form four failure na anajifunza cherehani anajiproud eti yy beauty na bikra nikapiga chini
 
Leo week ya pili nimeshindwa kabisa kupokea simu ya Baba mkwe na Mshenga wangu.

Iko hivi katika misoto yangu na kukulu kakala za maisha atimae nikajikuta nimedondokea kwa mtoto wa kichaga Kama ilivyo janga kwa wanaume wengi wa mjini.

Mipango ikapangwa na siku ya kufika ukweni kupeleka posa ikafika. Kidume nikajikoki na Mshenga wangu na wadada 3 wa kukodi tukazuka ukweni.

Mambo yalikua shwari hadi pale mjomba mtu akapewa fursa ya kutupangia package ya mahari ili mpango mzima ukamilike.... list ya makorokoro kibao, Mara mkaja wa mama, Bibi, mablanket ya Mama na mashangazi, mbege mapipa matatu, mbuzi 3 wa maziwa na....mwishoni akataja cash money 3 Mil.


Mimi kipindi anataja yale mazaga hata nilikua sifuatilia ,akili yote ilikua inasubiri point ya msingi Cash money.

Badae ikatolewa option ya ku convert the overall cost ika amount Kama 5 Mil. na ushee!

Jitihada za mshenga kupangua bei hazikuzaa matunda. Mbaya zaidi ile tumemaliza events shangazi anatuzuia hakuna kuondoka mpaka tumelipia gharama za maandalizi walioyotufanyia.

Kwa shingo upande nikausukuma mzigo wa M pesa tsh 280, 000 coz walidai laki 3.


Niliporudi lodge usiku mzima sikulala , series nzima ikawa inaji frash back repetitively.

Nika najiuliza kwani wananiuzia mke kisa ni afisa ustawi wa jamii?

Ana kipi Cha ziada ambacho wake wa ndg zangu wameolewa na jumla ya mahari tulizotoa na makokoro yote hata milioni haikufika?

Kwani ana kismat Cha mafanikio? Mbona tangu tuingie kwenye relationship mambo mengi tunakimbizana kwa had-hoc za kufa mtu?

Na mengine mengi ambayo si busara kuyaanika humu.

Alifajiri nikaamua kufanya maamuzi magumu ..."Katu sitorudi tena ukweni." Kwa maana kuwa sitoi tena mahari, mtoto wao nimeshamtia mimba ,wakimtaka waje wamchukue.


Ni hayo tu.....sirudi ukweni tena

Mashemeji zangu wachaga povu ruksa. Ila katu sirudi tena ukweni.
Nakumbuka Mwaka huu Rafki yangu alifanywa hivyo ukweni akasusa na kuondoka ila walikuja kumletea binti baada ya Jamaa kukaaa kimya miezi miwili na hawakumdai tena pesa waliokuwa wanataka aongezee
 
Ndugu nikupe pongezi kwanza kwa kuilipia hiyo Karamu uliyoandaliwa, ningekuwa mimi huyo baba mkwe, mama mkwe, mashangazi wakwe na mtoto wao wasingekuwa na hamu na mimi tena.

Binafsi nilishaweka kikomo kwenye mahari, isizidi milioni hapo ni kila kitu. Mambo ya mkaja wa nani sijui mkaja wa nani mimi yananihusu vipi!?
Yaan umenikumbusha braza wangu mmoja hiv mtoto wa dingi mkubwa, alienda kupangiwa Mahari wakataka Milioni 3 jamaaa akawa nayo milioni 1. Wakakomaa weee, mshenga kajaribu kuwapangua lkn mashangazi wamekaza hawaelewi kitu. Basi wakamuita bwana harusi mtarajiwa atoe suluhisho kama ataongeza, broo alipoenda akasema kua ana milioni moja tu, hana pesa ya kuongeza hata hivo kajitahidi sana, ila kama hawataki hiyo milioni basi yupo tayari kumuacha binti yao aolewe na mwingine jmaa akaishia hapo. Kumbe binti alikua ndani anasikia akaanza kuangua kilio wakimbembeleza ndo anazidisha sauti. Ilibaki kua aibu tu.
Waliporudi Jamaaa alikaa kimya ikapita miezi 3 hapaeleweki binti anasumbua anataka kuolewa, anashinda kwa broo kila siku ili asije kurafuta mke mwingine wakakubali tu Hiyohiyo milioni moja.
 
Kuna baadhi ya wazazi wa binti wanakaza mpka umalize ndo umchukue binti yao
Mnakomplicate bure,mahali kupangwa haimaanishi utoe yote. Unatoa uliyonayo afu unaendelea kuzaa watoto. Mbona watu wanapenda kulalamikia mahali?! Mnataka bure?
 
Yaani hapo ndo nawakubali ndugu zetu waisilamu binti ndo anapanga ko mnajadili kabisa kwamba usipange kubwa. Akikuelewa utakuata kakupangia laki au laki 2 au kutokana na mapato yako
Pole sana Mkuu
Nakumbuka nilipotaka kujua mahari ni kiasi gani
Mahari ni zawadi ya Bi harusi hivyo nilitakiwa kumuuliza mhusika mwenyewe.
Akanitajia Mahari haifiki hata 100k
Nikamuuliza Mara ya pili hii ndio mahari yako?
Akajibu vipi una pesa nyingi nikutajie mzigo mkubwa
Aaah hapana Mamiloo. Basi nikabeba Toto biiiichiii kwa elfu 90+

Hii utaikuta tu katika familia yenye kushikamana na dini
 
Lengo la huu uzi ni kuwachafua wachaga kuonyesha hawaoleki.
Kaoe kwenu kwa mahari ya kuku hao std 2 hata lasaba hawamalizi. Butu ile mbaya.

Huwezi chukua kichwa huku unalalamika.

Eti umemtia mimba.
Hakika wewe ni .
Mimba inatolewa. Damu ya kijinga kama yako inachafua ukoo.
Aiseeeee,hao ndio Wanaume wa sasa ndio maana wakishaoa wanagongewa wake zao. Safi sana Mkuu kwa kumpa makavu huyu mbuzi Kifutu
 
Yaan umenikumbusha braza wangu mmoja hiv mtoto wa dingi mkubwa, alienda kupangiwa Mahari wakataka Milioni 3 jamaaa akawa nayo milioni 1. Wakakomaa weee, mshenga kajaribu kuwapangua lkn mashangazi wamekaza hawaelewi kitu. Basi wakamuita bwana harusi mtarajiwa atoe suluhisho kama ataongeza, broo alipoenda akasema kua ana milioni moja tu, hana pesa ya kuongeza hata hivo kajitahidi sana, ila kama hawataki hiyo milioni basi yupo tayari kumuacha binti yao aolewe na mwingine jmaa akaishia hapo. Kumbe binti alikua ndani anasikia akaanza kuangua kilio wakimbembeleza ndo anazidisha sauti. Ilibaki kua aibu tu.
Waliporudi Jamaaa alikaa kimya ikapita miezi 3 hapaeleweki binti anasumbua anataka kuolewa, anashinda kwa broo kila siku ili asije kurafuta mke mwingine wakakubali tu Hiyohiyo milioni moja.
Ndugu, ukiwa na msimamo thabiti wala hutopelekeshwa. Kongole kwa braza mkubwa.
 
Leo week ya pili nimeshindwa kabisa kupokea simu ya Baba mkwe na Mshenga wangu.

Iko hivi katika misoto yangu na kukulu kakala za maisha atimae nikajikuta nimedondokea kwa mtoto wa kichaga Kama ilivyo janga kwa wanaume wengi wa mjini.

Mipango ikapangwa na siku ya kufika ukweni kupeleka posa ikafika. Kidume nikajikoki na Mshenga wangu na wadada 3 wa kukodi tukazuka ukweni.

Mambo yalikua shwari hadi pale mjomba mtu akapewa fursa ya kutupangia package ya mahari ili mpango mzima ukamilike.... list ya makorokoro kibao, Mara mkaja wa mama, Bibi, mablanket ya Mama na mashangazi, mbege mapipa matatu, mbuzi 3 wa maziwa na....mwishoni akataja cash money 3 Mil.


Mimi kipindi anataja yale mazaga hata nilikua sifuatilia ,akili yote ilikua inasubiri point ya msingi Cash money.

Badae ikatolewa option ya ku convert the overall cost ika amount Kama 5 Mil. na ushee!

Jitihada za mshenga kupangua bei hazikuzaa matunda. Mbaya zaidi ile tumemaliza events shangazi anatuzuia hakuna kuondoka mpaka tumelipia gharama za maandalizi walioyotufanyia.

Kwa shingo upande nikausukuma mzigo wa M pesa tsh 280, 000 coz walidai laki 3.


Niliporudi lodge usiku mzima sikulala , series nzima ikawa inaji frash back repetitively.

Nika najiuliza kwani wananiuzia mke kisa ni afisa ustawi wa jamii?

Ana kipi Cha ziada ambacho wake wa ndg zangu wameolewa na jumla ya mahari tulizotoa na makokoro yote hata milioni haikufika?

Kwani ana kismat Cha mafanikio? Mbona tangu tuingie kwenye relationship mambo mengi tunakimbizana kwa had-hoc za kufa mtu?

Na mengine mengi ambayo si busara kuyaanika humu.

Alifajiri nikaamua kufanya maamuzi magumu ..."Katu sitorudi tena ukweni." Kwa maana kuwa sitoi tena mahari, mtoto wao nimeshamtia mimba ,wakimtaka waje wamchukue.


Ni hayo tu.....sirudi ukweni tena

Mashemeji zangu wachaga povu ruksa. Ila katu sirudi tena ukweni.
Walikuwa wanakuuzia kabisa kabisa,aaah hiyo ni hatari sana
 
Pole sana Mkuu
Nakumbuka nilipotaka kujua mahari ni kiasi gani
Mahari ni zawadi ya Bi harusi hivyo nilitakiwa kumuuliza mhusika mwenyewe.
Akanitajia Mahari haifiki hata 100k
Nikamuuliza Mara ya pili hii ndio mahari yako?
Akajibu vipi una pesa nyingi nikutajie mzigo mkubwa
Aaah hapana Mamiloo. Basi nikabeba Toto biiiichiii kwa elfu 90+

Hii utaikuta tu katika familia yenye kushikamana na dini
Familia inayozingatia uislamu.
Hapo safi vijana wa kiislamu kama hajaoa atakuwa anamatatizo yake binafsi au binti hajapenda kuolewa na wewe.
 
Leo week ya pili nimeshindwa kabisa kupokea simu ya Baba mkwe na Mshenga wangu.

Iko hivi katika misoto yangu na kukulu kakala za maisha atimae nikajikuta nimedondokea kwa mtoto wa kichaga Kama ilivyo janga kwa wanaume wengi wa mjini.

Mipango ikapangwa na siku ya kufika ukweni kupeleka posa ikafika. Kidume nikajikoki na Mshenga wangu na wadada 3 wa kukodi tukazuka ukweni.

Mambo yalikua shwari hadi pale mjomba mtu akapewa fursa ya kutupangia package ya mahari ili mpango mzima ukamilike.... list ya makorokoro kibao, Mara mkaja wa mama, Bibi, mablanket ya Mama na mashangazi, mbege mapipa matatu, mbuzi 3 wa maziwa na....mwishoni akataja cash money 3 Mil.


Mimi kipindi anataja yale mazaga hata nilikua sifuatilia ,akili yote ilikua inasubiri point ya msingi Cash money.

Badae ikatolewa option ya ku convert the overall cost ika amount Kama 5 Mil. na ushee!

Jitihada za mshenga kupangua bei hazikuzaa matunda. Mbaya zaidi ile tumemaliza events shangazi anatuzuia hakuna kuondoka mpaka tumelipia gharama za maandalizi walioyotufanyia.

Kwa shingo upande nikausukuma mzigo wa M pesa tsh 280, 000 coz walidai laki 3.


Niliporudi lodge usiku mzima sikulala , series nzima ikawa inaji frash back repetitively.

Nika najiuliza kwani wananiuzia mke kisa ni afisa ustawi wa jamii?

Ana kipi Cha ziada ambacho wake wa ndg zangu wameolewa na jumla ya mahari tulizotoa na makokoro yote hata milioni haikufika?

Kwani ana kismat Cha mafanikio? Mbona tangu tuingie kwenye relationship mambo mengi tunakimbizana kwa had-hoc za kufa mtu?

Na mengine mengi ambayo si busara kuyaanika humu.

Alifajiri nikaamua kufanya maamuzi magumu ..."Katu sitorudi tena ukweni." Kwa maana kuwa sitoi tena mahari, mtoto wao nimeshamtia mimba ,wakimtaka waje wamchukue.


Ni hayo tu.....sirudi ukweni tena

Mashemeji zangu wachaga povu ruksa. Ila katu sirudi tena ukweni.
watupe
 
Mafala sana hao wapozee mkuu,hiyo 280k bora ungeenda kufunga bar tu na masela na papuchi za kununua siku ikaisha,acha wamwoe wenyewe yani mahari M5 duuu anatoa tanzanite nini kwenye papuchi!!
 
Leo week ya pili nimeshindwa kabisa kupokea simu ya Baba mkwe na Mshenga wangu.

Iko hivi katika misoto yangu na kukulu kakala za maisha atimae nikajikuta nimedondokea kwa mtoto wa kichaga Kama ilivyo janga kwa wanaume wengi wa mjini.

Mipango ikapangwa na siku ya kufika ukweni kupeleka posa ikafika. Kidume nikajikoki na Mshenga wangu na wadada 3 wa kukodi tukazuka ukweni.

Mambo yalikua shwari hadi pale mjomba mtu akapewa fursa ya kutupangia package ya mahari ili mpango mzima ukamilike.... list ya makorokoro kibao, Mara mkaja wa mama, Bibi, mablanket ya Mama na mashangazi, mbege mapipa matatu, mbuzi 3 wa maziwa na....mwishoni akataja cash money 3 Mil.


Mimi kipindi anataja yale mazaga hata nilikua sifuatilia ,akili yote ilikua inasubiri point ya msingi Cash money.

Badae ikatolewa option ya ku convert the overall cost ika amount Kama 5 Mil. na ushee!

Jitihada za mshenga kupangua bei hazikuzaa matunda. Mbaya zaidi ile tumemaliza events shangazi anatuzuia hakuna kuondoka mpaka tumelipia gharama za maandalizi walioyotufanyia.

Kwa shingo upande nikausukuma mzigo wa M pesa tsh 280, 000 coz walidai laki 3.


Niliporudi lodge usiku mzima sikulala , series nzima ikawa inaji frash back repetitively.

Nika najiuliza kwani wananiuzia mke kisa ni afisa ustawi wa jamii?

Ana kipi Cha ziada ambacho wake wa ndg zangu wameolewa na jumla ya mahari tulizotoa na makokoro yote hata milioni haikufika?

Kwani ana kismat Cha mafanikio? Mbona tangu tuingie kwenye relationship mambo mengi tunakimbizana kwa had-hoc za kufa mtu?

Na mengine mengi ambayo si busara kuyaanika humu.

Alifajiri nikaamua kufanya maamuzi magumu ..."Katu sitorudi tena ukweni." Kwa maana kuwa sitoi tena mahari, mtoto wao nimeshamtia mimba ,wakimtaka waje wamchukue.


Ni hayo tu.....sirudi ukweni tena

Mashemeji zangu wachaga povu ruksa. Ila katu sirudi tena ukweni.
For sure ni changamoto usikubali upuuzi wao wabaki na binti yao. ila wewe na bado umeshamjaza mimba hatari ila weka mbali na watoto.
 
Familia inayozingatia uislamu.
Hapo safi vijana wa kiislamu kama hajaoa atakuwa anamatatizo yake binafsi au binti hajapenda kuolewa na wewe.
Wagalatia mahari kwao wanafanya kukomoa. Harusi ndo balaaa. Takbiiir
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom