Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Baba mkwe, mahari hii imenishinda

Mahali inategemeana na kichwa cha mwanamke husika!! Tuseme mwanamke ameenda shule na akaelewa alichofundishwa! Mwanamke yupo au anaweza kuwa very productive akiwezeshwa! Kama hana ajira kisha ukampa 5M ajiajiri, basi baada ya mwaka hiyo itakuwa 5M x5! Mwanamke mwenye sifa hizo thamani ya mahari yake ni halali hata ikizidi hiyo 5M kwa sababu itakuwa compensated kupitia shughuli zenu za kimaendeleo!

Lakini kama mwanamke mwenyewe ni wale wanaoshinda kujiremba na kupiga umbeya, ukimpa mtaji anauua kwa kuhonga na kujinunulia vitu vizuri, na hakuna cha maana anachoringia zaidi ya uzuri wake, na wale mapoyoyo wakiwa wanaringia makalio yao, basi mwanamke kama huyo hata laki 3 kama mahari ni nyingi mnooooooooooooo!!!

Je, huyo mchumba wako anasimama kwenye mfano wa 1 au wa 2 ?!
Noma sana!
 
Pole sana mkuu.
Mimi nilitajiwa mahari 2.6m ila nilipiga "kiswahili" kwa muda wa dk 45 hadi nikaeleweka tukafikia 800k, nikalipa 500k, mpaka sasa bado nadaiwa 300k na maisha yanaendelea na watoto 4 tayari
 
Mi nilitajiwa mahari + makorokoro m6 nilishaachana nae maana nilimwambia sina pesa hizo, halafu wachaga bana wanawake wenyewe ufundi 0% tuoe zile flat zao au nini?
😆😆😆😆😆
 
Lengo la huu uzi ni kuwachafua wachaga kuonyesha hawaoleki.
Kaoe kwenu kwa mahari ya kuku hao std 2 hata lasaba hawamalizi. Butu ile mbaya.

Huwezi chukua kichwa huku unalalamika.

Eti umemtia mimba.
Hakika wewe ni .
Mimba inatolewa. Damu ya kijinga kama yako inachafua ukoo.
Umepanick tu kama mleta mada, ungetulia vzr ungemjibu vema kuliko ulivyomjibu hapa
 
Mpaka uzeeni? Du hii kali! Kisa ?
Mahari ya milioni 5? Uchagani sehemu gani? Kwanza sisi wachaga tunaamini mahari haishii utalipa mpaka uzeeni.

Labda mshenga wako hakuelewa utaratibu kuna vitu vya muhimu vya kulipa katika mahari ya awali havizidi laki 8.

Vinavyobaki kama mifugo utalipa unavyojisikia mpaka uzeeni.
 
Acha uzushi mjomba. Wachaga kibao wamezalishwa mjini na mabaharia na hamna cha ndoa wala mavi ya ndoa. Mnajiona spesho sanaaa! Mademu watu tunawafyatua sanaaa tu..mchaga koko ni wa aina gani?
Watamrudisha tu kwa jamaa kumkabidhi, ni mwiko mtoto wa kichaga kuzaa kabla ya ndoa. Labda wawe wachaga koko ila wale OG hawakubaligi binti azae kabla ya ndoa.
 
Acha uzushi mjomba. Wachaga kibao wamezalishwa mjini na mabaharia na hamna cha ndoa wala mavi ya ndoa. Mnajiona spesho sanaaa! Mademu watu tunawafyatua sanaaa tu..mchaga koko ni wa aina gani?
Kama hao wa mjini mnaowazalisha hovyo hovyo.
 
Uliwapa laki mbili na 80 kama pesa ya maandalizi?
 
Came down mkuu,huu mchezo hauhitaji hasira,pia ni kipimo how matured you are,bt mwisho wa siku utapenya tu.
 
Leo week ya pili nimeshindwa kabisa kupokea simu ya Baba mkwe na Mshenga wangu.

Iko hivi katika misoto yangu na kukulu kakala za maisha atimae nikajikuta nimedondokea kwa mtoto wa kichaga Kama ilivyo janga kwa wanaume wengi wa mjini.

Mipango ikapangwa na siku ya kufika ukweni kupeleka posa ikafika. Kidume nikajikoki na Mshenga wangu na wadada 3 wa kukodi tukazuka ukweni.

Mambo yalikua shwari hadi pale mjomba mtu akapewa fursa ya kutupangia package ya mahari ili mpango mzima ukamilike.... list ya makorokoro kibao, Mara mkaja wa mama, Bibi, mablanket ya Mama na mashangazi, mbege mapipa matatu, mbuzi 3 wa maziwa na....mwishoni akataja cash money 3 Mil.


Mimi kipindi anataja yale mazaga hata nilikua sifuatilia ,akili yote ilikua inasubiri point ya msingi Cash money.

Badae ikatolewa option ya ku convert the overall cost ika amount Kama 5 Mil. na ushee!

Jitihada za mshenga kupangua bei hazikuzaa matunda. Mbaya zaidi ile tumemaliza events shangazi anatuzuia hakuna kuondoka mpaka tumelipia gharama za maandalizi walioyotufanyia.

Kwa shingo upande nikausukuma mzigo wa M pesa tsh 280, 000 coz walidai laki 3.


Niliporudi lodge usiku mzima sikulala , series nzima ikawa inaji frash back repetitively.

Nika najiuliza kwani wananiuzia mke kisa ni afisa ustawi wa jamii?

Ana kipi Cha ziada ambacho wake wa ndg zangu wameolewa na jumla ya mahari tulizotoa na makokoro yote hata milioni haikufika?

Kwani ana kismat Cha mafanikio? Mbona tangu tuingie kwenye relationship mambo mengi tunakimbizana kwa had-hoc za kufa mtu?

Na mengine mengi ambayo si busara kuyaanika humu.

Alifajiri nikaamua kufanya maamuzi magumu ..."Katu sitorudi tena ukweni." Kwa maana kuwa sitoi tena mahari, mtoto wao nimeshamtia mimba ,wakimtaka waje wamchukue.


Ni hayo tu.....sirudi ukweni tena

Mashemeji zangu wachaga povu ruksa. Ila katu sirudi tena ukweni.

Kingsmann nimejiskia kukwita tu
 
Mahal 5 milion.... hiyo hata waseme mahali haimaliziw sitoi kamwe.... sababu dawa ya deni ni kulipa..
Itafika siku itabidi uimalizie.... utaweza kutoa yote?....

Hapo majukumu mengine bado....
 
Mahali nilitoa laki4, harusi nilichangia 1M michango ya wahisani 3M. Nilifanya harusi Dar es Salaam it was simple na nikabakiwa na change ya laki5 baada ya harusi. Watu Walikula wakasanza. Tu kavunja kamati na bado mabaki yalikuwa kibao. Hii ilikuwa 2011 nimemaliza chuo kikuu. Hadi sasa nipo na mke wangu we live happily life
Hiyo hela hata mimi sitoi aisee.
Maari 5M
Bado ujaweka gharama za harusi hapo.
Wamuoe wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom