Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,678
- 14,572
Nimetoka kidogo huko.Aisee, ndugu yangu wa Pg, mtaa gani unaishi? mi nipo kongowea.
Nimetoka kidogo huko.Aisee, ndugu yangu wa Pg, mtaa gani unaishi? mi nipo kongowea.
Jamaa unaroho ngumu kinoma yaani unawasusia na ushamjaza mimba??
Watamrudisha tu kwa jamaa kumkabidhi, ni mwiko mtoto wa kichaga kuzaa kabla ya ndoa. Labda wawe wachaga koko ila wale OG hawakubaligi binti azae kabla ya ndoa.Ushatia mimba mahari ya nini we kolo wakizingua warudishie binti yao lazima akili iwakae sawa afanaleki
Vitu kma hv inabd muwaambie wageni utaratibu unakuajeHuyu kijana Mang'aa yeye na mshenga wake wameshindwa kuelewa mila za kichaga. Mimi mchaga pure nilioa mchaga mwenzangu nikalipa mahari laki 8.
Hayo makorokoro mengine yanayofika milioni kadhaa utaratibu unalipa mdogo mdogo mpaka uzeeni.
Mzee wangu mpaka sasa hajamaliza mahari huwa tunaamini mahari ni jambo endelevu.
Hiyo laki 8 ni vile vitu muhimu vya kununua kimila.






nimecheka kweliNimesoma habar za huyu jamaa na Zero Iq,nimecheka sana!Kupanga ni kuamua.
Ungekuja huku Pangani elfu 50 unatoa mahari uku ukitembea kifua mbele.
Chenji inayobaki unapika wali watu wanakula mpaka kubeba kwenye mifuko.
Duuuuuhhhhhh,mwanangu mshenga wako alikuwa domo zege?Bado kidogo nikushauri uongee na huyo mama watoto kuhusu hio mil 5 ili awashawishi wazazi wakupunguzie..
ila kila nikiikumbuka laki mbili na themanini ya chakula uliyolipishwa naskia uchungu Chief..
tupa kule hio familia takataka.
Vjana wengi hivi leo hawaoi kwa sababu ya kukutana na kujazana ujinga kwenye vjiwe!Ukiachana na Mahari kuwa 5M plus haijadiliki
Kitendo cha wewe kulipia Gharama za wao kuandaa sherehe hii mpya...
Sitaki kuwahukumu wachaga wote ila kama ndio utaratibu wenu ndugu zangu thats too much!!
5M hiyo unatoa kwa familia ya Mkeo mtarajiwa kama mahari hizi ni gharama ambazo lazma utazilipa kama Bwana Harusi
--- Gauni la Harusi plus Saloon Nafikri
--- Pete za ndoa
--- Suti ya Bwana Harusi
--- Gharama ya Ukumbi
--- Gharama za Kikao cha kwanza
--- Gharama za Usafiri kwenda kulipa 5M
Plus mambo mengne madogo madogo
Mkuu bora umesepa Kibingwa ila mwambie Afisa Ustawi wa Jamii kwamba gharama zimekua kubwa u cant afford ili ajue ukwel.