walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Nani amekwambia kuwa wote wanaoenda ukweni ni ndugu asilimia mia, unaweza chukua ndugu jamaa na marafiki plus ndugu zako mambo yanaenda kiivyo
Hao wadada uliokodi ndo wamesbabisha ukatozwa adi gharama ya vyakula....ungechukua watu wazima ndugu zako isingekuwa ivo, afu una bahati, kwetu uniletei watu wa kukodi aiseee

. 