Kasome mada kwanza siyo kukurupuka kuandika kwa vile unaweza kuandika. Kuna alipisema hahudumii aunt hamhudumii mtoto?Wengine mnakumbwa na hayo kwa kujitakia. Kuoa hujaoa Hugo binti , mtoto unaweza kukuta humuhudumii unaponda maisha tuu na hata mawasiliano umekata, hapo kinachofuata ni hicho! Hiyo ni RED ALERT unatakiwa uichukulie kwa makini.
Vijana wengi wanachukulia kuwa matunzo wa mtoto ni jambo kama LA hiari vile au lisilo na umuhimu kumbe ni LA umuhimu mkubwa hasa akiwa katika umri huo mdogo.
Peleka matunzo kwa kadiri ya kipato chako na utaona utakavyo heshimiwa na mambo kama hayo ya majina huwezi yaona
Sent using Jamii Forums mobile app
ID yako na maandishi yako hayafanani kanisa.
Sent using Jamii Forums mobile app