Baba mkwe kumbadilisha jina mtoto wangu

Baba mkwe kumbadilisha jina mtoto wangu

1.Nimekaa naye mwaka mmoja
2.Naamini aliupatia kwangu japo mwenye uhakika ni yeye.
3.Ukaribu wake na baba yake siufahamu unafikia wapi
4.Sina ukaribu na baba yake tofauti na ambavyo nilienda kujitambulisha.
5.hakuna shida ila ni ishara ya dharau, mimi nimeshatoa jina tena mtu mwingine anataka abadilishe
Kiongozi naomba ufafanuzi kidogo japo swali langu namba 6 umesahau kujibu. Namba 1 umesema umekaaa nae kinyumba mwaka mmoja na mwaka mmoja huo huo akapata mimba!! Mtoto ana miezi mingapi? Haukuwahi kuwa na urafiki nae kabla ya kukaa nae pamoja. Mvua hizi za masika ngoja nikaanze kulima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambie wachague moja,wakusubiri ukalipe mahari wakati huo wasiendelee na huo mchakato au waendelee na huo mchakato na wewe uachane nao uendelee na harakati nyingine(yaani usioe binti yao)
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.




Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.
We wasikusumbue baada ya muezi mitatu chukua tangazo la clinic kaandikishe majina unayotaka kwa mtoto wako huko Wanapotoa vyeti vya kuzaliwa. Usiumie kichwa kama sperm zako ndo zilitunga mimba wasikupe F/A=Paschal
 
Ushaolewa hapo mzee... Utapangiwaje maisha na Mwanaume mwenzio? Hebu kazi mjuba

Sent using OnePlus 6T Maclaren Edition
 
Naomba majibu ya haya maswali.
1. Ni muda gani umekaa kimada na huyu binti?
2. Wakati wa ujauzito binti una uhakika kuwa aliupatia kwako?
3. Kuna ukaribu gani kati ya mchumba/kimada na baba yake mzazi?
4. Kuna shida gani mtoto kuitwa jina la baba wa kimada wako?
5. Una ukaribu gani kati yako na baba wa kimada wako?
6. Je mtoto kafanana na nani.

Ukijibu ama ukiacha kujibu ushauri wangu ni kuwa achana na huyo mwanamke na zoezi la kwenda kulipa mahari sitisha kabisa na hata siku ya ubatizo usitie timu na pia kata mawasiliano nao. Uenda baba wa kimada wako anamjua mtoto baba yake halisi. Haya mambo ya kugombea majina achana nayo wewe kaa cha cheti cha RITA kwa jina unalotaka kama mzazi wa mtoto angalizo ila kama una uhakika ni mtoto wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kimada??? Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.




Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.

Mkuu jina analopewa ni ubatizo shida ipo wapi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kimada??? Aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ni neno sahihi na lipo kwenye kamusi ya kiswahili. Huyo ni kimada sio mchumba uchumba unakamilika mara baada ya taratibu zote kufuatwa kama kutolewa posa kuchumbiwana kulipiwa mahari iwe chochote kile makubaliano kutokana na mila na desturi ya sehemu husika. Huyo sio mchumba wake ni kimada wake ndio maana mzee ana hasira ya kuto..mbewa mtoto bila kufuata taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata wewe hujui e?
Kuna members walikuwa wanasema wewe ni mdogo sana kwa kutumia vigezo cha baadhi comment zako. Sasa nilipoona hii comment nikakumbuka hiyo kitu nikajikuta naacheka. Ila kwenye kuhusu maana ya neno mtambuka ni kitu ambacho kimejumuisha vitu vingi na kinahitaji taratibu kadhaa na muda mrefu kidogo kukishughulikia.
 
Jaribu kuwashawishi waache huo ukoloni wa kulazimisha vitu vilivyo nje ya uwezo wao wakikataa wauliza, ukilipa mahari utambadilisha jina utakalo kwa mtoto?

Akizingua wakubalie wambatize ila mahari hutalipa tena na huta muoa binti yao maana kama mtoto ni wako wao wanalazimisha kumbatiza kisa hujatoa mahari, ukishatoa mahari ndoa utafungia kwao kwenye kanisa lao ndio umchukue binti huyo.

Hapo inawezekana kuja kutokea maana angalia kwa mtoto wako inakua hivyo watashindwaje kwa binti yao?

Qn
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.




Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.
Mkeo ndio anatakiwa awe upande wako kwa kila kitu,labda ni mbinu yao ya kushinikiza ulipe mahali,mueleweshe vizuri mkeo mtarajiwa hayo maisha ni yako wewe na yeye na sio wazazi,mbegu ulitupia wewe dingi anachukuaje nafasi ya kukuamlia kwenye ndoa yako?!! Kama vipi dem achague wewe au baba,na ni bora afanye mapema ili uvute kitu cha imani yako kabisa.

macson
 
Kuna members walikuwa wanasema wewe ni mdogo sana kwa kutumia vigezo cha baadhi comment zako. Sasa nilipoona hii comment nikakumbuka hiyo kitu nikajikuta naacheka. Ila kwenye kuhusu maana ya neno mtambuka ni kitu ambacho kimejumuisha vitu vingi na kinahitaji taratibu kadhaa na muda mrefu kidogo kukishughulikia.

Hao wanaosema mie mdogo sana wananikadiria tu,sina udogo wowote
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.





Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.
Muache ajifurahishe siku ukimtolea mahali unafuata utaratibu wako.

By the way hivi washamba WA kuwapaga watoto wenu majina ya babu zao bado mpo. Aisee so funny.

Kwa hiyo kama unaitwa CHACHA MARWA mtoto wako unamuita MARWA na yeye mtoto wake ana muita CHACHA and on and on. So mwisho wa siku jina LINAKUWA kama shairi " CHACHA MARWA MARWA CHACHA CHACHA MARWA MARWA CHACHA"

Acheni ushamba nyie. Mtoto mpe jina lake mwenyewe
 
Muache ajifurahishe siku ukimtolea mahali unafuata utaratibu wako.

By the way hivi washamba WA kuwapaga watoto wenu majina ya babu zao bado mpo. Aisee so funny.

Kwa hiyo kama unaitwa CHACHA MARWA mtoto wako unamuita MARWA na yeye mtoto wake ana muita CHACHA and on and on. So mwisho wa siku jina LINAKUWA kama shairi " CHACHA MARWA MARWA CHACHA CHACHA MARWA MARWA CHACHA"

Acheni ushamba nyie. Mtoto mpe jina lake mwenyewe
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom