Baba mkwe kumbadilisha jina mtoto wangu

Baba mkwe kumbadilisha jina mtoto wangu

Waambie kwasababu haujagoma kulipa mahari basi wasitishe ilo zoezi la ubatizaji na wakupe mda ufanye kile wanachotaka {kulipa mahari) kama wakigoma basi nawewe ukaoa uyo binti basi kazi utakua nayo mbeleni, mpigie binti simu mwambie awaambie wazazi wake upo tayari kulipa mahari so wasifanye icho wanachotaka kufanya na kama wakikataa wakalazimisha basi hauoni haja na kuendelea nae(apa unatingisha kiberiti uone watareact vipi)
Wazee wa dizaini hiyo wanakuwa watata sana, unatingisha kiberiti na bado wanagoma. Mm nina jamaa lilitokea jambo kama ilo la pande mbili kutoelewana kuhusu maamuzi fulani. Nakumbuka wazazi wa pande zote mbili pamoja na mshenga walijadili saana, ila hawafiki muafaka (dingi yake demu alikuwa mbishi sijawahi ona). Ilifika hatua mzee wake demu aliomba kuzipiga na mzee wake jamaa yangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee wa dizaini hiyo wanakuwa watata sana, unatingisha kiberiti na bado wanagoma. Mm nina jamaa lilitokea jambo kama ilo la pande mbili kutoelewana kuhusu maamuzi fulani. Nakumbuka wazazi wa pande zote mbili pamoja na mshenga walijadili saana, ila hawafiki muafaka (dingi yake demu alikuwa mbishi sijawahi ona). Ilifika hatua mzee wake demu aliomba kuzipiga na mzee wake jamaa yangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].



Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kwetu wakwe huwa hawana nafasi ya kujadili Jambo lolote linalohusu familia ya binti ambaye walishamuoza.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikwetu kama hujatoa mahari huna haki na mtoto. sijui wengine ikoje
Nami nilitamani wanyakyusa waje hapa waseme kinagaubaga nini mila na desturi zao, kwa sababu hapa tunabishana sisiwenyewe hata hatujui msingi wa haya mambo, ukizingatia kijana hajatoa mahari kwa hiyo naamini hajawhi kukaa na wazazi wa mchumba wake ili kupewa terms and condition za asili za huko mkoani mbeya, naamini hajui lolote kuhusu mila na desturi za huko, sasa anatuletea hapa bifu zao ili !!
 
Wazee wa dizaini hiyo wanakuwa watata sana, unatingisha kiberiti na bado wanagoma. Mm nina jamaa lilitokea jambo kama ilo la pande mbili kutoelewana kuhusu maamuzi fulani. Nakumbuka wazazi wa pande zote mbili pamoja na mshenga walijadili saana, ila hawafiki muafaka (dingi yake demu alikuwa mbishi sijawahi ona). Ilifika hatua mzee wake demu aliomba kuzipiga na mzee wake jamaa yangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi inakuwaje kama Baba yako ikatokea anapigana na Baba mkwe wako na wewe unampenda sasa mkeo na uko hapo wanapigana, utamsaidia nani ?, Babako au Baba mkwe ?.
 
Hivi inakuwaje kama Baba yako ikatokea anapigana na Baba mkwe wako na wewe unampenda sasa mkeo na uko hapo wanapigana, utamsaidia nani ?, Babako au Baba mkwe ?.
Hivi ni wakati gani mtu anafaa kuitwa baba mkwe? Ukianza tu kumgonga binti yake? Ukimzalisha binti yake au ukimuoa binti yake
Tusadiane wale wahenga
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.




Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.

Wazazi wa binti wa haki zote kuhusu binti yao na mwanawe. Wewe hujaoa alafu unadai haki ya mtoto wapi na wapi. Tena ungekuwa Muislam ungepashwa wazi huwa mtoto anayezaliwa nje ya ndoa ni mali ya mama.
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.




Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.

Kwa ujinga kama huo nimeshawahi kumtembezea baba mkwe kichapo heavy!na heshima ikarudi,mtu yeyote akigusa anga zangu kama nina uwezo wa kumshughulikia anashughulikiwa vizuri tu,miaka ya karibuni kumeibuka baba mkwe na mama mkwe wapumbavu,usipojitoa ufahamu utapandwa hadi kisogoni


Sent using IPhone X
 
Mzee baba lipa mahari wacha kulia lia mabinti zetu tuwalee kwa shida umekuja kujuana nae ukubwani unaleta sheria zako unataka heshima na kuthaniniwa fuata utaratibu
 
Wengi huku comments zao eti mwache Mwanamke wanakushauri kimhemko mihemko tu hakuna LA maana wanachosema,mkuu binafsi naona wewe pia utakuwa na makosa sema hujioni Mwaka mzima sio muda mfupi ni mda mrefu bora ungepeleka chochote kuonesha ukweli wako kwa binti na familia yao unakurupuka ishafika asubuhi cha msingi usimwache binti na mtoto ila cha kufanya nenda ukaelewane na Baba mkwe au tuma watu wazima

Na cha muhimu zaidi nasema usimwache binti na mtoto, watu wanaropoka tu kukushauri ujinga wa kuacha familia yako unajua malezi ya mtoto yatakuwa magumu na ajabu na kuna madhara ya kulelewa na single mother, sasa usiongeze idadi ya single mother mtaani na watoto nnje ya ndoa, usisikilze ushauri wa kijinga unaotolewa na watu humu,eti kumuacha mke na mtoto ni ujinga kabisa huuu
 
Vaa uanaume wako mkuu,
Kwani mahari hujakataa kutoa, ww ongea na huyo mama mtoto wako kua aamue moja, kukusikiliza ww au kuwasikiliza wazazi wake, ww una say juu ya mwanao so long as hujamtelekeza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu za mida hii.


Nina mchumba wangu ambaye nilimtolea kishika uchumba, tulibahatika kupata mtoto wa kiume, alijifungulia nyumbani kwetu(Kazi zangu nafanya sehemu ambayo haikumruhusu kujifungulia kwangu) mtoto nikampa jina(la baba yangu mzazi), basi baada ya mwezi mmoja alikwenda kusalimia kwao.

Alipo kaa week mbili mchumba akapiga simu kwangu akasema baba yake anasema anahitaji kumbatiza mtoto siku ya pasaka, kwa jina lake(yaani jina la baba mkwe) na hiyo siku inabidi niwepo kanisani kwao, je ninasemaje? nikamwambia hapana mtoto anatakiwa afate mahali ninakosali mimi hivyo aache tu mtoto atakuja kuwekewa wakfu atakaporudi, maana tutarudi kumchukua binti na kumtolea mahari ili arudi kuendelea na malezi nyumbani kwetu, maana utaratibu wa dini yangu sio ya kule kwao binti akasema sawa.


Jioni ya leo hii baba mkwe kapiga simu kwa mama yangu akisema kwamba anambatiza mtoto pasaka hii, nilipigiwa simu na mama kuniuliza kama hicho kitu nimeambiwa, nikamwambia hapana, nilikataa na nilimueleza kuwa asifanye hivyo.

Nikamrudia binti kumuukiza imekuwaje maagizo niliyoyatoa yamepuuziwa, akaniambia kuwa baba yake amekataa amesema kuwa hawezi kukubali kwa sababu sijamtolea chochote binti yaani mahari, kwa hiyo maamuzi hayo ndio ya mwisho na nyumbani amepiga tu kutoa taarifa.


kwa sasa bado sijafanikisha kutoa mahari, bado naitafuta na nyumbani kwao niliwaeleza kuwa ninajipanga ili nimtolee binti chochote aje kwangu, hivyo nadhani hapo ndio weakness yangu ilipo.




Wakuu hii kitu imekaaje.

Mbona kama nachanganywa,

Ushauri wenu ni wa muhimu.
Chakufanya tafuta mahari peleka halafui chukua mwanao mbatize tena kwa jina unalotaka mwenyewe huyo baba mkwe shida yake si mahali mpe anachotaka basi afu unakausha kama hakijatokea kitu mkikitana story kama kawa heshima kanda mbele kazi rahisi.
 
Hivi mtambuka maana yake nini eti?
Mtambuka maana yake ni jambo au kitu kinachogusa nyanja au hali mbalimbali za maisha.

Mfano...ukisikia ugonjwa wa ukimwi ni suala mtambuka maana yake ni ugonjwa uliopenya kwenye kila nyanja au hali mbalimbali za maisha ya watu mfano wasomi,wasiosoma,watoto,watu wazima,matajiri na masikini wote wameathirika au wanathirika na ugonjwa wa ukimwi kwa namna moja au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtambuka maana yake ni jambo au kitu kinachogusa nyanja au hali mbalimbali za maisha.

Mfano...ukisikia ugonjwa wa ukimwi ni suala mtambuka maana yake ni ugonjwa uliopenya kwenye kila nyanja au hali mbalimbali za maisha ya watu mfano wasomi,wasiosoma,watoto,watu wazima,matajiri na masikini wote wameathirika au wanathirika na ugonjwa wa ukimwi kwa namna moja au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia iwe siasa,uchumi,michezo na nyanja zingine za maisha pia zimeathirika nao kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtambuka maana yake ni jambo au kitu kinachogusa nyanja au hali mbalimbali za maisha.

Mfano...ukisikia ugonjwa wa ukimwi ni suala mtambuka maana yake ni ugonjwa uliopenya kwenye kila nyanja au hali mbalimbali za maisha ya watu mfano wasomi,wasiosoma,watoto,watu wazima,matajiri na masikini wote wameathirika au wanathirika na ugonjwa wa ukimwi kwa namna moja au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia iwe siasa,uchumi,michezo na nyanja zingine za maisha pia zimeathirika nao kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app


Asante Kila Mbongo nimeelewa sana
 
Back
Top Bottom