Huyo kwa jinsi ulivyomuelezea naona keshajisahau! Anachowaza ni kitimoto tuu..Was salaam.
Ni hivi upande wa baba wapo mseto lkn %95 ni wakristo, %5 ndiyo siye,
Baba mdogo kaja nyumbani kutusalimia na ana wiki sasa,
Shida ba mdogo anapenda kula kitimoto balaa,
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
Shida anakuja nacho ndani, kama leo kamtuma boda amletee na muda boda kaja ba mdogo anaoga na akaniambia nikampokelee
Na kumuambia asilete ndani nitaanzaje??
Hawezi kuona tunamnyanyapaa??
Au hatumtaki??
Je anafanya kusudi?? maana anaelewa kuwa hatutumii,
Naombeni ushauri nitumie njia gani kumfikishia kuwa hatupendezewi na hii tabia?
NB. Mama hajui maana si mtu wa nyumbani.
Kwenye maisha ni lazima ujifunze kupotezea. Mara yangu ya kwanza kuona mtu anakula senene nilishangaa sana na nilijiaminisha kwamba sitokuja kula senene (wakati huo niliona ni wadudu) /panzi.
Miaka miwili mbeleni nilikuja kukutana na mwanamama mmoja mrembo sana nikaangukia kwenye penzi lake, siku nimetoka nimeenda zangu kuhangaika jioni narudi nakuta kaniandalia senene wamewaka ile mbaya. Nikaweka msimamo hao wadudu mimi sili akanikaushia akawala yeye wengine wakabakia.
Usiku namuomba chiu akakataa katakata kwa kudai nimedharau chakula kwa kuita wadudu, nikaona mmmmmhhhh! Nikose utamu kisa senene? Mbona yeye kala na hajadhurika! Nikamuomba samahani akainuka akawaleta nikafumba macho nikabugia nikawala ooohoooooooooo......ni watamu hatari ! ,Nikawatafuna wote....kisha akaniambia sasa Chiu Mali yako vurugua uwezavyo ......
Binafsi sipendelei kula nyama ya Bata kwasababu ya namna alivyo tu, lakini haimaananishi nikikukuta wewe unakula nakwazika.
Sent using Jamii Forums mobile app



nishapotezeaYeah dogo anatatizo hilo lkn kwasasa hayupoNdugu miaka iyo sisi wakati tunakua ilikuwa mtoto akitaka kwenda shule au sehemu ya mbali na Nyumabani kwenye nguo yake anafungiwa mfupa wa kitimoto! Amini ni kinga tosha ya Majini na mashetani mabaya, Kama una mtu hapo nyumbani anasumbuliwa na Majini angalia kipindi hichi ambacho mjomba anatumia hapo happy nyumbani Kama atasumbuliwa. Lakini kilicho haramu kwako siyo kitimoto ni kula kitimoto, kwahiyo Kama hajakulazimisha utumie muache aenjoy maisha, ndiyo maana ni haramu kwake kuwa na wanawake wengi kwako halali lakini hajakuzia kwenda kwake na wake zako wote.
Hata banda la kuku , Bata, mbuzi, ng'ombe huwa linanukaSana, hapa jirani wanafuga nguruwe aisee kunuka
Njoo nikuoe utoke kwenu huko nao wamekuchokaYupo kwa muda.
Yeah tukiendaga kwao nasi tunafwata sheria zao,Hapo inahitaji busara za pande zote mbili, ila kwa huyu Baba Mdogo anakosa busara maana angeweza kufanya hayo mbali huko bila kukera wengine...ukizingati yeye ni Mgeni, vipi kama ingekuwa upo kwake, si ajabu angekulazimisha hata ule.
Ila naamini kwa imani zote kadri unavyopitia majaribu na kuyashinda ndivyo unavyopata thawabu zaidi.
Linapo kuja suala haki katika dini hakuna kufurahishana au kuogopana mwambie ukweli hii kitu hapa haitakiwi na ni haramu kwa Imani yangu akasirike asikasirikeWas salaam.
Ni hivi upande wa baba wapo mseto lkn %95 ni wakristo, %5 ndiyo siye,
Baba mdogo kaja nyumbani kutusalimia na ana wiki sasa,
Shida ba mdogo anapenda kula kitimoto balaa,
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
Shida anakuja nacho ndani, kama leo kamtuma boda amletee na muda boda kaja ba mdogo anaoga na akaniambia nikampokelee
Na kumuambia asilete ndani nitaanzaje??
Hawezi kuona tunamnyanyapaa??
Au hatumtaki??
Je anafanya kusudi?? maana anaelewa kuwa hatutumii,
Naombeni ushauri nitumie njia gani kumfikishia kuwa hatupendezewi na hii tabia?
NB. Mama hajui maana si mtu wa nyumbani.
Hii issue ya kitimoto naona kama mnaibeba tofauti au kimakosa. Kwa nielewavyo Mimi, japo waislam kitimoto ni Haram kwenu, lakin under certain circumstances mnaweza kula. If that's the case, sio kama yakufaa ujisikie vibaya baba ako mdogo kukwambia umpokelee (as long as inakuwa imefungwa vizuri, na hajakwambia ule).Was salaam.
Ni hivi upande wa baba wapo mseto lkn %95 ni wakristo, %5 ndiyo siye,
Baba mdogo kaja nyumbani kutusalimia na ana wiki sasa,
Shida ba mdogo anapenda kula kitimoto balaa,
Yaani chai yake ni kitimoto na pepsi,
Shida anakuja nacho ndani, kama leo kamtuma boda amletee na muda boda kaja ba mdogo anaoga na akaniambia nikampokelee
Na kumuambia asilete ndani nitaanzaje??
Hawezi kuona tunamnyanyapaa??
Au hatumtaki??
Je anafanya kusudi?? maana anaelewa kuwa hatutumii,
Naombeni ushauri nitumie njia gani kumfikishia kuwa hatupendezewi na hii tabia?
NB. Mama hajui maana si mtu wa nyumbani.