Niliwahi kuwa na mahusiano na dada mmoja wa kiislamu miaka ya ujana wangu. Mwanzoni wakati namtongoza alinikataa kwasababu eti nakula kitimoto, sikumkatia tamaa nikaendelea kumbembeleza siku akakubali tukazana penzini.
Baada ya kumbanjua kwa zaidi ya mara tatu akakolea penzini ,siku moja akanitembelea geto akanikuta nimepoa poa sinachangamka ,kuniuliza nikamwambia nina hamu sana ya kula kitimoto sijala muda mrefu ....... Akaenda kuniletea nikala kisha yaliyofuata baada ya pale ni historia.
Mbeleni naye alianza kula mdogo mdogo haadi alipozoea na hadi sasa ni mlaji mzuri tu wa kitimoto japo anakula kwa kujificha sana.
Hizi dini ni mapokeo toka kwa waarabu na wazungu lakini zinatupelekesha utafikiri ni asili yetu
Sent using
Jamii Forums mobile app