Babake Majaliwa anastahili pongezi nyingi sana kwa kutuletea shujaa. Kitendo cha huyu babake Majaliwa kuukimbia familia ndiyo kimepelekea Majaliwa kuishi kwa shida hivyo kujengeka na kuwa shujaa.
Watoto wengi wanaolelewa na wazazi wawili huwa ni walegevu na wasio na tija ktk jamii. Huishia kuoa/ kuolewa na kuzaa watoto kisha kufa maskini. Huwa hawafanyi makubwa kwenye maisha yao.
Lkn watoto wenye kupitia shida kwa kulelewa na mzazi mmoja huwa wanatoboa kweli kweli. Viongozi wengi waliotikisa dunia wamelelewa kwa shida na mzazi mmoja.
Hongera Sana baba yake kijana Majaliwa.
Watoto wengi wanaolelewa na wazazi wawili huwa ni walegevu na wasio na tija ktk jamii. Huishia kuoa/ kuolewa na kuzaa watoto kisha kufa maskini. Huwa hawafanyi makubwa kwenye maisha yao.
Lkn watoto wenye kupitia shida kwa kulelewa na mzazi mmoja huwa wanatoboa kweli kweli. Viongozi wengi waliotikisa dunia wamelelewa kwa shida na mzazi mmoja.
Hongera Sana baba yake kijana Majaliwa.