Serikali kupitia Wizara ya Afya na TAMISEMI komesheni hii tabia kwenye baadhi ya hospitali na zahanati
zinazowanyima majibu wale wagonjwa wanaofika kupima katika hospitali zao!
Wagonjwa hulipia gharama za vipimo kama kawaida, lakini inapofika hatua ya kupatiwa majibu nakala huwa hawapewi!
Kinachofanyika wao kwa wao hutumiana majibu kwa kompyuta hadi kwenye pharmacy yao (wakati mwingine dakitali hushauri kulingana na dawa zilizopo dukani kwao ili ziuzike)
Ukiachilia bei kuwa juu, Wagonjwa huwa wanakosa haki ya kupatiwa majibu wanapokosa pesa ya kulipia dawa.
Naomba Waziri wa Afya na kamati za afya toeni tamko kutokomeza tabia hii inayowatesa sana hasa watu mijini na vijijini.
zinazowanyima majibu wale wagonjwa wanaofika kupima katika hospitali zao!
Wagonjwa hulipia gharama za vipimo kama kawaida, lakini inapofika hatua ya kupatiwa majibu nakala huwa hawapewi!
Kinachofanyika wao kwa wao hutumiana majibu kwa kompyuta hadi kwenye pharmacy yao (wakati mwingine dakitali hushauri kulingana na dawa zilizopo dukani kwao ili ziuzike)
Ukiachilia bei kuwa juu, Wagonjwa huwa wanakosa haki ya kupatiwa majibu wanapokosa pesa ya kulipia dawa.
Naomba Waziri wa Afya na kamati za afya toeni tamko kutokomeza tabia hii inayowatesa sana hasa watu mijini na vijijini.