Baadhi ya fani zenye ajira kubwa Duniani: Wazazi somesheni watoto nje Degree za Cyber Security na Aeronautical Engineering

Hili ni Soko la muda ndani ya miaka 10 zijazo litakuwa limeisha!
 
danganya wenzio
 
danganya wenzio
Kama huna kichwa hiko ni wewe,ila ukiingia Torlock kuna tutorials (Lynda na Udemy) na vitabu kibao ukiongezea na youtube kama upo serious utajua vingi.Ila si shangai inawezekana naongea na mtu asiye zoea MISULI YATIMA.

Hata mimi Networking Cisco, Huawei na Juniper (basic) nimesoma mwemyewe na ongea kitu nilicho kifanya na hata washkaji zangu programming wamesoma wenyewe.
 
Cyber security haitakuwa na kazi kama hakuna wakusumbua makampuni ili waone umuhimu wa experts kweye hiyo sekta
 
danganya wenzio
hongera
 
mfumo wa elimu hauturuhusu kupata maarifa yanayoweza kutusaidia wenyewe au hata jamii iliyotuzunguka
Primary tunapoteza mda na kuvurugwa masomo mengi hayaeleweki katoto kanasoma mambo mengi kanabeba ndoto mia ndani ya miaka 7 then
Secondary kanasoma science au art au commercial pasopo kupenda au kujua
Advance anaangukia Hkl (Hkunani)
Chuo anasoma kitu hakiendani hata na kitu kimoja alichowahi kufundishwa huko nyuma au alichowahi kukiota
Huyu mtu unaweza ukampa jambo akalitekeleza KWa maarifa chanya kweli? Obviously atalifanya kwa mbinu ngumu KWa sababu ndo mazingira yaliyomkuza
Na ndo maana wizara ya elimu haibadilishi mambo yakawa mepesi na kuweka mfumo wa elimu kuwa mwepesi bali wanazidi kuvuruga na kuzunguka zunguka tuu system bado mbovu hata ukija na elimu yako kutoka nje ni ngumu kuitumia watu wameshazoea mbinu ngumu zisizo na utatuzi chanya
Tunahitaji miaka elf10 mingine kwenda sawa na dunia
 
Ni vitabu gan kwenye nertwork ulipiga brother unisaidie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…