peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,460
Kuna askari traffic wawili wa kike ni wasumbufu na kero huko MOSHI MANISPAA.
Askari hao wanasumbua hadi magari ya serikali yanayoingia ofisi za mkuu wa mkoa na mkurugenzi wa Moshi Manispaa.
Cha kufurahisha zaidi bendera inapepea nje ya ofisi ya mkuu wa mkoa nao wanapokelea hapo hapo rushwa.
RPC Kilimanjaro ondoa askari wako kwenye eneo Hilo, ni kero Kwa wananchi, watumishi na ni aibu.
Askari hao wanasumbua hadi magari ya serikali yanayoingia ofisi za mkuu wa mkoa na mkurugenzi wa Moshi Manispaa.
Cha kufurahisha zaidi bendera inapepea nje ya ofisi ya mkuu wa mkoa nao wanapokelea hapo hapo rushwa.
RPC Kilimanjaro ondoa askari wako kwenye eneo Hilo, ni kero Kwa wananchi, watumishi na ni aibu.