Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,551
- 2,184
Nawasalimu kwa Jina la JMT,
Tanzania kuna mambo ya kubishaniwa ila sio uhodari,Umakini na Uchapakazi wa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Mtakumbuka hivi majuzi Rais Samia alifanya ziara katika nchi za falme ya kiarabu (UAE) akihangaika kuifungua Tanzania ili kuwaletea Watanzania anawaongoza mendeleo endelevu.
Moja ya jambo kubwa la mafanikio ya ziara hiyo ni kufanikiwa kuzishawishi tena nchi hizo za kiarabu kununua ngo'mbe mbuzi na kondoo toka Tanzania.
Mtakumbuka, ni karibu nusu karne nzima waarabu waligoma kula nyama toka Tanzania wakihitaji wauziwe viumbe hao wakiwa hai ili kwa imani yao wao wenyewe wawapeleke "Kibra " yaani wawachinje wao.
Tanzania wakati wote imeshindwa kutimiza takwa la mifugo yake kuwa na utambuzi,unaotambulika kitaifa na kimataifa, yaani kuwa na hereni zenye "Bar code " kama ilivyo kwa wenzetu Uganda.
Tanzania kwa sasa inakadiriwa kuwa na mifugo inayofikia milioni 50,kama kadirio la chini na iko nafasi ya pili baada ya Ethiopia Africa.
Endapo Tanzania itafanikiwa kusajili walau 70% tu ya mifugo yake basi mifugo hii itachangia kwenye pato la Taifa kwa zaidi ya 20%, karibu sawa na sekta ya madini.
Kama kunajambo Rais Samia atapiga bao marais wote waliomtangulia basi ni hili la 'Livestock identification ' kwani bei ya ngo'mbe itapaa juu mno, wafugaji wanakwenda kuwa billioners.
Mfugo wenye " Id " anakuwa tayari ni "International based " anaweza kuuzwa kokote duniani, tofauti na ilivyo sasa wanaishia tu pale Pungu au kale kamnada kakwampalange.
Fankly, Sijawahi kmpongeza Ndg yangu Mhe Mashimba Ndaki waziri wa Mifugo na Uvuvi kwenye hili wacha niseme ameupiga mwingi kwelikweli,na anastahili heshima sana pamoja na team yake yote.
Kinachonisikitisha zaidi ni kuona baadhi ya wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi kutolipa uzito unaostahili zoezi hili litakalo maliza migogoro ya muda mwingi kati ya wakulima na wafugaji na kuwaacha wafugaji wakiwa matajiri wa kutupwa.
Napendekeza uwekaji wa hereni uwe ndio kipimo cha utendaji wa viongozi hao.
Kazi na iendelee,#Samia5Tena
Huyu ni ng'ombe mwenye hereni huko Mbarali Mbeya,
Wacha nimpongezi Mhe RC wa Mbeya, Mhe DC wa Mbarali na Mhe Mkurugenzi wa Mbarali kwa kumsaidia vema kazi Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan,
Tanzania kuna mambo ya kubishaniwa ila sio uhodari,Umakini na Uchapakazi wa Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan.
Mtakumbuka hivi majuzi Rais Samia alifanya ziara katika nchi za falme ya kiarabu (UAE) akihangaika kuifungua Tanzania ili kuwaletea Watanzania anawaongoza mendeleo endelevu.
Moja ya jambo kubwa la mafanikio ya ziara hiyo ni kufanikiwa kuzishawishi tena nchi hizo za kiarabu kununua ngo'mbe mbuzi na kondoo toka Tanzania.
Mtakumbuka, ni karibu nusu karne nzima waarabu waligoma kula nyama toka Tanzania wakihitaji wauziwe viumbe hao wakiwa hai ili kwa imani yao wao wenyewe wawapeleke "Kibra " yaani wawachinje wao.
Tanzania wakati wote imeshindwa kutimiza takwa la mifugo yake kuwa na utambuzi,unaotambulika kitaifa na kimataifa, yaani kuwa na hereni zenye "Bar code " kama ilivyo kwa wenzetu Uganda.
Tanzania kwa sasa inakadiriwa kuwa na mifugo inayofikia milioni 50,kama kadirio la chini na iko nafasi ya pili baada ya Ethiopia Africa.
Endapo Tanzania itafanikiwa kusajili walau 70% tu ya mifugo yake basi mifugo hii itachangia kwenye pato la Taifa kwa zaidi ya 20%, karibu sawa na sekta ya madini.
Kama kunajambo Rais Samia atapiga bao marais wote waliomtangulia basi ni hili la 'Livestock identification ' kwani bei ya ngo'mbe itapaa juu mno, wafugaji wanakwenda kuwa billioners.
Mfugo wenye " Id " anakuwa tayari ni "International based " anaweza kuuzwa kokote duniani, tofauti na ilivyo sasa wanaishia tu pale Pungu au kale kamnada kakwampalange.
Fankly, Sijawahi kmpongeza Ndg yangu Mhe Mashimba Ndaki waziri wa Mifugo na Uvuvi kwenye hili wacha niseme ameupiga mwingi kwelikweli,na anastahili heshima sana pamoja na team yake yote.
Kinachonisikitisha zaidi ni kuona baadhi ya wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi kutolipa uzito unaostahili zoezi hili litakalo maliza migogoro ya muda mwingi kati ya wakulima na wafugaji na kuwaacha wafugaji wakiwa matajiri wa kutupwa.
Napendekeza uwekaji wa hereni uwe ndio kipimo cha utendaji wa viongozi hao.
Kazi na iendelee,#Samia5Tena
Huyu ni ng'ombe mwenye hereni huko Mbarali Mbeya,
Wacha nimpongezi Mhe RC wa Mbeya, Mhe DC wa Mbarali na Mhe Mkurugenzi wa Mbarali kwa kumsaidia vema kazi Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan,