Baada ya populists sasa ni age ya radicals with reality

Baada ya populists sasa ni age ya radicals with reality

Nicholas karibu tena mkubwa, ulikuwa umepotea sana.

Mjadala mzuri sana huu. Naufutilia kwa umakini wa hali ya juu.

Naona unawapiga mmoja mmoja kwa KO na wote wanaachia ngazi wenyewe taratibu.

Sina hakika kama mada ni ngumu kwao watetezi wa mapopulists au hawana hoja tu.

Kinachonifurahisha unajibu kila hoja tena kwa usahihi. Wengine kama kawaida yao wanajaribu kuleta spinning kwa kutaka kukutoa kwenye msingi wa hoja, lakini thanx, you are so intelligent bro, unawaona na kuwaziba nyuso zao!!
 
Nicholas karibu tena mkubwa, ulikuwa umepotea sana.

Mjadala mzuri sana huu. Naufutilia kwa umakini wa hali ya juu.

Naona unawapiga mmoja mmoja kwa KO na wote wanaachia ngazi wenyewe taratibu.

Sina hakika kama mada ni ngumu kwao watetezi wa mapopulists au hawana hoja tu.

Kinachonifurahisha unajibu kila hoja tena kwa usahihi. Wengine kama kawaida yao wanajaribu kuleta spinning kwa kutaka kukutoa kwenye msingi wa hoja, lakini thanx, you are so intelligent bro, unawaona na kuwaziba nyuso zao!!
Nashukuru mkuu.JF ilianza chosha pale mods kuanza shindana na thread zangu. Nao wanapost zao kisha wanaunagnisha.Design km yule mama aliyefukuza ukuu wa wa mkoa alieyedanganya kwa maslahi ya chama,hadi kujikuta hapa kazi tuu nae anatafuta kitu tofauti, jamaa nao walikuwa wakivuruga thread zangu wakidhani wanafanya mazuri.

Pengine this time watajifunza kwamba thamani ya hili jukwaani ni watu kuongea vitu halisi, kwa hoja halisi.
 
Uchaguzi wetu ,haukuwa na majibu ya mrengo upi ulitupatia kiongozi. Na hadi sasa ni DONT ASK,DONT DONT STANCE ndio ipo ktk hii nchi
 
Nashukuru mkuu.JF ilianza chosha pale mods kuanza shindana na thread zangu. Nao wanapost zao kisha wanaunagnisha.Design km yule mama aliyefukuza ukuu wa wa mkoa alieyedanganya kwa maslahi ya chama,hadi kujikuta hapa kazi tuu nae anatafuta kitu tofauti, jamaa nao walikuwa wakivuruga thread zangu wakidhani wanafanya mazuri.

Pengine this time watajifunza kwamba thamani ya hili jukwaani ni watu kuongea vitu halisi, kwa hoja halisi.
Swadakta .
 
Kwa akili zako finyu za ki CCM utamwita Magufuli radical!! Haha Magufuli anaigiza tu kuwa radical ili kununua akili za wabongo waliovutiwa sana na upinzani!!

Radicals si wanafiki!! Magufuli ameishi ktk serikali miaka nenda rudi na yale alokua akiyatetea kama safari za JK Leo kageuka mpinzani kwazo!! Magufuli katetea sana CCM kiasi cha kutumia uwaziri igunga kuahidi wapiga kura kama hongo!! Huyu huwezi mfananisha na kina Trump ambao mpaka chamani siku zote misimamo yake inajulikana!! Huwezi MPA sifa ya u radical MTU ambaye anaibeba na kuilea system ya kima CCM huku akiwapa maneno ya kuigiza nyie bila kuwa na impact chanya!!

Pili huwezi mlinganisha Lowassa na Magufuli coz Lowassa ni jamii ya watu waliofanikiwa sana kimaisha!! Si wavivu.. Si wapiga domo na wala si wenye wivu!! Hata Trump si Mpiga domo au mvivu!! Trump ni jamii ya watu waliofanikiwa kimaisha.... Anajua strategies za biashara na uchumi!!

Huwezi mlinganisha Trump... Lowassa na watu wanaotoka kwenye jamii chovu zilizoshindwa kama kina JK n.k

Ili uwe kiongozi bora unahitaji uwe bora wewe binafsi ili kuridhisha umma kuwa unaweza kuwa bora kwa wengine!!

Jiulize kama Magufuli ni radical amebadili nini ktk misimamo ya ki CCM?

U radical ukitoka moyoni unatenda kwa ari ila ukiwa wa kudandia tu kufurahisha watu hauna Tija!!!
lowasa aweza kuwa radical, alijiuzuru uwaziri mkuu baada ya zengwe LA mwakyembe, alijitoa ccm baada ya zengwe LA Jk, pia aliwahi sema uhusika wa jk kuhusu richmond kwrnye kikao cha nec
 
Pia si radicals wote wanasimamia mambo mazuri. Ni km radicals wa ccm, radical wa chama cha watu wa korea, mullahs, na wale jamaa wa Iran.
 
Republicans nao wamepata excuse kwamba wamemshindwa Trump. Drama bado mtashangaa atakuwa rais halafu mdanganywe na kura kwamba ni rais sijui asiyependwa.
 
Magaidi km wameambiwa vile wanajitahidi kuthibitisha kila anacho Sema trump kuwa ni kweli.
 
WAO ni nationalist zaidi ,ila wenye mlengo wa kulia zaidi,huko wanachukia wahamiaji tu,Wao imani yao ni UTAIFA kwanza,ila na sisi tujifunze kuishi bila kutegemea mataifa ya magharibi,maana huko tunakokwenda kila taifa itakuwa kivyake.Angalia British wanakwenda kupiga kura ili wajitoe umoja wa Ulaya,na UK akitoka mataifa mengine yatafuata.Bora Magufuli anaona mbali na kaanza kuiwajibisha hao wafuja mali za umma,atlast wananchi watafaidika
Ulimsikia alivyokua akichekelea msaada kutoka Marekani? Akasahau maneno yote ya kebehi aliyoyaongea kipindi MCC wanampiga chini.
 
Huoni wewe kuwa ni bora kujitegemea kuliko kupewa misaada ya masharti lukuki?
Bado haujagundua kuwa anayetuaminisha kuwa tunaweza kujitegemea, yeye mwenyewe haamini hivyo!?
Umeona anavyoichekelea misaada, kumbe maneno yale ya 'kijasiri' ilikua ni sizitaki mbichi hizi.
 
Hujui ukiongeacho,wao wanataka immigration zero,eti wahamiaji responsible,kwa nini wasiwe responsible ndani ya nchi zao?na most of wahamiaji wanakwenda ulaya ili wapate maisha mazuri,PERIOD
Mh...hiyo ya 'immagration zero' ndiyo naisoma kwako.
 
Miaka zaidi ya kumi nyuma tulishughudia kipindi cha populists wakichaguliwa kwa fujo duniani.. Hawa jamaa walichaguliwa bila hata kupimwa.Na aliyehoji uwezo wao alipata shutuma na upinzani mkubwa sana toka ktk umma. Ndio kipindi tuliwapata akina JK, Obama, na DJ kule Madagascar, David Cameron kule Uingereza etc. Ufanisi wao wao tuliuona.

Sasa wamekuja radicals ambao walizomewa km watu wenye chuki wachonganishi etc. Ila dunia inachoka unafiki km bahari inavyochoka mizoga. Radicals km Donald Trump, Diurtete kule Philippines, na wengine wengi sasa ndio wanakwenda shika dunia. Pengine dunia itaupa unafiki break kidogo ili mambo yaende kiuhalisia kidogo. Kwa Africa ni kipindi cha Neema, rais mwenye kusema na kutenda kweli inayouma kwa viongozi wetu atasukuma issue mbele kidogo.

Kwa wale walilelewa kwa philosophia za UDSM kaene mkao wa kula. Mtaambiwa mabaya mengi sana na hawa wachambuzi, kwa vile siku zao za kudanganya watu kabla ili kulinda watawala, ila siku zao zinahesabika sana.
Propaganda za kijamaa hazina tena nafasi ktk dunia huru.

Waandishi wapuuzi na wenye hila au uwezo mdogo nafasi yao inaondolewa ktk jamii. Media za magahribi na kasuku wao Africa walishambulia na kuuliza maswali yasio ya haki .Km wanavyofanya kwa wapinzani ktk hizi nchi zetu wakidhani wanaokoa roho za fikra maarufu, fikra za mkumbo, dunia nzima fikra za pamoja,fikra maarufu zimethibitika kwamba ni upuuzi na ujinga.

Hata ktk mabunge yetu, ktk jamii zetu, fikra mgando,fikra za pamoja na kulindana hazina tena mashiko. Sasa wajenga hoja,wenye kujiamini wanapiga bao.Watasema na kuoingwa kushambuliwa, ila kadiri wanashambuliwa ndivyo ukweli wa matukio unavyozidi jidhihirisha. Mwishowe inakuwa ngumu sana kwa wanafiki na wafuata mkumbo kukataa hoja
Umeongea vizuri ila kwa Tanzania umeongea unafiki kama mlivyo wanafiki ,
2015 lowasa alikuwa maarufu kwa ufisadi na kuhonga ila mkamtetea , radical jpm akiwa muadilifu na mkweli wananchi tukamuona

Hivyo punguza unafiki kidogo unaweza kuwa mwandishi mzuri wa jf
 
Inaonyesha una mihemko. Kila Kiongozi hufanya makosa ila Ni muhimu KWA mchambuzi kupima makosa hayo ni bahati mbaya au makusudi. Nadhani nitakuwa Na uelewa WA nchi hii kukuzidi. Achana Na watu wanaotumia ccm kwa manufaa yao wenyewe. I know magu and is the person that can help tanzania. Forget about sentiments Mkuu
Mkuu wa african si reliable kihivyo. Ndio maana Mr. Clean Mkapa alimwaibisha baba wa taifa. Ndio wewe na Impatient Magu? A cha room ya mashaka. Kuna kuweza na kuna kuwa na nia na kuna kuchagua njia mbaya.
 
Umeongea vizuri ila kwa Tanzania umeongea unafiki kama mlivyo wanafiki ,
2015 lowasa alikuwa maarufu kwa ufisadi na kuhonga ila mkamtetea , radical jpm akiwa muadilifu na mkweli wananchi tukamuona

Hivyo punguza unafiki kidogo unaweza kuwa mwandishi mzuri wa jf
Mzee Pengine umeamua jiziba masikio , akili na roho. Hivi kuna test gani kwa Ccm yenye dola zaidi ya kuambiwa km wana ushahidi waende mahakamani wakagwaya? Bado Magu na wasi wasi wake wa kuhujumiwa kashindwa mtumbua?
 
Radicals kwao nyeusi ni nyeusi lakini hofu kubwa ni zile action ambazo zinaweza kuleta hatari duniani kutokana na maamuzi yatakayokuwa hayana subira.
 
Kwa akili zako finyu za ki CCM utamwita Magufuli radical!! Haha Magufuli anaigiza tu kuwa radical ili kununua akili za wabongo waliovutiwa sana na upinzani!!

Radicals si wanafiki!! Magufuli ameishi ktk serikali miaka nenda rudi na yale alokua akiyatetea kama safari za JK Leo kageuka mpinzani kwazo!! Magufuli katetea sana CCM kiasi cha kutumia uwaziri igunga kuahidi wapiga kura kama hongo!! Huyu huwezi mfananisha na kina Trump ambao mpaka chamani siku zote misimamo yake inajulikana!! Huwezi MPA sifa ya u radical MTU ambaye anaibeba na kuilea system ya kima CCM huku akiwapa maneno ya kuigiza nyie bila kuwa na impact chanya!!

Pili huwezi mlinganisha Lowassa na Magufuli coz Lowassa ni jamii ya watu waliofanikiwa sana kimaisha!! Si wavivu.. Si wapiga domo na wala si wenye wivu!! Hata Trump si Mpiga domo au mvivu!! Trump ni jamii ya watu waliofanikiwa kimaisha.... Anajua strategies za biashara na uchumi!!

Huwezi mlinganisha Trump... Lowassa na watu wanaotoka kwenye jamii chovu zilizoshindwa kama kina JK n.k

Ili uwe kiongozi bora unahitaji uwe bora wewe binafsi ili kuridhisha umma kuwa unaweza kuwa bora kwa wengine!!

Jiulize kama Magufuli ni radical amebadili nini ktk misimamo ya ki CCM?

U radical ukitoka moyoni unatenda kwa ari ila ukiwa wa kudandia tu kufurahisha watu hauna Tija!!!

Unahitajika utulivu kidogo mtu kukuelewa na kuanzia hapa ndio nimeanza kukuelewa.
" radicals wa ukweli huwa sio wanafiki" wakwetu sio radical kiukweli maana hanyooshi mstari bado yuko kwenye kundi la kinafiki, kwa tanzania kiukweli uradical usio wa kinafiki unahitajika kuendelea kukumbatia ujinga uliojaa ndani ya CCM na kuishi pamoja na watu kama akina Sendeka,bulembo, lusinde na yule dogo wa ulanga na wapumbavu wengine halafu ukijiita radical huku ukicheka na kunywa na hawa wapumbavu utakuwa unaudanganya umma tu.

Kwa suala la kutoja jamii chovu halafu usiwe strong hapa tunatofautiana kidogo maana historia inaonyesha radical wengi wa ukweli wametoka jamii chovu, kutoka katika jamii chovu kusingeweza kumzuia JK kuwa rais au kiongozi shupavu maana pia wapo viongozi wengi ambao hawakutoka kwenye hizo jamii chovu lakini wameshindwa pia kuongoza..

Binafsi napenda viongozi Radical kiukweli maana hawana unafiki ni kunyoosha mstari na watu wanamna hii ndio wanaweza kumaliza kizazi cha wanasiasa wapumbavu wa tanzania..
 
Radicals kwao nyeusi ni nyeusi lakini hofu kubwa ni zile action ambazo zinaweza kuleta hatari duniani kutokana na maamuzi yatakayokuwa hayana subira.
Kawachana Clinton na Obama hadi wameamua fumuka km Ccm wakizidiwa.
 
MKuu mbona uanchangia chini ya kiwango halafu una ujasiri hivyo. Ulichoanza hapo juu, umemaliza too general .Umeanza kwa kupunguza hoja uzito, kwa assumption km kila anakosea kwa hiyo makosa ni halali. Halafu unajifagilia kuelewa sana nchi(ila sijui km unachoelewa ni sahihi na una uwezo wa kujua usahihi wake). My experience shows that watu wanaodeal na data ktk hii nchi hawana uwezo wa kujua au makosa ya data kwa haraka. Na wengine hawana hata muamko wa kupambana ku improve quality of data. Mwisho wake wao wenyewe kuwa wahanga wa hizo wrong information. Kitu ambacho ni kawaida kabisa kwa hii nchi. Mwisho unamshutumu mwenzio kwa sifa unazozionyesha hapa.

Leo nakusoma nakuelewa sana, tatizo la watanzania ni unafiki wa kuogopa kusema hii ni nyeupe na ile ni nyeusi, jamaa hajui kwamba unaweza ukajua unajua kumbe unachokijua na kukiamini ni wrong, Nchi haihitaji uradical wa kinafiki na kuishi nyumba moja na wapumbavu, Uradical usio wa kinafiki ndio pekee unaweza kutengeneza misingi ya taifa hili.
 
Back
Top Bottom