Haha..kweli copy and Paste ya wabongo ipo ktk level ingine. Wabongo wengi ni km kasuku, sikiliza BBC idhaa ya kiswahili, imejaa watu fulani, wanaochagua watu fulani wa ukanda huu km wachambuzi wa masuala ya dunia. Kichekesho ni kwamba wanapigia promo tuu, hawana huo uelewa pamoja na kwamba wana PHD zao. Hawana tofauti na magazeti ya udaku wa sports bongo, habari wanachukua espnfc.com , wanapozitafsiri wanaweka shida kubwa sana. Hao ndio wachambuzi wa CCM , ni rahisi sana kujadili hoja wasizozijua, hoja wasizoziamini ila ziwe hoja tuu ktk trend...ndio maana kuna povu sana ktk sheria za mitandao, ktk ulinzi na global issues, kuna povu na papara kusign mikataba ya kimataifa ya haki na biashara, dunia inatuona tupo nao na kutupa umuhimu sana ila ukweli upo ktk bunge letu, ktk mitaa yetu, ktk magazetu yetu, ktk vyuo vyetu, ktk maofisi yetu.