Baada ya populists sasa ni age ya radicals with reality

Baada ya populists sasa ni age ya radicals with reality

Ulikuwa jela? Naona mzimu wa JK unakutafuna JF hagombei tena urais unaogopa kumtaja Dr.Magufuli na fisadi wenu Lowassa.
Fisadi lowassa mpaka sasa hakuna issue inavuma juu yake zaidi ya msoma maulidi Lugumi na mtoto wa msoga!! Mungu kawaumbua sana wanafiki!!!
 
HIllary anadhani Trump ni mjinga km anavyotaka waambia watu, ndio hayo hayo ya CCM kusema Lema ni Mjinga, halafu anawapiga bao kila akitaka. Trumpa najua karata ya Clinton na media ni kuwaambia watu jamaa katukana wanawake ili kura za wanawake ziende kwao. Hawajui wanawake si wazuri kuwapigia wenzao kura, pia wanawaeke ktk midomo hupenda wanaume ma Gentlemen ila ktk vitendo kuwachagua hustlers.
asante kwa kurudi!uli potea sana
 
Ulikuwa jela? Naona mzimu wa JK unakutafuna JF hagombei tena urais unaogopa kumtaja Dr.Magufuli na fisadi wenu Lowassa.
nilidhani utakuwa umekua kidogo ila wapi. Ndio shida ya kunywa viroba sirini, huwaumbua ktk big stage
 
Radicals watasaidia Africa na kizazi cha laana kujitambua!
Kwa bahati mbaya radicals wakiafrika huwa ni mateso kwa raia sasa tukipata radical wakiafrika kunauwezekano mkubwa na raia nao wakawa katika hali mbaya sana.
lakini tukirudi kwa Donald Trump na wengine wa aina yake wote watahakikisha wanapambana kulinda masilahi ya mataifa yao na sera za trump zinaonekana waziwazi kuwa he is fundamental racist. je ulimwengu atauweka katika hali gani?
huyo wa philipinnes hana madhara ila kwa mataifa yenye nguvu yakiongozwa na radicals dunia itakuwa katika jeopardy kwa kiasi kikubwa.
mfano mzuri.
1.Harry S Truman na vita vya pili vya Dunia.
2. Nikita Kruchshev na vita baridi kama usingekuwa woga wa kennedy historia ya dunia isingekuwa hivi ilivyo.
3 Kim jong Un wa North Korea, na usumbufu wake
4. Putin
hii combination itakuwaje?
inawezekana hapa kwetu tumempata realist lakini itakuwa ni neema kama hatakuwa against public opinion.
 
Naona kwa Tanzania umemtaja JK....je kwa mwaka 2015 kati ya Magufuli na Lowassa nani populist?radicals?...kweli watanzania awamu hii waliepuka unafki wa populist,CCM walichinja populist....ha ha ha.Leo umetoa mawazo kuntu.
Wote walikuwa populist maana Cdhani kma kuna ambye TZ hii alikuwa hamjui Magu au Lowasa.
 
Kwa bahati mbaya radicals wakiafrika huwa ni mateso kwa raia sasa tukipata radical wakiafrika kunauwezekano mkubwa na raia nao wakawa katika hali mbaya sana.
lakini tukirudi kwa Donald Trump na wengine wa aina yake wote watahakikisha wanapambana kulinda masilahi ya mataifa yao na sera za trump zinaonekana waziwazi kuwa he is fundamental racist. je ulimwengu atauweka katika hali gani?
huyo wa philipinnes hana madhara ila kwa mataifa yenye nguvu yakiongozwa na radicals dunia itakuwa katika jeopardy kwa kiasi kikubwa.
mfano mzuri.
1.Harry S Truman na vita vya pili vya Dunia.
2. Nikita Kruchshev na vita baridi kama usingekuwa woga wa kennedy historia ya dunia isingekuwa hivi ilivyo.
3 Kim jong Un wa North Korea, na usumbufu wake
4. Putin
hii combination itakuwaje?
inawezekana hapa kwetu tumempata realist lakini itakuwa ni neema kama hatakuwa against public opinion.
Mkuu wakati unaweka stage ya kukuza huu mjadala , naomba nikukumbushe tuu kwamba. Radicals wa kiafrica na hao wengine wa eastern block wanaamini ktk stupidity. wanaamini ktk mifumo yenye tafsiri mbaya za haki za binadamu, na uduni ktk uchumi. Hao jamaa huweka umuhimu ktk madaraka kuliko mafanikio ya kiuchumi na uhuru wa watu wao. Huwezi fikia uhuru wa binadamu na mafanikio sahihi ya kiuchumi kwa watu wanaoanza kwa kutafuta nguvu ya dolar kuliko au kabla ya uchumi. matokeo yake wanaposhindwa bado huwabebesha raia mzigo wa makosa yao kifikra ili mradi tuu wabaki ktk power. Mifumo ya kimagharibi haina motisha ka marais kujipa nguvu zaidi kwani muda si mrefu watatoka.
 
Kwa bahati mbaya radicals wakiafrika huwa ni mateso kwa raia sasa tukipata radical wakiafrika kunauwezekano mkubwa na raia nao wakawa katika hali mbaya sana.
lakini tukirudi kwa Donald Trump na wengine wa aina yake wote watahakikisha wanapambana kulinda masilahi ya mataifa yao na sera za trump zinaonekana waziwazi kuwa he is fundamental racist. je ulimwengu atauweka katika hali gani?
huyo wa philipinnes hana madhara ila kwa mataifa yenye nguvu yakiongozwa na radicals dunia itakuwa katika jeopardy kwa kiasi kikubwa.
mfano mzuri.
1.Harry S Truman na vita vya pili vya Dunia.
2. Nikita Kruchshev na vita baridi kama usingekuwa woga wa kennedy historia ya dunia isingekuwa hivi ilivyo.
3 Kim jong Un wa North Korea, na usumbufu wake
4. Putin
hii combination itakuwaje?
inawezekana hapa kwetu tumempata realist lakini itakuwa ni neema kama hatakuwa against public opinion.
Huku africal tuna radicals wa Maigizo tu!! Wa double standards na watafuta sifa na vigelegele!!

Radicals kwanza huwa na akili sana.... Huwa na depth!! Huwezi kupinga kitu bila kuwa na ufahamu nacho!!

Huwezi kuwa na reality kama unaegemea upande mmoja tu!! Reality inataka uwazi!! Huwezi ficha bunge then utake onekana wewe tuu ukasema unapenda reality!! Reality ni pamoja na wewe kuwa tayari kupewa reality!!

Kama umwonavyo trump yuko tayari kukosolewa naye kukosoa!! Sio mnafiki na hayumbi!!

Kuhusu dunia itakua wapi nafikiri itategemea u radical wa MTU husika ni katika upuuzi au mambo ya maana!! Kwa Trump ameonesha u maana!!
 
Trump hajulikani huwezi mlinganisha hta na msanii yeyote mkubwa wa kimarekani zaidi ya vitabu vyake na majengo yake marekeni hana lolote la kumfanya ajulikane. Na inawezekana hta wewe umenjua tu baada ya tramph kuanza kuingia kwenye politics last 2015.
 
Unaelewa dhana ya populist? Kama unafikiri ni kujulikana basi hata Trump anajulikana sana!!
Kumbuka kuwa Magu na lowasa kwenye uchaguzi wa 2015 walikuwa wote na zana ya kuonesha high interest kwenye maisha ya watu wakawaida.
 
Trump hajulikani huwezi mlinganisha hta na msanii yeyote mkubwa wa kimarekani zaidi ya vitabu vyake na majengo yake marekeni hana lolote la kumfanya ajulikane. Na inawezekana hta wewe umenjua tu baada ya tramph kuanza kuingia kwenye politics last 2015.
Kwani Obama kabla ya kuingia kwenye mbio za urais na kupata backup ya uweusi sijui uafrika na sympathy nyingi za aina yake dunia ilimjua wapi?
 
Na leo Austria kuna uchaguzi,kwa mara ya kwanza tokea vita ya pili ya dunia,Radicals watachukua nchi,sasa sijui itakuwaje kwa EU
Dada yangu ukweli simpendi trump ila nadhani akichaguliwa tutakula WA chuya sie waafrika Na kutokana Na Hilo tutaweza kuendelea. Magu ni mfano WA watu ambao siyo wanafiki wanaotakiwa katika karne hii. Radicals huwa wanafanya maamuzi yenye makosa ila Cha msingi kujiuliza ni kuwa wanafanya makosa kwa kujinufaisha au bahati mbaya. Naunga hoja ya mtoa mada
 
Dada yangu ukweli simpendi trump ila nadhani akichaguliwa tutakula WA chuya sie waafrika Na kutokana Na Hilo tutaweza kuendelea. Magu ni mfano WA watu ambao siyo wanafiki wanaotakiwa katika karne hii. Radicals huwa wanafanya maamuzi yenye makosa ila Cha msingi kujiuliza ni kuwa wanafanya makosa kwa kujinufaisha au bahati mbaya. Naunga hoja ya mtoa mada
WAO ni nationalist zaidi ,ila wenye mlengo wa kulia zaidi,huko wanachukia wahamiaji tu,Wao imani yao ni UTAIFA kwanza,ila na sisi tujifunze kuishi bila kutegemea mataifa ya magharibi,maana huko tunakokwenda kila taifa itakuwa kivyake.Angalia British wanakwenda kupiga kura ili wajitoe umoja wa Ulaya,na UK akitoka mataifa mengine yatafuata.Bora Magufuli anaona mbali na kaanza kuiwajibisha hao wafuja mali za umma,atlast wananchi watafaidika
 
Dada yangu ukweli simpendi trump ila nadhani akichaguliwa tutakula WA chuya sie waafrika Na kutokana Na Hilo tutaweza kuendelea. Magu ni mfano WA watu ambao siyo wanafiki wanaotakiwa katika karne hii. Radicals huwa wanafanya maamuzi yenye makosa ila Cha msingi kujiuliza ni kuwa wanafanya makosa kwa kujinufaisha au bahati mbaya. Naunga hoja ya mtoa mada
Kwa hoja ipi unaweza tetea kuwa Magu si mnafiki?

Au ndio nyie mliotuambia ukweli hauna upande ila mkaishia kuwa na upande ktk kueleza ukweli wenu?

Si mnafiki ktk lipi?
 
Kwa hoja ipi unaweza tetea kuwa Magu si mnafiki?

Au ndio nyie mliotuambia ukweli hauna upande ila mkaishia kuwa na upande ktk kueleza ukweli wenu?

Si mnafiki ktk lipi?
Naomba kujitoa katika malumbano. Natamani kubadilisha maoni Na watu wanaoona mbali Kama Victoire ambao hawana ushabiki. Kama mtu hajaona ni nini magu anataka kufanya, namuombea kwa mola tu. Jiulize ni Rais yupi alitamka hadharani kuwa nchi hii ni tajiri? Huyu ni mzalendo ila watu Kama wewe Na kwetu wapo
 
Kwa hoja ipi unaweza tetea kuwa Magu si mnafiki?

Au ndio nyie mliotuambia ukweli hauna upande ila mkaishia kuwa na upande ktk kueleza ukweli wenu?

Si mnafiki ktk lipi?
Unafuatilia uchaguzi wa AUSTRIA leo?nani anaongoza?
 
WAO ni nationalist zaidi ,ila wenye mlengo wa kulia zaidi,huko wanachukia wahamiaji tu,Wao imani yao ni UTAIFA kwanza,ila na sisi tujifunze kuishi bila kutegemea mataifa ya magharibi,maana huko tunakokwenda kila taifa itakuwa kivyake.Angalia British wanakwenda kupiga kura ili wajitoe umoja wa Ulaya,na UK akitoka mataifa mengine yatafuata.Bora Magufuli anaona mbali na kaanza kuiwajibisha hao wafuja mali za umma,atlast wananchi watafaidika
Haha...weli sitaki changia khusu Magu, kwani hadi sasa kinachoendelea ktk hii nchi ni DONT ASK DONT TALK. Ukweli ni kwamba hata mataifa ya magharibi ni tegemezi. Trump anawaambia NATO nao watoe hela, Koream Japan na wengine walipe kwa marekani kwa ulinzi wanaopata. The issue ni kwamba sasa hata akina Magu watahitaji kufungua midomo na kukiri misaada ilivyo na umuhimu na watakapoulizwa wametumiaje, wasianze visingizio kwamba misaada yenye masharti hawaitaki sijui nini na nini.
 
Back
Top Bottom